-
Msimamo mmoja wa dunia dhidi ya mpango wa utawala wa Kizayuni na uungaji mkono wa Marekani kwa mpango huo
Apr 26, 2020 20:10Serikali ya Rais Donald Trump imekuwa ikichukua hatua zisizo za kawaida katika kuunga mkono utawala haramu wa Kizayuni ambapo kati ya hatua hizo ni kuafiki rasmi suala la kuunganishwa maeneo ya Ukingo wa Magharibi na maeneo mengine yanayokaliwa kwa mabavu na utawala huo bandia.
-
Maelfu waandamana Israel dhidi ya serikali ya mseto ya Netanyahu
Apr 26, 2020 03:28Maelfu ya raia wa utawala haramu wa Israel wamefanya maandamano kupinga makubaliano ya kuunda serikali ya muungano baina ya Benjamin Netanyahu ambaye ni kiongozi wa chama cha Licud na kiongozi wa chama cha Blue and White, Benny Gantz, huku wakimtaja Waziri Mkuu huyo wa Israel kama mshukiwa wa jinai na kiongozi fisadi ambaye hapaswi kuendelea kuuongoza utawala huo bandia.
-
Utawala haramu wa Kizayuni na mkosi wa jina 'Netanyahu'
Apr 19, 2020 04:57Duru za habari za utawala haramua wa Kizayuni zinasema kwamba Benjamin Netanyahu, Waziri Mkuu wa Utawala huo ametishia kwa njia isiyo ya moja kwa moja kwamba iwapo mahakama itamuuzulu kwenye nafasi yake hiyo, basi atachochea uasi wa mitaani.
-
Hamas yataka OIC ichukue hatua za kuzuia unyakuzi wa ardhi unaofanywa na Israel
Apr 13, 2020 22:00Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) imetaka Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC) ichukue hatua za dharura za kuzuia hatua za utawala wa Kizayuni wa Israel kunyakua ardhi zaidi za Wapalestina katika mji wa Quds (Jerusalem) na Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan.
-
UAE yanunua mfumo wa makombora wa Israel na kuwapa wapiganaji wa Haftar
Apr 12, 2020 23:08Umoja wa Falme za Kiarabu umenunua mfumo wa kisasa wa makombora kutoka utawala wa Kizayuni wa Israel, kwa ajili ya kuwapa wanamgambo wa kundi linalojiita Jeshi la Taifa la Libya (LNA) linaloongozwa na jenerali muasi Khalifa Haftar.
-
Hamas: Tutakubali kubadilishana wafungwa na Israel kwa masharti
Apr 09, 2020 03:51Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) amesema harakati hiyo imeazimia kuhakikisha kuwa wafungwa wa Kipalestina walioko katika jela za Israel wanaachiwa huru katika mpango wa kubadilishana wafungwa na utawala huo wa Kizayuni.
-
Arab League yatahadharisha kuhusu hatua ya Israel ya kulitumia vibaya janga la Corona
Apr 08, 2020 03:33Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Nchi za Kiarabu (Arab League) amezungumza kwa simu na Katibu wa Kamati ya Utendaji ya Harakati ya Ukombozi wa Palestina (PLO) na kutahadharisha kuhusu hatua ya Israel ya kutumia vibaya janga la virusi vya corona.
-
Matokeo ya uchaguzi wa bunge wa utawala haramu wa Kizayuni na mpasuko mkubwa wa ndani
Mar 06, 2020 04:07Matokeo ya uchaguzi wa tatu wa bunge la utawala haramu wa Israel katika kipindi cha mwaka mmoja uliopita, kabla ya jambo jingine lolote yanaonyesha kuwepo mpasuko mkubwa ndani ya utawala huo.
-
Jumatatu tarehe 2 Machi 2020
Mar 01, 2020 20:53Leo ni Jumatatu tarehe 7 Rajab 1441 Hijria sawa na tarehe 2 Machi 2020.
-
EU yakosoa mpango wa Israel wa kujenga vitongoji vipya Ukingo wa Magharibi
Feb 29, 2020 09:50Umoja wa Ulaya umekosoa vikali mpango wa utawala wa Kizayuni wa Israel wa kujenga maelfu ya vitongoji vipya vya walowezi wa Kizayuni katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan, huko Palestina inayokaliwa kwa mabavu na utawala huo ghasibu.