Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Israel

  • Brigedia Jenerali Qaani: Sauti ya kuvunjika mifupa ya Marekani itasikika muda wake ukifika

    Brigedia Jenerali Qaani: Sauti ya kuvunjika mifupa ya Marekani itasikika muda wake ukifika

    Mar 12, 2021 08:33

    Kamanda wa Kikosi cha Quds cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu SEPAH amesema kuwa, sauti ya kuvunjika mifupa ya Marekani itasikika muda wake ukifika.

  • Iran yaionya Israel dhidi ya kuchukua hatua yoyote ghalati

    Iran yaionya Israel dhidi ya kuchukua hatua yoyote ghalati

    Mar 06, 2021 04:44

    Balozi na Mwakilishi wa Kudumu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika Umoja wa Mataifa ameutahadharisha utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya kuchukua hatua yoyote ghalati kwa kisingizio cha mripuko uliotokea katika meli ya utawala huo katika Bahari ya Oman wiki iliyopita.

  • Jaji Mkuu Afrika Kusini atakiwa kuomba radhi kwa kutoa matamshi yanayoiunga mkono Israel

    Jaji Mkuu Afrika Kusini atakiwa kuomba radhi kwa kutoa matamshi yanayoiunga mkono Israel

    Mar 05, 2021 04:43

    Tume ya Mahakama za Afrika Kusini imemwamuru Jaji Mkuu wa nchi hiyo kuomba radhi na kutengua matamshi aliyotoa mwaka jana ambayo yalitambuliwa kuwa yanauunga mkono utawala ghasibu wa Isarel, katika nchi hiyo ya Kiafrika inayotetea watu wanaodhulumiwa wa Palestina.

  • Hamas: Uvamizi dhidi ya Syria ni ishara ya vitendo vya dhulma vya Israel

    Hamas: Uvamizi dhidi ya Syria ni ishara ya vitendo vya dhulma vya Israel

    Mar 01, 2021 09:20

    Msemaji wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) amesisitiza kuwa, uvamizi wa kijeshi wa utawala wa Kizayuni katika mji mkuu wa Syria Damascus ni ishara ya vitendo vya dhulma na uonevu vya Wazayuni.

  • Mfalme wa Jordan afanya mkutano wa siri na Waziri wa Vita wa Israel

    Mfalme wa Jordan afanya mkutano wa siri na Waziri wa Vita wa Israel

    Feb 28, 2021 09:54

    Mfalme Abdallah wa Pili wa Jordan amekutana kwa siri na kificho na Waziri wa Masuala ya Kijeshi wa utawala wa Kizayuni wa Israel, Benny Gantz nchini Jordan.

  • Mufti Mkuu wa Misri aonya dhidi ya mpango wa Israel wa kuiyahudisha Quds

    Mufti Mkuu wa Misri aonya dhidi ya mpango wa Israel wa kuiyahudisha Quds

    Feb 27, 2021 08:37

    Mufti Mkuu wa Misri ametadharisha juu ya njama ya utawala wa Kizayuni wa Israel ya kuuyahudisha mji mtukufu wa Quds unaokaliwa kwa mabavu, na kufuta kabisa utambulisho wake halisi.

  • Makundi ya kutetea haki za binadamu yataka kufuatiliwa jinai za kivita za Israel

    Makundi ya kutetea haki za binadamu yataka kufuatiliwa jinai za kivita za Israel

    Feb 26, 2021 23:20

    Wawakilishi wa makundi ya kutetea haki za binadamu yamemtakak Rais wa Marekani afute vikwazo vilivyowekwa na serikali ya Washingtoin dhidi ya wendesha mashtaka wa Mahakkama ya Kimataifa ya Jinai (ICC) na kushughulikia jinai za kivita zinazofanywa na utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Morocco yashadidisha ukandamizaji baada ya kuanzisha uhusiano na Israel

    Morocco yashadidisha ukandamizaji baada ya kuanzisha uhusiano na Israel

    Feb 20, 2021 09:15

    Serikali ya Morocco imeshadidisha mbinyo, ukandamizaji na ukiukaji wa haki za binadamu dhidi ya wanaharakati na wananchi wa kawaida nchini humo, baada ya Rabat kukubaliana na utawala wa Kizayuni wa Israel kuanzisha uhusiano wa pande mbili.

  • Manung'uniko baada ya Equatorial Guinea kusema itahamishia ubalozi wake Quds

    Manung'uniko baada ya Equatorial Guinea kusema itahamishia ubalozi wake Quds

    Feb 20, 2021 09:12

    Hatua ya mtawala wa muda mrefu wa Equatorial Guinea kusema kuwa nchi hiyo itauhamishia ubalozi wake mjini Quds Tukufu unaokaliwa kwa mabavu na utawala wa Kizayuni wa Israel kutoka Tel Aviv imekosolewa vikali ndani ya nje ya nchi.

  • IRGC: Israel itapata jibu kwa jinai zake dhidi ya taifa la Iran

    IRGC: Israel itapata jibu kwa jinai zake dhidi ya taifa la Iran

    Feb 16, 2021 04:32

    Msemaji wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran (IRGC) amesema hakuna chembe ya shaka kwamba utawala wa Kizayuni wa Israel utapokea jibu kali la Iran kutokana na jinai zake dhidi ya taifa hili, yakiwemo mauaji ya wanasayansi na wasomi wa Iran.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS