Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Israel

  • Atwan: Israel haina ubavu wa kutekeleza vitisho inavyotoa dhidi ya Iran

    Atwan: Israel haina ubavu wa kutekeleza vitisho inavyotoa dhidi ya Iran

    Nov 29, 2017 01:35

    Gazeti la Al-Ra'yul-Yaum limeandika kuhusu vitisho hewa vya utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na kueleza kwamba Tel Aviv haiwezi kutekeleza kivitendo vitisho vyake vya kuchukua hatua za kijeshi dhidi ya Iran nchini Syria na kumuua kigaidi Jenerali Qassim Soleimani, kwa sababu ikijaribu kufanya hivyo itakabiliwa na mwisho mbaya na si hasha ikawa sababu ya kuangamizwa moja kwa moja.

  • Israel: Tunapanga kumuua Nasrullah katika vita vijavyo dhidi ya Lebanon

    Israel: Tunapanga kumuua Nasrullah katika vita vijavyo dhidi ya Lebanon

    Nov 28, 2017 04:16

    Jeshi la utawala wa Kizayuni wa Israel limetishia kwamba Sayyid Hasssan Nasrullah, kiongozi wa harakati ya Hizbullah ya Lebanon yupo kwenye shabaha ya kuuawa katika vita vijavyo vya Tel Aviv dhidi ya nchi hiyo ya Kiarabu.

  • Hamas: Silaha zetu ni mstari mwekundu, hazina mjadala

    Hamas: Silaha zetu ni mstari mwekundu, hazina mjadala

    Nov 28, 2017 04:07

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina, Hamas, imepinga mwito wa kuitaka iweke chini silaha kama sehemu ya maridhiano ya kitaifa kati yake na harakati ya Fat'h.

  • Saudia ipo tayari 'kuitoa kafara' Palestina ili kuimarisha uhusiano na Israel

    Saudia ipo tayari 'kuitoa kafara' Palestina ili kuimarisha uhusiano na Israel

    Nov 26, 2017 23:33

    Mshauri wa zamani wa Waziri Mkuu wa utawala wa Kizayuni wa Israel amesema utawala wa Aal-Saud wa Saudi Arabia uko tayari 'kuitoa kafara' Palestina kwa lengo la kuimarisha uhusiano wake na Tel Aviv.

  • Waziri wa zamani wa Israel ajifakharisha kwa mauaji dhidi ya Wapalestina

    Waziri wa zamani wa Israel ajifakharisha kwa mauaji dhidi ya Wapalestina

    Nov 26, 2017 23:31

    Waziri wa zamani wa vita wa utawala haramu wa Israel amejifakharisha kwa mauaji aliyoyafanya dhidi ya wananchi madhulumu wa Palestina.

  • Shughuli za kijeshi za nyuklia za utawala wa Kizayuni, chanzo  cha wasiwasi wa jamii ya kimataifa

    Shughuli za kijeshi za nyuklia za utawala wa Kizayuni, chanzo cha wasiwasi wa jamii ya kimataifa

    Nov 26, 2017 03:51

    Mwakilishi wa kudumu wa Iran katika Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki (IAEA), amesema shughuli za nyuklia za kijeshi za utawala wa Kizayuni wa Israel ni chanzo kikuu cha wasiwasi wa mataifa ya eneo la Mashariki ya Kati na jamii ya kimataifa kwa ujumla.

  • Tamko la mwisho la kikao cha kimataifa cha wapenzi wa Ahlul Bayt AS mjini Tehran

    Tamko la mwisho la kikao cha kimataifa cha wapenzi wa Ahlul Bayt AS mjini Tehran

    Nov 24, 2017 00:46

    Washiriki wa kikao cha kimataifa cha wapenzi wa Ahlul Bayt wa kizazi kitoharifu cha Bwana Mtume Muhammad SAW kilichofanyika hapa mjini Tehran, wamemaliza kikao chao cha siku mbili kwa kutoa tamko lenye vipengee 10 na ndani yake kusisitizia umuhimu wa Palestina na udharura wa kukombolewa Quds tukufu.

  • Jeshi la Lebanon lawekwa katika hali ya tahadhari kutokana na chokochoko za Israel

    Jeshi la Lebanon lawekwa katika hali ya tahadhari kutokana na chokochoko za Israel

    Nov 21, 2017 23:34

    Mkuu wa Jeshi la Lebanon amewataka wanajeshi wa nchi hiyo kuwa katika hali ya tahadhari hususan katika maeneo ya mpaka wa kusini, ili kuzima chokochoko zozote zinazoweza kuanzishwa na utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Duru mpya ya mazungumzo ya amani ya Burundi kuanza Novemba 27

    Duru mpya ya mazungumzo ya amani ya Burundi kuanza Novemba 27

    Nov 17, 2017 03:41

    Duru mpya ya mazungumzo kuhusu mgogoro wa kisiasa wa Burundi inatazamiwa kuanza tena Novemba 27 hadi Disemba 8, mwaka huu.

  • Saudia yaichochea Israel iihujumu Lebanon, Hizbullah yasema iko tayari kijeshi

    Saudia yaichochea Israel iihujumu Lebanon, Hizbullah yasema iko tayari kijeshi

    Nov 13, 2017 23:34

    Afisa wa ngazi za juu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesema kuwa, harakati hiyo iko tayari kwa ajili ya makabiliano yoyote ya kijeshi huku kukiwa na tetesi kuwa Saudi Arabia inauchochea utawala wa Kizayuni wa Israel uishambulie Lebanon kijeshi.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS