Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Israel

  • Ansarullah ya Yemen: Saudi Arabia ipo katika kambi ya utawala haramu wa Israel

    Ansarullah ya Yemen: Saudi Arabia ipo katika kambi ya utawala haramu wa Israel

    Oct 27, 2017 12:00

    Muhammad Abdul-Salaam, Msemaji wa Harakati ya Ansarullah ya Yemen amesema kuwa, Saudi Arabia inataka kuiweka madarakani nchini Yemen serikali kibaraka.

  • Naibu Mkuu wa HAMAS: Israel ndio

    Naibu Mkuu wa HAMAS: Israel ndio "Hatari Kuu"

    Oct 26, 2017 11:46

    Naibu Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS amezitaka nchi na pande zote za eneo la Mashariki ya Kati zikubaliane na fikra kwamba utawala haramu wa Kizayuni wa Israel ndio "Hatari Kuu".

  • Israel kuwafukuza kwa nguvu wahajiri Waafrika

    Israel kuwafukuza kwa nguvu wahajiri Waafrika

    Oct 25, 2017 23:07

    Waziri Mkuu wa utawala wa Kizayuni amefikia makubaliano na viongozi wa nchi za Afrika kuhusiana na kuwarejesha kwa nguvu Waafrika wanaoingia katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu na Israel.

  • Iran yamhukumu kifo jasusi wa Mossad ya Israel

    Iran yamhukumu kifo jasusi wa Mossad ya Israel

    Oct 25, 2017 00:33

    Mwendesha mashtaka wa Tehran amesema ajenti wa Shirika la Ujasusi la Utawala wa Kizayuni wa Israel MOSSAD amehukumiwa kifo baada ya kupatikana na hatia ya kuipa Tel Aviv taarifa zilizopelekea kuuawa shahidi wataalamu wa nyuklia wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.

  • Gazeti la Kizayuni: Silaha za Israel inazouziwa Myanmar ndizo zinatumika kuwaua Waislamu

    Gazeti la Kizayuni: Silaha za Israel inazouziwa Myanmar ndizo zinatumika kuwaua Waislamu

    Oct 23, 2017 10:38

    Gazeti la utawala wa Kizayuni la Haaretz limeandika kuwa silaha za kisasa za Israel zinazouzwa kwa serikali ya Myanmar, ndizo zinatumika kuwaua Waislamu wa nchi hiyo.

  • Sheikh Naim Qassim utawala wa Kizayuni wa Israel utabakia kuwa ni adui

    Sheikh Naim Qassim utawala wa Kizayuni wa Israel utabakia kuwa ni adui

    Oct 22, 2017 10:58

    Naibu Katibu Mkuu wa Harakati ya Mapambano ya Hizbullah ya Lebanon amesema kuwa, utawala wa Kizayuni wa Israel utaendelea kubakia kuwa ni adui siku zote.

  • Kudhihirishwa Iran kuwa ni tishio; kisingizio kinachotumiwa na Wasaudia na Wazayuni kuimarisha uhusiano

    Kudhihirishwa Iran kuwa ni tishio; kisingizio kinachotumiwa na Wasaudia na Wazayuni kuimarisha uhusiano

    Oct 22, 2017 04:33

    Duru za Kizayuni zimekiri kuwa Muhammad bin Salman Mrithi wa Kiti cha Ufalme wa Saudia mwezi Septemba uliopita alifanya safari ya siri huko Palestina inayokaliwa kwa mabavu katika fremu ya juhudi za kuanzisha na kupanua mashauriano kati ya nchi hiyo na utawala wa Kizayuni.

  • Siasa mbovu za Barzani kuhusu Kurdistan, zimemfanya apoteze marafiki wote isipokuwa Israel

    Siasa mbovu za Barzani kuhusu Kurdistan, zimemfanya apoteze marafiki wote isipokuwa Israel

    Oct 20, 2017 04:36

    Nouri al-Maliki, Makamu wa Rais wa Iraq amesema kuwa siasa mbovu za Masoud Barzani kuhusu eneo la Kurdistan ya Iraq, zimemfanya apoteze marafiki zake wote isipokuwa utawala haramu wa Kizayuni.

  • Hamas: Hakuna wa kutushurutisha tuvunje jeshi letu au tuitambue Israel

    Hamas: Hakuna wa kutushurutisha tuvunje jeshi letu au tuitambue Israel

    Oct 20, 2017 04:28

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina Hamas imesema hakuna mtu mwenye uwezo wa kuishurutisha harakati hiyo ya muqawama kuvunja tawi lake la kijeshi au kuutambua utawala haramu wa Israel kama masharti ya kukubali mapatano ya kitaifa ya Wapalestina.

  • Mkutano wa Kimataifa wa Mabunge wagubikwa na malalamiko dhidi ya Israel + Video

    Mkutano wa Kimataifa wa Mabunge wagubikwa na malalamiko dhidi ya Israel + Video

    Oct 19, 2017 09:33

    Spika wa Bunge la Kuwait ameutaja ujumbe wa utawala wa Kizayuni katika Mkutano wa Umoja wa Mabunge huko Russia kuwa ni ghasibu na unaoua watoto na akautaka ujumbe huo utoke kwenye ukumbi unapofanyikia mkutano huo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS