-
Mlipuko mkubwa katika kiwanda nyeti cha makombora cha Israel
Apr 21, 2021 23:16Mlipuko mkubwa umejiri katika kiwanda nyeti cha utawala wa Kizayuni wa Israel ambacho hutumika kutengeneza makombora.
-
Sanders ataka kubanwa misaada ya Marekani kwa utawala wa Kizayuni wa Israel
Apr 21, 2021 05:07Seneta wa kujitegemea wa Marekani, Bernie Sanders ameitaka serikali ya nchi hiyo kubana misaada yake kwa utawala wa Kizayuni wa Israel kwa shabaha ya kuushinikiza ukomeshe kukalia kwa mabavu ardhi ya Palestina.
-
Kimya cha IAEA baada ya uharibifu uliofanywa katika taasisi ya nyuklia ya Iran
Apr 14, 2021 21:55Hujuma ya uharibifu iliyofanywa na Israel katika taasisi ya nishati ya nyuklia ya Natanz nchini Iran siku ya Jumapili iliyopita, kwa mara nyingine tena imeleta udharura wa Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki (IAEA) kama taasisi kuu zaidi ya kimataifa inayosimamia shughuli za nyuklia dunia, kutoa jibu na kueleza wazi msimamo wake.
-
Jerusalem Post: Shambulizi dhidi ya Natanz lilipangwa hapo awali
Apr 12, 2021 07:02Gazeti la utawala wa Kizayuni la Jerusalem Post limeandika kuwa, hujuma dhidi ya taasisi ya nyuklia ya Natanz nchini Iran lilipangwa siku nyingi zilizopita kabla ya kuanza mazungumzo ya sasa huko Vienna baina ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na nchi za kundi la 4+1.
-
Lebanon yaikosoa Israel kutumia anga yake kuishambulia Syria
Apr 10, 2021 07:59Lebanon imekosoa vikali kitendo cha utawala wa Kizayuni wa Israel kutumia anga ya hiyo ya Kiarabu kutekeleza mashambulio ya makombora dhidi ya Syria.
-
Hamas: Kukataa kushirikiana na ICC kunaonesha upeo wa kiburi cha Israel
Apr 10, 2021 03:15Msemaji wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) amesema kitendo cha utawala wa Kizayuni wa Israel cha kukataa kutoa ushirikiano kwa Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC) kinaonesha wazi upeo wa jeuri na kiburi cha utawala huo haramu kwa taasisi za kimataifa.
-
Wanaharakati wa nchi za Kiarabu waanzisha kampeni ya kuisusia UAE kwa kuuza bidhaa za Israel
Apr 08, 2021 22:08Wanaharakati wa mitandao ya kijamii katika nchi za Kiarabu wameanzisha kampeni ya kuususia Umoja wa Falme za Kiarabu, Imarati kwa kuuza bidhaa za Israel kwa kutumia chapa za biashara za Jordan na za eneo la Ufukwe wa Magharibi katika masoko ya nchi hiyo na kwa kuzisafirisha pia katika nchi zingine za Ghuba ya Uajemi.
-
Askari wa Israel wamuua shahidi dereva wa Kipalestina Ukingo wa Magharibi
Apr 06, 2021 23:03Wanajeshi katili wa utawala wa Kizayuni wa Israel wamemuua shahidi dereva Mpalestina kwa kumpiga risasi akiwa ndani ya gari lake katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan.
-
Yafichuka: Mossad imehusika katika jaibio la mapinduzi nchini Jordan
Apr 05, 2021 08:25Tovuti ya Axios ya Marekani imefichua kuwa, shirika la ujasusi la Israel, MOSSAD, limehusika katika jaribio la mapinduzi lililofanyika nchini Jordan.
-
Jumatatu tarehe 5 Aprili mwaka 2021
Apr 04, 2021 21:55leo ni Jumatatu tarehe 22 Shaabani 1442 Hijria sawa na Aprili 5 mwaka 2021.