Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Israel

  • Afrika Kusini kuteremsha hadhi ya ubalozi wake huko Israel

    Afrika Kusini kuteremsha hadhi ya ubalozi wake huko Israel

    Dec 21, 2017 12:48

    Afrika Kusini imesema kuwa itateremsha hadhi ya mahusiano yake ya kidiplomasia huko Israel ikiwa ni radiamali kwa uamuzi wa Marekani wa kuutambua mji wa Quds kuwa ni mji mkuu wa Israel.

  • UN yalaani kitendo cha Israel kumpiga risasi na kumuua Mpalestina mlemavu

    UN yalaani kitendo cha Israel kumpiga risasi na kumuua Mpalestina mlemavu

    Dec 20, 2017 04:50

    Kamishna Mkuu wa haki za binadamu kwenye Umoja wa Mataifa amesema amestaajabishwa sana na kitendo cha jeshi la Israel kumuua kwa kumpiga risasi mtu mwenye ulemavu aliyekuwa anaelekea msikitini siku ya Ijumaa.

  • Iran yaalani hatua ya Marekani ya kulipigia kura ya veto azimio kuhusu Quds

    Iran yaalani hatua ya Marekani ya kulipigia kura ya veto azimio kuhusu Quds

    Dec 19, 2017 04:09

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran jana usiku alilaani hatua ya Marekani ya kuupigia kura ya veto mswada uliopendekezwa na Misri kuhusu Quds na kuitaja hatua hiyo kuwa ni kinyume na amani na usalama wa kimataifa kwa lengo la kukandamiza haki za wananchi wa Palestina.

  • Marekani yatumia VETO kupinga azimio la Quds

    Marekani yatumia VETO kupinga azimio la Quds

    Dec 19, 2017 00:56

    Licha ya wanachama 14 wa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kuupigia kura ya ndio muswada uliopendekezwa na Misri kuhusu mji mtakatifu wa Baytul Muqaddas, lakini Marekani imeukwamisha muswada huo kwa kura yake ya veto.

  • Aoun: Israel inapanga kujenga ukuta wa kibaguzi kandokando mwa eneo la mstari wa bluu

    Aoun: Israel inapanga kujenga ukuta wa kibaguzi kandokando mwa eneo la mstari wa bluu

    Dec 18, 2017 23:19

    Rais wa Lebanon amesema kuwa utawala wa Kizayuni unatekeleza mipango ya kujenga ukuta wa kibaguzi kandokando mwa eneo linalojulikana kama "eneo la mstari wa bluu" huko Hasbaya karibu na mpaka wa Lebanon.

  • Mtego wa Israel kwa Saudia, kuwatenga Aal Saud na ulimwengu wa Kiislamu

    Mtego wa Israel kwa Saudia, kuwatenga Aal Saud na ulimwengu wa Kiislamu

    Dec 15, 2017 02:39

    Gazeti la Kizayuni la Haaretz limetangaza kuwa, Yisrael Katz, waziri wa masuala ya kijasusi wa utawala wa Kizayuni wa Israel amemwita mjini Tel Aviv, Muhammad bin Salman, mrithi wa kiti cha ufalme wa Saudi Arabia.

  • Hamas: Hakuna nchi inayoitwa 'Israel' hata mji mkuu wake uwe 'Quds'

    Hamas: Hakuna nchi inayoitwa 'Israel' hata mji mkuu wake uwe 'Quds'

    Dec 14, 2017 12:31

    Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina Hamas imelaani vikali uamuzi wa Rais wa Marekani, Donald Trump wa kuitangaza Baytul Muqaddas kuwa mji mkuu wa utawala wa Kizayuni wa Israel na kusisitiza kuwa, hakuna dola linaloitwa Israel hata mji mkuu wake uwe Quds tukufu.

  • Wananchi wa Mauritania waandamana kumlaani Donald Trump

    Wananchi wa Mauritania waandamana kumlaani Donald Trump

    Dec 11, 2017 11:02

    Wananchi wa Mauritania wameungana na Waislamu na wapenda haki katika kona zote za dunia kuendeleza maandamano ya kumlaani rais wa Marekani, Donald Trump kwa hatua yake ya kuitambua Quds kuwa mji mkuu wa utawala pandikizi wa Israel.

  • Silaha za Marekani na Israel zapatikana katika ngome za ISIS, Syria

    Silaha za Marekani na Israel zapatikana katika ngome za ISIS, Syria

    Dec 10, 2017 03:48

    Siku chache baada ya Mkuu wa Jeshi la Russia kutangaza kuwa genge la kigaidi la Daesh (ISIS) limeangamizwa kikamilifu nchini Syria, shehena ya silaha zilizotengenezewa Marekani na Israel imepatikana na wanajeshi wa Syria katika mji wa Dayr al-Zawr, iliyokuwa ngome ya mwisho ya magaidi hao.

  • Somalia yasema hatua ya Trump dhidi ya Quds ni 'hatari'

    Somalia yasema hatua ya Trump dhidi ya Quds ni 'hatari'

    Dec 10, 2017 00:10

    Somalia imejiunga na nchi nyingine za Afrika kulaani hatua ya Rais wa Marekani, Donald Trump ya kuitangaza Baytul Muqaddas kuwa mji mkuu wa utawala wa Kizayuni wa Israel.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS