Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Israel

  • Israel inatumia gesi ya sumu dhidi ya Wapalestina wa Ukanda wa Gaza

    Israel inatumia gesi ya sumu dhidi ya Wapalestina wa Ukanda wa Gaza

    May 16, 2021 00:01

    Msemaji wa wizara ya afya ya Palestina katika Ukanda wa Gaza amesema, utawala haramu wa Kizayuni wa Israel unatumia gesi ya sumu dhidi ya watu wa eneo hilo. Amesema, hilo limebainika baada ya kuchunguzwa baadhi ya maiti za wahanga wa mashambulio ya utawala huo.

  • Utendaji wa mataifa ya Kiarabu kuhusiana na vita vya Quds

    Utendaji wa mataifa ya Kiarabu kuhusiana na vita vya Quds

    May 15, 2021 23:34

    Vita vya utawala haramu wa Israel dhidi ya Ukanda wa Gaza vilianza Jumatatu iliyopita.

  • Vita vya

    Vita vya "Saifel Quds" na maafa yake kwa utawala wa Kizayuni wa Israel

    May 15, 2021 00:00

    Siku kadhaa zimepita tangu kuanza vita vya Israel na muqawama wa Palestina vinavyojulikana kwa jina la "Saifel Quds" na ingawa kutokana na ukatili wake usio na kifani, utawala wa Kizayuni unasababisha hasara kuwba za roho na mali za Wapalestina kwa kushambulia makazi ya watu, lakini vita hivyo ni kengele ya hatari kwa Israel kwa ushahidi mbalimbali.

  • Makundi ya kutetea haki za binadamu yapinga uamuzi wa Ufarasa wa kupiga marufuku maandamano dhidi ya Israel

    Makundi ya kutetea haki za binadamu yapinga uamuzi wa Ufarasa wa kupiga marufuku maandamano dhidi ya Israel

    May 14, 2021 08:07

    Wanaharakati na makundi ya kutetea haki za binadamu yamepinga uamuzi wa Waziri wa Mambo ya Ndani wa Ufaransa wa kupiga marufuku maandamano ya kupinga ukatili na mauaji yanayofanywa na Israel dhidi ya watu wa Palestina ambayo yamepangwa kufanyika mwishoni mwa wiki hii.

  • Arsenal yamtetea Elneny kwa kuwaunga mkono Wapalestina, yasema wachezaji wana haki ya kueleza maoni yao

    Arsenal yamtetea Elneny kwa kuwaunga mkono Wapalestina, yasema wachezaji wana haki ya kueleza maoni yao

    May 14, 2021 05:30

    Klabu ya soka ya Arsenal nchini Uingereza imemtetea mchezaji wake Muislamu raia wa Misri, Mohamed Elneny aliyetuma ujumbe kwenye mtandao wa kijamii wa Twitter akiwaunga mkono na kueleza mshikamano wake na watu wa Palestina wanaoendelea kushambuliwa na kuuawa na jeshi la utawala haramu wa Israel.

  • Marekani sababu kuu ya jinai za utawala haramu wa Israel dhidi ya Wapaletina

    Marekani sababu kuu ya jinai za utawala haramu wa Israel dhidi ya Wapaletina

    May 12, 2021 21:47

    Gazeti la Marekani la Washington Post limeashiria mashambulio na jinai za hivi karibuni za utawala haramu wa Israel dhidi ya Wapalestina katika mji mtakatifu wa Quds (Jerusalem) na kusema kuwa sio utawala huo tu ndio unazuia kufikiwa lengo lao tukufu la kuwa na nchi huru bali Marekani pia imekuwa na mchango mkubwa katika masaibu na matatizo ambayo yamewasibu kwa miongo kadhaa sasa.

  • Kiongozi Muadhamu apongeza mwamko, kusimama kidete na azma ya taifa la Palestina

    Kiongozi Muadhamu apongeza mwamko, kusimama kidete na azma ya taifa la Palestina

    May 12, 2021 05:27

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Ali Khamenei alasiri ya jana alihutubia mkutano wa wawakilishi wa jumuiya na asasi za wanachuo nchini uliofanyika kwa njia ya intaneti na kuelezea masikitiko yake makubwa kutokana na matukio mawili machungu mno ya umwagaji damu yaliyotokea karibuni katika Ulimwengu wa Kiislamu, huko Afghanistan na Palestina na kulaani jinai zilizofanyika katika nchi hizo.

  • Kikao kisicho na tija cha Baraza la Usalama kuhusu Quds sanjari na ukwamishaji mambo wa Marekani

    Kikao kisicho na tija cha Baraza la Usalama kuhusu Quds sanjari na ukwamishaji mambo wa Marekani

    May 11, 2021 09:47

    Kikao cha Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kuhusiana na hali ya mambo huko Quds Palestina kilifanyika Jumatatu ya jana tarehe 10 Mei na kumalizika bila ya natija yoyote.

  • Malengo ya Israel ya kufanya luteka ya kijeshi ya mwezi mzima

    Malengo ya Israel ya kufanya luteka ya kijeshi ya mwezi mzima

    May 10, 2021 22:22

    Tangu juzi Jumapili tarehe 9 Mei, jeshi la utawala wa Kizayuni limeanzisha luteka na mazoezi maalumu ya kijeshi yatakayodumu kwa muda wa mwezi mmoja.

  • Mufti Mkuu wa Syria: Jamhuri ya Kiislamu ya Iran daima imekuwa ikiiunga mkono Palestina

    Mufti Mkuu wa Syria: Jamhuri ya Kiislamu ya Iran daima imekuwa ikiiunga mkono Palestina

    May 10, 2021 03:20

    Mufti Mkuu wa Syria Sheikh Ahmad Badreddin Hassoun amesema kuwa, Jamhuri ya Kiislamu ya Iran daima imekuwa ikiliunga mkono kwa hali na mali taifa la Palestina.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS