-
Mbunge wa Kuwait akemea vikali ujumbe wa Israel katika mkutano wa mabunge + Video
Oct 19, 2017 04:08Spika wa Bunge la Kuwait ameukemea vikali ujumbe wa bunge la utawala wa Kizayuni wa Israel na kuulazimisha kuondoka katika mkutano wa kimataifa nchini Russia.
-
Radiamali ya Wapalestina kwa njama za Israel za kukwamisha maridhiano ya kitaifa ya Palestina
Oct 19, 2017 00:30Habari kutoka Palestina zinaonyesha juu ya kuendelea njama na ukwamishaji mambo wa Israel katika njia ya mwenendo wa maridhiano ya kitaifa ya Wapalestina.
-
Onyo la Syria kwa utawala haramu wa Israel
Oct 17, 2017 23:19Jeshi la Syria limeuonya utawala haramu wa Israel kuhusiana na kukariri uvamizi wake dhidi ya ardhi ya nchi hiyo ya Kiarabu.
-
Tahadhari kuhusu njama za utawala wa Kizyauni wa Israel kujipenyeza zaidi Afrika
Oct 16, 2017 09:22Makundi ya kisiasa nchini Tunisia yametahadharisha kuhusu mikakati ya utawala wa Kizayuni wa Israel barani Afrika.
-
Wabahrain waandamana kupinga kuanzishwa uhusiano na Israel
Oct 13, 2017 12:02Watu wa Bahrain wameandamana kulaani vikali mpango wa ufalme wa nchi hiyo ndogo ya Ghuba ya Uajemi kuanzisha uhusiano na utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
Gazeti la Kizayuni lataja sababu kuu ya Israel kuunga mkono Kurdistan kujitenga na Iraq
Oct 10, 2017 23:04Gazeti moja la Kizayuni limeandika kuwa manufaa ya kistratijia ndio sababu ya utawala haramu wa Israel kuunga mkono eneo la Kurdistan kujitenga na Iraq.
-
Marekani, Israel na Saudia zinapanga njama ya kuizingira Hizbullah
Oct 09, 2017 23:38Gazeti moja la nchini Lebanon la al-Akhbar limeandika kuwa, hivi sasa Marekani, Saudia na Israel zinapanga njama kwa ajili ya kuidhibiti harakati ya Kiislamu ya Hizbullah ili kuizuia isiweze kutumia uwezo wake katika vita vijavyo vya kuainisha hatima.
-
Jeshi la Israel lashambulia ngome za Hamas Ukanda wa Gaza
Oct 09, 2017 04:30Vikosi vya Jeshi la utawala wa Kizayuni wa Israel vimeshambulia kile vinachodai kuwa ni ngome za Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina Hamas, katika Ukanda wa Gaza.
-
UAE inanunua kwa siri silaha za utawala wa Kizayuni wa Israel
Oct 08, 2017 11:10Umoja wa Falme za Kiarabu, UAE au Imarati, inanunua kwa siri silaha za utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
Chuki dhidi ya dini ya Kiislamu katika nchi za Kimagharibi na sauti-10
Oct 08, 2017 11:01Hamjambo wapenzi wasikilizaji na karibuni kutegea sikio sehemu ya 10 ya makala yanayozungumzia chuki na matukio ya kibaguzi dhidi ya Uislamu na Waislamu kwa ujumla katika nchi za Magharibi.