Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Israel

  • Sababu za kuzuka mapigano mapya kati ya Israel na Wapalestina katika mji wa Quds

    Sababu za kuzuka mapigano mapya kati ya Israel na Wapalestina katika mji wa Quds

    May 09, 2021 04:46

    Ijumaa iliyopita tarehe 7 Mei askari wa utawala haramu wa Israel walivamia msikiti mtakatifu wa al-Asqa na kuwapiga kikatili Wapalestina waliokuwa wanatekeleza ibada zao katika msikiti huo. Shirika la Hilali Nyekundu ya Palestina limesema Wapalestina wasiopungua 205 wamejeruhiwa katika hujuma hiyo.

  • Mtazamo wa Kiongozi Muadhamu: Mustakbali bora wa Palestina utapatikana kwa muqawama na uungaji mkono wa wote

    Mtazamo wa Kiongozi Muadhamu: Mustakbali bora wa Palestina utapatikana kwa muqawama na uungaji mkono wa wote

    May 08, 2021 04:48

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesisitiza kuwa, Wazayuni wanaoikalia kwa mabavu Palestina, wameigeuza nchi hiyo kuwa kambi ya kigaidi tangu siku kwanza kabisa ya kuanza kuikalia kwa mabavu.

  • Jenerali Salami: Pigo la kwanza kwa Israel, yumkini likawa la mwisho

    Jenerali Salami: Pigo la kwanza kwa Israel, yumkini likawa la mwisho

    May 06, 2021 08:17

    Kamanda Mkuu wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu nchini Iran (IRGC) amesema wimbi la migogoro ya kiusalama lililoshuhudiwa katika siku za hivi karibuni katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu (Israel) limeonesha wazi udhaifu na hatari inayoukabili utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Israel imebomoa makumi ya majengo ya Wapalestina mjini Quds

    Israel imebomoa makumi ya majengo ya Wapalestina mjini Quds

    May 03, 2021 21:03

    Shirika huru la kutetea haki za binadamu limesema utawala wa Kizayuni wa Israel umebomoa majengo 58 ya Wapalestina katika mji wa Baitul Muqaddas (Jerusalem) tokea mwanzoni mwa mwaka huu hadi sasa.

  • Kukingia kifua Marekani jinai za Israel dhidi ya binadamu na ubaguzi aina ya 'Apartheid'

    Kukingia kifua Marekani jinai za Israel dhidi ya binadamu na ubaguzi aina ya 'Apartheid'

    Apr 29, 2021 22:41

    Marekani imechukua msimamo wa upande mmoja wa kupinga ripoti ya Shirika la kimataifa la kutetea haki za binadamu la Human Rights Watch ambayo inasema, utawala haramu wa Israel unatenda "jinai dhidi ya binadamu na ubaguzi aina ya apartheid na ukandamizaji" dhidi ya wananchi madhulumu wa Palestina.

  • HRW: Israel inatenda jinai dhidi ya binadamu na ubaguzi aina ya 'Apartheid' kuwakandamiza Wapalestina

    HRW: Israel inatenda jinai dhidi ya binadamu na ubaguzi aina ya 'Apartheid' kuwakandamiza Wapalestina

    Apr 28, 2021 00:31

    Shirika la kimataifa la kutetea haki za binadamu la Human Rights Watch limesema, utawala haramu wa Kizayuni wa Israel unatenda "jinai dhidi ya binadamu na ubaguzi aina ya apartheid na ukandamizaji" dhidi ya wananchi madhulumu wa Palestina, na kusisitiza kuwa, kuna ulazima kwa jamii ya kimataifa kutathmini upya uhusiano wake na utawala huo.

  • Pigo la kiusalama kwa Israel, ngao yake ya makombora ya 'Kuba la Chuma'  yafeli

    Pigo la kiusalama kwa Israel, ngao yake ya makombora ya 'Kuba la Chuma' yafeli

    Apr 25, 2021 21:58

    Katika siku za Jumatano na Alkhamisi wiki iliyopita, kulijiri matukio mawili ya kiusalama katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu ambazo zimpeachikwa jina bandia la Israel. Matukio hayo yaliweka wazi udhaifu mkubwa wa kiusalama, kijeshi, na kijasusi wa utawala wa wa Kizayuni wa Israel.

  • Iran yalaani hujuma za Wazayuni dhidi ya Wapalestina wa Quds tukufu

    Iran yalaani hujuma za Wazayuni dhidi ya Wapalestina wa Quds tukufu

    Apr 25, 2021 01:28

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amelaani vikali uvamizi na chokochoko mpya za utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Wapalestina katika mji mtukufu wa Quds unaokaliwa kwa mabavu.

  • Kamanda Fallahzadeh: Vikosi vya muqawama vipo karibu na kambi za Israel kote duniani

    Kamanda Fallahzadeh: Vikosi vya muqawama vipo karibu na kambi za Israel kote duniani

    Apr 22, 2021 22:11

    Naibu Kamanda mpya wa Kikosi cha Quds cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran (IRGC) ametahadharisha kuwa, vikosi vya muqawama vipo karibu sana na kambi za kijeshi za utawala wa Kizayuni wa Israel katika pembe mbalimbali za dunia.

  • Khatibu wa Msikiti wa Al Aqsa: Wakaazi wa Quds hawatasalimu amri mbele ya Israel

    Khatibu wa Msikiti wa Al Aqsa: Wakaazi wa Quds hawatasalimu amri mbele ya Israel

    Apr 22, 2021 06:47

    Khatibu wa Msikiti wa Al Aqsa amesema wakaazi wa mji wa Quds (Jerusalem) hawatasalimu amri mbele ya utumiaji mabavu wa utawala wa Kizayuni wa Israel na Mayahudi wenye misimamo ya kufurutu ada.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS