-
Maafisa wa ngazi za juu wa Saudi Arabia na Israel wakutana Marekani
Nov 12, 2017 01:16Tzipi Livni Waziri wa zamani wa mambo ya nje wa utawala wa Kizayuni wa Israel amekutana na Turki al Faisal, mkuu wa zamani wa shirika la kijasusi la Saudi Arabia.
-
Marekani kuipa Israel dola milioni 705 kujiimarisha kwa makombora
Nov 11, 2017 03:57Katika hali ambayo Marekani imezusha kelele nyingi kuhusu miradi ya ulinzi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, mabaraza ya Congress na Senate ya nchi hiyo yamefikia mwafaka wa kuupatia utawala wa Kizayuni wa Israel msaada wa dola milioni 705 kwa ajili ya kuendeleza miradi yake ya makombora.
-
Siri yafichuka, Saudia na Israel zinataka kuanzisha vita Mashariki ya Kati
Nov 10, 2017 11:33Imebainika kuwa, utawala wa Aal-Saud wa Saudi Arabia na utawala wa Kizayuni wa Israel zinapanga njama ya kuanzisha vita katika eneo la Mashariki ya Kati.
-
Waziri wa Uingereza ajiuzulu kwa kufanya mikutano ya siri na Netanyahu
Nov 09, 2017 04:20Waziri wa Maendeleo ya Kimataifa wa Uingereza, Priti Patel amelazimika kujiuzulu kutokana na mtikisiko wa kisiasa nchini humo uliosababishwa na yeye kufanya mikutano ya siri na maafisa wa utawala wa Kizayuni wa Israel akiwemo Waziri Mkuu wa utawala huo bandia, Benjamin Netanyahu.
-
Israel yazitaka balozi zake kushirikiana zaidi na Saudia dhidi ya Hizbullah
Nov 07, 2017 11:06Utawala haramu wa Kizayuni na katika kulinda maslahi ya Saudi Arabia duniani dhidi ya haraki ya Kiislamu ya Hizbullah ya nchini Lebanon, imetoa ujumbe kwa balozi zake kuhusiana na suala hilo.
-
Sisitizo la Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu kuhusu kuendelea mapambano anuia dhidi ya utawala wa Kizayuni wa Israel
Nov 02, 2017 04:23Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Sayyed Ali Khamenei ametuma ujumbe katika Mkutano wa Pili wa Muungano wa Kimataifa wa Maulama wa Muqawama unaofanyika huko Lebanon akisistiza kudumishwa mapambano ya aina mbalimbali dhidi ya utawala vamizi na wa Kizayuni wa Israel kwa wale wote wanaohisi kubeba dhima na wajibu huo mkubwa.
-
Ripoti: Abbas asema hatochagua mawaziri kutoka HAMAS kama hawatokubali kuitambua Israel
Oct 30, 2017 23:16Rais wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina ameripotiwa amesema kuwa hatowachagua wanachama wa Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS kuwa mawaziri katika serikali yake endapo hawatokuwa tayari kutamka wazi na hadharani kuwa wanautambua utawala haramu wa Kizayuni wa Israel.
-
Njama za Marekani za kukandamiza harakati ya ususiaji utawala wa Israel
Oct 30, 2017 10:03Kufuatia kuimarika harakati ya Ulimwengu ya Ususiaji dhidi ya Israel maarufu kwa jina la BDS nchini Marekani, jimbo la Wisconsin nchini humo limejiunga na majimbo ambayo yamepiga marufuku utiwaji saini mikataba na mashirika ambayo yanaunga mkono harakati hiyo ya kususia Israel.
-
Hamas yapinga ushirikiano wa kiusalama kati ya serikali ya Abbas na Israel
Oct 28, 2017 23:35Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) imepinga vikali kuanza tena ushirikiano wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina na utawala wa Kizayuni wa Israel katika masuala ya kiusalama.
-
Ismail Haniya: jaribio la Israel la kumuua afisa mkuu wa HAMAS limefeli
Oct 28, 2017 04:34Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS amesema utawala wa Kizayuni wa Israel ndio umehusika katika jaribio la mauaji lililofeli dhidi ya afisa wa ngazi ya juu wa harakati hiyo.