-
Palestina: Utawala haramu wa Israel unatekeleza mipango yake ya kikoloni
Apr 03, 2021 22:02Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Mamlaka ya Ndani ya Palestina imelaani vikali hatua za jeshi la utawala haramu wa Israel za kuendelea kubomoa nyumba na makazi ya Wapalestina.
-
Ushindi na utengano kwa wakati mmoja katika kambi ya mrengo wa kulia huko Israel
Mar 29, 2021 00:11Baada ya kutangazwa matokeo ya uchaguzi wa Bunge huko Israel (Palestina inayokaliwa kwa mabavu) imefahamika kwamba, kwa mara nyingine tena kambi ya mrengo wa kuliai meibuka na ushindi katika uchaguzi huo.
-
Uafriti wa Israel wa kutaka kuvuruga uchaguzi wa Palestina
Mar 22, 2021 22:14Mkuu wa shirika la usalama wa ndani la utawala haramu wa Kizayuni wa Israel Shin Bet amemtaka Rais Mahmoud Abbas wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina aghairishe uchaguzi wa Palestina ikiwa harakati ya Hamas itashiriki katika uchaguzi huo.
-
Uturuki: Israel ni mkiukaji wa sheria za kimataifa
Mar 20, 2021 06:09Wizara ya Mambo ya Nje ya Uturuki imesema mpango wa utawala wa Kizayuni wa Israel wa kupora ardhi na kubomoa nyumba za Wapalestina unakanyaga wazi sheria za kimataifa.
-
‘Israel inashirikiana na magaidi katika hujuma zake dhidi ya Syria’
Mar 18, 2021 23:15Serikali ya Syria imesema utawala wa Kizayuni wa Israel unashirikiana na magaidi katika hujuma zake dhidi ya Syria.
-
Wanamuqawama watungua 'drone' ya kijasusi ya Israel huko Gaza
Mar 18, 2021 05:10Wanamuqawama wa Palestina wamefanikiwa kutungua ndege ya kijasusi isiyo na rubani ya utawala wa Kizayuni wa Israel kaskazini mwa Ukanda wa Gaza.
-
Jeshi la Syria lazima tena shambulio la makombora la Israel
Mar 17, 2021 04:00Kwa mara nyingine tena, Jeshi la anga la Syria limekabiliana na shambulizi la makombora la utawala wa Kizayuni wa Israel katika eneo la Rif Dimashq, viungani mwa mji mkuu Damascus usiku wa kuamkia leo.
-
Israel yakiri; Hizbullah inaweza kuvurumisha makombora 2,000 kwa siku dhidi yake
Mar 17, 2021 01:06Kamanda wa ngazi ya juu wa jeshi la utawala wa Kizayuni wa Israel amekiri kuwa, harakati ya Hizbullah ya Lebanon ina uwezo wa kuvurumisha makombora elfu mbili kwa siku dhidi ya utawala huo haramu iwapo makabiliano ya kijeshi yataibuka baina ya pande hizo katika siku za usoni.
-
Waislamu wahamakishwa na hatua ya Kosovo kufungua ubalozi Quds
Mar 15, 2021 07:20Waislamu wameghadhabishwa mno na kitendo cha Kosovo kufungua ubalozi wa nchi hiyo ndogo ya Ulaya katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu na utawala ghasibu wa Israel.
-
Syria yakanusha madai ya kufanya mazungumzo ya siri na Israel
Mar 14, 2021 04:24Syria imekanusha vikali ripoti zinazodai kuwa maafisa wa ngazi za juu wa nchi hiyo ya Kiarabu wanafanya mazungumzo ya siri na utawala wa Kizayuni wa Israel.