Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Israel

  • Zaidi ya Wapalestina 6,000 wametiwa nguvuni 2017; wanawake na watoto wanateswa kwenye jela za Israel

    Zaidi ya Wapalestina 6,000 wametiwa nguvuni 2017; wanawake na watoto wanateswa kwenye jela za Israel

    Dec 28, 2017 13:02

    Kituo maalumu cha Palestina kinachoshughulikia masuala ya mateka kimetangaza kuwa zaidi ya Wapalestina elfu sita wametiwa nguvuni na askari wa utawala wa Kizayuni wa Israel katika mwaka huu unaomalizika wa 2017.

  • Maandalizi ya Israel ya kuwafukuza Wapalestina wote katika mji wa Baitul Muqaddas

    Maandalizi ya Israel ya kuwafukuza Wapalestina wote katika mji wa Baitul Muqaddas

    Dec 27, 2017 04:46

    Kutokana na baraka alizotoa Donald Trump kwa utawala wa Kizayuni kuhusiana na mji wa Baitul Muqaddas, bunge la utawala huo haramu limepanga kujadili rasimu ya sheria ya kuwafukuza Wapalestina wote katika mji huo kilipo kibla cha kwanza cha Waislamu.

  • Wapalestina 600 wamekamatwa tangu Quds itangazwe 'mji mkuu wa Israel'

    Wapalestina 600 wamekamatwa tangu Quds itangazwe 'mji mkuu wa Israel'

    Dec 27, 2017 03:50

    Mamia ya Wapalestina wamekamatwa na kuzuiliwa na maafisa usalama wa utawala haramu wa Israel tangu Rais Donald Trump wa Marekani aitangaze Quds Tukufu kuwa mji mkuu wa utawala huo wa Kizayuni mapema mwezi huu.

  • Israel inafanya njama za kudhibiti kikamilifu eneo la Ukingo wa Magharibi

    Israel inafanya njama za kudhibiti kikamilifu eneo la Ukingo wa Magharibi

    Dec 26, 2017 11:51

    Chama cha Kizayuni cha Likud kimewataka viongozi na wawakilishi wa Bunge la utawala haramu la Israel kuhudhuria kikao cha dharura cha chama kwa ajili ya kuchunguza uamuzi wa kudhibitiwa kikamilifu na utawala huo, eneo la Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan huko Palestina.

  • Palestina: Uamuzi wa Guatemala kuuhamishia ubalozi wake Quds ni 'fedheha'

    Palestina: Uamuzi wa Guatemala kuuhamishia ubalozi wake Quds ni 'fedheha'

    Dec 26, 2017 04:00

    Palestina imekosoa vikali hatua ya Guatemala ya kuuhamishia ubalozi wake Quds Tukufu kutoka Tel Aviv na kukitaja kitendo hicho kama 'fedheha'.

  • Askofu wa Waarmenia Tehran: Wakristo hawaitambui Israel

    Askofu wa Waarmenia Tehran: Wakristo hawaitambui Israel

    Dec 26, 2017 00:58

    Askofu wa Kanisa la Armenia mjini Tehran amesisitiza kuwa, Wakristo hawatambui serikali inayojiita Israel.

  • Wazayuni wavamia sehemu alipozaliwa Nabii Issa (Yesu) wawapiga mabomu Wakristo (+ Picha, Video)

    Wazayuni wavamia sehemu alipozaliwa Nabii Issa (Yesu) wawapiga mabomu Wakristo (+ Picha, Video)

    Dec 24, 2017 13:11

    Bila ya kujali utukufu wa eneo alipozaliwa Nabii Isa AS, kwa mara nyingine jeshi la utawala wa Kizayuni wa Israel limeuvamia mji wa Baytullahm (Bethlehem) na kuwashambulia kwa mabomu ya kutoa machozi Wapalestina waliokuwa wanaandamana kupinga siasa za kiuadui za Marekani dhidi ya eneo hilo takatifu.

  • Maandamano ya kuwapinga Wazayuni yaendelea nchini Tunisia

    Maandamano ya kuwapinga Wazayuni yaendelea nchini Tunisia

    Dec 24, 2017 12:13

    Wananchi wa Tunisia kwa mara nyingine wameshiriki katika maandamano makubwa ya kupinga jinai za utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Hamas: Huenda Trump akaitambua Israel kama dola la Kiyahudi

    Hamas: Huenda Trump akaitambua Israel kama dola la Kiyahudi

    Dec 24, 2017 04:34

    Kiongozi wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina Hamas, Ismail Haniya amesema amepokea taarifa za siri kuwa Washington inapanga kuutambua utawala haramu wa Israel kama dola la Kiyahudi.

  • Hamas yakaribisha takwa la ANC la kupunguzwa uhusiano wa kidiplomasia wa Afrika Kusini na Israel

    Hamas yakaribisha takwa la ANC la kupunguzwa uhusiano wa kidiplomasia wa Afrika Kusini na Israel

    Dec 22, 2017 12:13

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS imekaribisha kwa mikono miwili takwa la chama tawala nchini Afrika Kusini ANC kwa serikali ya nchi hiyo la kupunguzwa kiwango cha ushirikiano wa kidiplomasia wa nchi hiyo na utawala ghasibu wa Israel.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS