-
Lebanon yakamata genge la majasusi wa Mossad
Oct 07, 2017 23:11Vikosi vya usalama vya Lebanon vimetangaza kukamata genge lenye mfungamano na shirika la kijasusi la utawala wa Kizayuni wa Israel, Mossad.
-
Waisraeli wakiri kuhusika na mauaji ya kizazi ya Waislamu wa Rohingya
Oct 06, 2017 04:36Mtaalamu mmoja mashuhuri wa Israeil amesema kuwa Tel Aviv inahusika katika mauaji ya kimbari ya Waislamu wasio na hatia wala ulinzi nchini Myanmar.
-
Norway yampa hifadhi Mhahudi aliyefichua siri ya silaha za nyuklia za Israel
Oct 03, 2017 22:51Serikali ya Norway imekubali kumpa hifadhi ya ukimbizi mtu aliyefichua kwa mara ya kwanza miradi ya siri ya kuzalisha silaha za nyuklia ya utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
Gazeti la Haaretz lakiri nafasi ya Israel katika mauaji ya kimbari dhidi ya Waislamu wa Myanmar
Oct 02, 2017 10:48Gazeti la Kizayuni la Haaretz limeandika kuwa, utawala haramu wa Israel una nafasi katika mauaji ya kimbari dhidi ya Waislamu Warohingya wa Myanmar yanayoendelea kufanywa na jeshi la nchi hiyo likishirikiana na Mabudha wenye misimamo mikali.
-
Nasrullah: Israel itajuta kwa kutaka kulisukuma eneo katika vita
Oct 01, 2017 11:59Katibu Mkuu wa Harakati ya Muqawama ya Hizbullah ya Lebanon ametahadharisha kuwa utawala wa Kizayuni wa Israel chini ya 'jahili' Benjamin Netanyahu unataka kulisukuma eneo la Mashariki ya Kati katika vita.
-
Iran: Kujitenga Kurdistan na Iraq kutalipa nguvu Daesh na Israel
Oct 01, 2017 11:56Hussein Amir-Abdullahian, Mkurugenzi Mkuu wa Masuala ya Kimataifa ya Bunge la Iran amesema hatua ya Massoud Barzani, Rais wa Serikali ya Eneo la Kurdistan ya kushinikiza kujitenga eneo hilo na serikali kuu ya Iraq ni sawa na kulishajiisha kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh na kutumikia maslahi ya utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
Sayyid Nasrullah: Marekani na Israel zinaunga mkono kujitenga eneo la Kurdistan la Iraq
Oct 01, 2017 00:26Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon amesema katika hotuba aliyoitoa kwa mnasaba wa usiku wa Ashura ya Imam Husain AS kwamba Israel na Marekani zinaunga mkono kujitenga eneo la Kurdistan na maeneo mengine ya Iraq.
-
Yemen: Tunaweza kuvisambaratisha vituo vya kijeshi vya Israel huko Eritrea
Sep 30, 2017 04:37Msemaji wa Jeshi la Yemen ameutahadharisha utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya kuendeleza chokochoko zake dhidi ya nchi hiyo ya Kiarabu akisisitiza kuwa, vituo vya kijeshi vya Tel Aviv vilivyoko nchini Eritrea vipo ndani ya shabaha ya makombora ya balestiki ya Yemen.
-
Indhari ya Yemen kwa utawala haramu wa Israel baada ya kuipatia Saudia kambi zake za kijeshi
Sep 30, 2017 04:34Naibu msemaji wa jeshi la Yemen ameonya kwamba, kambi za kijeshi za utawala haramu wa Kizayuni wa Israel zilizoko katika visiwa vya Eritrea katikati ya Bahari Nyekundu, zinatumiwa na Saudia kwa ajili ya kufyatua makombora kuishambulia Yemen.
-
Matamshi ya uongo ya balozi wa Marekani Israel yawakasirisha Wapalestina
Sep 29, 2017 04:08Balozi wa Marekani Israel amewakasirisha Wapalestina baada ya kudai kwamba utawala huo haramu wa Kizayuni umevamia na kukalia kwa mabavu asilimia mbili tu ya ardhi za Palestina katika Ufukwe wa Magharibi wa Mto Jordan.