Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Israel

  • Balozi wa Iran UN: Hatua ya Marekani kuhusu Quds ni kuhalalisha uvamizi na ukaliaji wa mabavu

    Balozi wa Iran UN: Hatua ya Marekani kuhusu Quds ni kuhalalisha uvamizi na ukaliaji wa mabavu

    Dec 09, 2017 04:03

    Balozi na mwakilishi wa kudumu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika Umoja wa Mataifa amesema, kukaliwa kwa mabavu Palestina ndilo chimbuko la migogoro yote ya eneo la Mashariki ya Kati na kusisitiza kwamba hatua ya Rais wa Marekani Donald Trump ya kuitangaza Quds kuwa mji mkuu wa utawala wa Kizayuni ni kujaribu kuhalalisha ukaliaji wa mabavu.

  • Wairani waandamana kulaani uamuzi wa Rais Trump kuhusu Baitul Muqaddas

    Wairani waandamana kulaani uamuzi wa Rais Trump kuhusu Baitul Muqaddas

    Dec 08, 2017 11:29

    Maelfu ya wananchi wa Iran wameandamana leo baada ya Swala ya Ijumaa katika miji mbalimbali hapa nchini wakilalamikia na kulaani uamuzi wa Rais Donald Trump wa Marekani wa kuutambua mji wa Baitul Muqaddas wa Palestina kama mji mkuu wa utawala vamizi wa Israel.

  • Tanzania yapinga hatua ya Marekani kutambua Quds kama mji mkuu wa Israel

    Tanzania yapinga hatua ya Marekani kutambua Quds kama mji mkuu wa Israel

    Dec 08, 2017 04:24

    Tanzania imetangaza rasmi kupinga uamuzi wa Rais Donald Trump wa Marekani kutambua mji wa Quds (Jerusalem) kuwa mji mkuu wa utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Radiamali ya Umoja wa Ulaya kuhusu hatua ya Trump dhidi ya Quds Tukufu

    Radiamali ya Umoja wa Ulaya kuhusu hatua ya Trump dhidi ya Quds Tukufu

    Dec 08, 2017 01:18

    Federica Mogherini, Mkuu wa Sera za Kigeni wa Umoja wa Ulaya amelaani hatua ya Rais Donald Trump wa Marekani ya kutambua rasmi mji wa Beitul Muqaddas kuwa mji mkuu wa utawala haramu wa Israel na kuongeza kuwa hatua hiyo ya upande mmoja bila shaka itavuruga utulivu wa ulimwengu na juhudi zote zilizofanywa kwa ajili ya kutatua mzozo wa Palestina.

  • Israel yaiuzia Sudan Kusini ndege zisizo na rubani

    Israel yaiuzia Sudan Kusini ndege zisizo na rubani

    Dec 05, 2017 04:34

    Utawala wa Kizayuni wa Israel umeiuzia Sudan Kusini ndege zisizo na rubani na kamera za kisasa za usalama zilizogharimu mamilioni ya dola, licha ya nchi hiyo changa zaidi barani Afrika kusumbuliwa na ukosefu wa usalama, machafuko, njaa na wimbi la wakimbizi.

  • PLO: Kuuhamishia Quds ubalozi wa Marekani ni 'busu la mauti'

    PLO: Kuuhamishia Quds ubalozi wa Marekani ni 'busu la mauti'

    Dec 05, 2017 04:31

    Mwakilishi wa Harakati ya Ukombozi wa Palestina (PLO) nchini Marekani ameonya kuhusu madhara ya mpango wa Washington wa kuuhamisha ubalozi wake mjini Tel Aviv na kuupeleka katika mji mtakatifu wa Quds.

  • Arab League yaionya Marekani dhidi ya kuuhamishia ubalozi wake Quds

    Arab League yaionya Marekani dhidi ya kuuhamishia ubalozi wake Quds

    Dec 03, 2017 10:56

    Jumuiya ya Nchi za Kiarabu imeonya kuwa, kuhamishiwa ubalozi wa Marekani kutoka Tel Aviv hadi mji mtukufu wa Quds hakutakuwa na natija nyingine ghairi ya kuibua ghasia na kuvuruga zaidi hali ya mambo.

  • Askari wa Kizayuni wamewakamata Wapalestina 450 mwezi Novemba

    Askari wa Kizayuni wamewakamata Wapalestina 450 mwezi Novemba

    Dec 02, 2017 23:17

    Kituo cha Utafiti wa Wafungwa Wapalestina PPCS kimetangaza kuwa jumla ya Wapalestina 450 walikamatwa na wanajeshi wa utawala wa Kizayuni wa Israel mwezi uliopita wa Novemba.

  • ICC yakataa kuifungulia mashtaka Israel kwa kuvamia msafara wa wanaharakati na kuua

    ICC yakataa kuifungulia mashtaka Israel kwa kuvamia msafara wa wanaharakati na kuua

    Dec 01, 2017 04:01

    Mahakama ya Kimataifa ya Jinai ICC imesema haitaufungulia mashtaka utawala wa Kizayuni wa Israel kutokana na uvamizi uliofanywa na makomandoo wake dhidi ya msafara wa misaada kwa ajili ya Wapalestina wa Ukanda wa Gaza katika maji ya kimataifa mwaka 2010.

  • Rais wa zamani wa Yemen aonyesha nyaraka za ushirikiano wa Saudia na Israel katika vita vya 1967

    Rais wa zamani wa Yemen aonyesha nyaraka za ushirikiano wa Saudia na Israel katika vita vya 1967

    Dec 01, 2017 01:16

    Rais wa zamani wa Yemen Ali Abdullah Saleh ameonyesha nyaraka zinazohusu hatua zilizochukuliwa na Saudi Arabia na Marekani kuiunga mkono Israel katika vita dhidi ya Misri na Syria na vilevile uungaji mkono wa Washington kwa mpango wa kuigawanya Iraq.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS