-
Wataalamu wa UN: Maafisa wa Israel waadhibiwe kwa kutenda jinai dhidi ya binadamu
Feb 09, 2021 23:55Wataalamu huru wa haki za binadamu wa Umoja wa Mataifa wametoa wito wa kuadhibiwa maafisa wa Israel kwa kosa la kutenda jinai dhidi ya binadamu dhidi ya watu wa Palestina.
-
Netanyahu kizimbani kujibu mashitaka ya ufisadi, maandamano yashtadi
Feb 08, 2021 08:34Waziri Mkuu wa utawala haramu wa Israel, Benjamin Netanyahu amepandishwa kizimbani, kujibu mashitaka ya ufisadi yanayomkabili, huku faili lake likifunguliwa upya wiki chache kabla ya kufanyika uchaguzi wa Bunge.
-
Imarati, Bahrain zawakatia Wapalestina misaada baada ya kuikumbatia Israel
Feb 07, 2021 04:18Umoja wa Falme za Kiarabu na Bahrain zimepunguza kwa kiasi kikubwa misaada yao ya kifedha iliyokuwa ikiwapa wananchi wa Palestina, baada ya kuanzisha uhusiano wa kawaida na utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
Iran itatoa jibu kali kwa tishio na uchokozi wowote wa Israel
Feb 07, 2021 03:55Balozi na Mwakilishi wa Kudumu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika Umoja wa Mataifa ametahadharisha juu ya matamshi ya kichokozi na ya kupiga ngoma ya vita ya maafisa wa utawala haramu wa Israel na kusema kuwa, Tehran itatoa jibu kali kwa tishio lolote la Wazayuni dhidi yake.
-
Hamas, Arab League zakaribisha uamuzi wa ICC dhidi ya Israel
Feb 07, 2021 03:48Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) imepongeza hukumu ya hivi karibuni ya Mahakama ya Kimataifa ya Jinai ICC yenye maslahi kwa wananchi wa Palestina na iliyoughadhabisha mno utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
Maandamano yaendelea ndani ya Israel; Netanyahu ayafumbia macho na kuendeleza siasa za chuki dhidi ya Iran
Feb 01, 2021 23:28Wakazi wa ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu na utawala ghasibu wa Israel wamefanya maandamano kwa wiki ya 32 mfululizo dhidi ya Benjamin Netanyahu, Waziri Mkuu wa utawala huo wa Kizayuni.
-
Mabaki ya msikiti wa kale yadhihirisha jinsi Uislamu ulivyo na uvumilivu kwa dini zingine
Jan 29, 2021 09:36Wanaakiolojia katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu zilizopewa jina la Israel wamesema, wamegundua mabaki ya msikiti wa kale ambao inaaminika ni wa miongo ya tangu mwanzoni mwa Uislamu. Mabaki ya msikiti huo yamegunduliwa katika uchimbuaji uliofanywa katika mji wa Tiberias kaskazini mwa Palestina inayokaliwa kwa mabavu.
-
Israel yatuhumiwa kuhusika na njama ya kumuua Rais wa Tunisia
Jan 29, 2021 04:02Harakati ya al-Shaab ya Tunisia imesema utawala wa Kizayuni wa Israel ulihusika na njama ya kutaka kumuua Rais Kais Saied wa nchi hiyo kwa kutumia sumu.
-
Vaezi: Israel haina nguvu za kijeshi za kutoa pigo kwa Iran
Jan 28, 2021 00:47Mkuu wa Ofisi ya Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema utawala wa Kizayuni wa Israel hauna mpango, uwezo, nguvu wala mkakati wa kulishambulia kijeshi taifa hili.
-
Marekani, Saudia na Israel zinachochea hujuma za kigaidi Iraq
Jan 25, 2021 04:20Harakati ya Kata'ib Hizbullah ya Iraq imesema hujuma za kigaidi ambazo zimetekelezwa na kundi la kigaidi la ISIS nchini humo zinachochewa na muungano wa Marekani, Saudi Arabia na Israel.