Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Israel

  • Israel yakiri shirika lake la kijasusi linafanya uharibifu Afrika

    Israel yakiri shirika lake la kijasusi linafanya uharibifu Afrika

    Sep 27, 2017 06:29

    Kwa mara ya kwanza utawala wa Kizayuni wa Israel umekiri kuwa, umekuwa ukifanya uharibifu barani Afrika kama vile vitendo vya kigaidi kwa shabaha ya kuwatisha na kuwachochea Mayahudi.

  • Israel inaendelea kulipatia silaha jeshi la Myanmar

    Israel inaendelea kulipatia silaha jeshi la Myanmar

    Sep 27, 2017 00:47

    Utawala haramu wa Kizayuni wa Israel unaendelea kusafirisha silaha kuelekea Myanmar kwa ajili ya jeshi la nchi hiyo.

  • UN yasikitishwa na kushtadi ujenzi wa vitongoji vya walowezi wa Kizayuni, Palestina

    UN yasikitishwa na kushtadi ujenzi wa vitongoji vya walowezi wa Kizayuni, Palestina

    Sep 26, 2017 04:08

    Umoja wa Mataifa umekosoa mwenendo wa ujenzi wa vitongoji vya walowezi wa Kiyahudi unaofanywa na utawala wa Kizayuni wa Israel katika ardhi za Wapalestina licha ya Baraza la Usalama la umoja huo kupasisha azimio la kulaani na kutaka kusimamishwa ujenzi huo mwishoni mwa mwaka jana.

  • UN yasikitishwa na kushtadi ujenzi wa vitongoji vya walowezi wa Kizayuni, Palestina

    UN yasikitishwa na kushtadi ujenzi wa vitongoji vya walowezi wa Kizayuni, Palestina

    Sep 26, 2017 01:19

    Umoja wa Mataifa umekosoa mwenendo wa ujenzi wa vitongoji vya walowezi wa Kiyahudi unaofanywa na utawala wa Kizayuni wa Israel katika ardhi za Wapalestina licha ya Baraza la Usalama la umoja huo kupasisha azimio la kulaani na kutaka kusimamishwa ujenzi huo mwishoni mwa mwaka jana.

  • Ripoti: Israel huwatia mbaroni mamia ya Waafrika kila mwaka

    Ripoti: Israel huwatia mbaroni mamia ya Waafrika kila mwaka

    Sep 25, 2017 00:41

    Gazeti la Kizayuni la Haaretz limeripoti kuwa vyombo vya usalama vya Israel huwakamata na kuwazuilia mamia ya Waafrika kila mwaka, kinyume cha sheria.

  • Utawala wa Aal Khalifa wa Bahrain umezitaka nchi za Kiarabu ziuhishe uhusiano na Israel

    Utawala wa Aal Khalifa wa Bahrain umezitaka nchi za Kiarabu ziuhishe uhusiano na Israel

    Sep 24, 2017 04:01

    Gazeti la Times limefichua kuwa nchi za Kiarabu za pambizoni mwa Ghuba ya Uajemi zimechukua hatua za awali kwa ajili ya kuutambua rasmi utawala wa Kizayuni kufutia wito uliotolewa na Sheikh Hamad bin Issa Aal Khalifa Mfalme wa Bahrain.

  • Jeshi la Lebanon: Vitisho vya Israel havitutishi

    Jeshi la Lebanon: Vitisho vya Israel havitutishi

    Sep 23, 2017 12:00

    Kamanda wa Jeshi la Lebanon ametangaza kuwa jeshi la nchi hiyo liko tayari kukabiliana na aina yoyote ya vitisho vya jeshi la utawala haramu wa Israel.

  • Wapalestina wawasilisha ushahidi wa jinai za Israel dhidi yao ICC

    Wapalestina wawasilisha ushahidi wa jinai za Israel dhidi yao ICC

    Sep 20, 2017 22:02

    Mawakili na wanaharakati wa kutetea haki za binadamu wa Palestina wamewasilisha ushahidi mbele ya Mahakama ya Kimataifa ya Jinai ICC inayothibitisha kuwa vyombo vya dola vya utawala wa Kizayuni wa Israel vimehusika katika jinai dhidi yao.

  • Mfalme wa Bahrain ataka  nchi za Kiarabu ziache kususia Israel

    Mfalme wa Bahrain ataka nchi za Kiarabu ziache kususia Israel

    Sep 18, 2017 09:35

    Mfalme Hamad bin Isa Aal Khalifa wa Bahrain amezitaka nchi za Kiarabu kuacha kuusussia utawala haramu wa Israeli.

  • Umoja wa Mataifa: Wapalestina 19 wameuawa shahidi tangu kuanza mwaka huu

    Umoja wa Mataifa: Wapalestina 19 wameuawa shahidi tangu kuanza mwaka huu

    Sep 16, 2017 23:18

    Ofisi ya Uratibu wa Masuala ya Kibinadamu ya Umoja wa Mataifa (OCHA) katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu imetangaza kuwa, Wapalestina 19 wameuawa shahidi tangu ulipoanza mwaka huu wa 2017.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS