Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Israel

  • Wapakistani waandamana kupinga kuanzishwa uhusiano na Israel

    Wapakistani waandamana kupinga kuanzishwa uhusiano na Israel

    Jan 23, 2021 09:01

    Makumi ya maelfu ya wananchi wa Pakistan wamefanya maandamano ya kupinga uwezekano wowote wa kuanzishwa uhusiano kati ya nchi hiyo na utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Wananchi wa Sudan waandamana kupinga uhusiano na Israel + Video

    Wananchi wa Sudan waandamana kupinga uhusiano na Israel + Video

    Jan 18, 2021 07:20

    Wananchi wa Sudan wameandamana mjini Khartoum, kupinga uamuzi wa nchi yao kuanzisha uhusiano na utawala haramu wa Israel.

  • Mabadiliko katika stratijia ya kijeshi ya Marekani Asia Magharibi

    Mabadiliko katika stratijia ya kijeshi ya Marekani Asia Magharibi

    Jan 18, 2021 01:19

    Marekani imetoa huduma kubwa kwa utawala haramu wa Israel katika kipindi cha utawala wa Rais Donald Trump wa Marekani.

  • Trump ampa Mfalme wa Morocco tuzo kwa kuanzisha uhusiano na Israel

    Trump ampa Mfalme wa Morocco tuzo kwa kuanzisha uhusiano na Israel

    Jan 17, 2021 04:22

    Rais Donald Trump wa Marekani amemtunuku tuzo ya kifahari Mfalme Mohammed wa Sita wa Morocco, kutokana na hatua yake ya kukubali kuanzisha uhusiano wa kawaida na utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Wabahrain waandamana kupinga kuteuliwa balozi wa Israel nchini humo

    Wabahrain waandamana kupinga kuteuliwa balozi wa Israel nchini humo

    Jan 16, 2021 00:53

    Wananchi wa Bahrain jana Ijumaa walimiminika mabarabarani kushiriki maandamano ya kulaani uteuzi wa balozi mdogo wa utawala haramu wa Israel katika nchi hiyo ya Kiarabu, huo ukiwa ni muendelezo wa hatua za kuimarisha uhusiano baina ya Manama na Tel Aviv.

  • Iran: Saudia imegeuka wakala wa kutekeleza mipango ghalati ya Israel

    Iran: Saudia imegeuka wakala wa kutekeleza mipango ghalati ya Israel

    Jan 15, 2021 11:19

    Msaidizi maalumu wa Spika wa Bunge la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika masuala ya kimataifa amesema watawala wa Saudi Arabia wamegeuka na kuwa wakala wa kutekeleza sera na mipango ghalati ya utawala haramu wa Israel katika eneo la Asia Magharibi.

  • Israel yatishia kuishambulia Iran iwapo Biden atairejesha US katika JCPOA

    Israel yatishia kuishambulia Iran iwapo Biden atairejesha US katika JCPOA

    Jan 15, 2021 10:34

    Mpambe wa karibu wa Benjamin Netanyahu, Waziri Mkuu wa utawala wa Kizayuni ametishia kuwa huenda Israel ikaishambulia kijeshi Jamhuri ya Kiislamu ya Iran iwapo serikali ijayo ya Marekani itarejea katika makubaliano ya nyuklia ya JCPOA.

  • Shirika la Emirates lamfuta kazi rubani Mtunisia aliyekataa kurusha ndege kuelekea Israel

    Shirika la Emirates lamfuta kazi rubani Mtunisia aliyekataa kurusha ndege kuelekea Israel

    Jan 13, 2021 11:01

    Shirika la Ndege la Umoja wa Falme za Kiarabu, Emirates Airline, limemfuta kazi rubani wake mmoja raia wa Tunisia ambaye alikataa amri ya kurusha ndege kuelekea Israel.

  • B'Tselem: Israel ni utawala wa kibaguzi

    B'Tselem: Israel ni utawala wa kibaguzi

    Jan 12, 2021 04:51

    Kituo cha Haki za Binadamu katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu (Israel) cha B'Tselem kimesema Israel ni utawala wa kibaguzi na wala si wa kidemokrasia.

  • Wabunge wa Algeria wataka iwe jinai kuanzisha uhusiano na Israel

    Wabunge wa Algeria wataka iwe jinai kuanzisha uhusiano na Israel

    Jan 08, 2021 23:11

    Makumi ya wabunge wa Algeria wameandaa muswada wa sheria inayopania kuufanya kuwa ni uhalifu uanzishwaji wa uhusiano wowote wa kawaida na utawala wa Kizayuni wa Israel.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS