Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Israel

  • Kwa nini maandamano yameshadidisha hali mbaya ya mgogoro Israel?

    Kwa nini maandamano yameshadidisha hali mbaya ya mgogoro Israel?

    Aug 19, 2025 06:56

    Mgogoro wa hivi sasa katika ardhi zinazokaliwa kwa mabavu (Israel) na kushadidi maandamano yanaashiria kudhoofika muundo wa kisiasa na kiusalama wa utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Iran yalaani uamuzi wa Israel wa kuwafurusha Wapalestina Jiji la Gaza

    Iran yalaani uamuzi wa Israel wa kuwafurusha Wapalestina Jiji la Gaza

    Aug 18, 2025 03:15

    Iran imelaani vikali uamuzi wa Israel wa kuwalazimisha Wapalestina kuhama makazi yao na kuelekea kusini mwa Gaza na kusisiitiza kuwa, jamii ya kimataifa na nchi za Kiislamu zina wajibu wa kukabiliana na uhalifu huo wa kutisha wa kivita.

  • Israel yaua Wapalestina wengine 60, yashadidisha ukatili wake 'Gaza City'

    Israel yaua Wapalestina wengine 60, yashadidisha ukatili wake 'Gaza City'

    Aug 18, 2025 03:13

    Jeshi la Israel limeshadidisha mashambulizi katika Jiji la Gaza kama sehemu ya operesheni zake zilizopanuliwa zenye lengo la kuteka na kukalia kwa mabavu eneo hilo la 'mwisho' lenye idadi kubwa ya watu katika Ukanda wa Gaza, na kulazimisha makumi ya maelfu ya Wapalestina wanaokabiliwa na njaa kukimbia tena.

  • Larijani: Israel imedhoofika kutoka na wimbi la makombora ya Iran

    Larijani: Israel imedhoofika kutoka na wimbi la makombora ya Iran

    Aug 17, 2025 23:59

    Katibu wa Baraza Kuu la Usalama wa Taifa la Iran (SNSC), Ali Larijani amesema kuwa, wimbi la mashambulio ya makombora ya Iran lilimfanya adui Mzayuni akate tamaa kikamilifu wakati wa vita vya siku 12 vya Israel ilivyoitwisha Jamhuri ya Kiislamu.

  • Hamas: Israel imeingia katika marhala mpya ya mauaji ya kimbari Gaza

    Hamas: Israel imeingia katika marhala mpya ya mauaji ya kimbari Gaza

    Aug 17, 2025 23:57

    Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina Hamas imelaani vikali mpango wa Israel wa kukalia kwa mabavu Jiji la Gaza na kuwahamisha kwa nguvu wakazi wake na kusisitiza kuwa, huo ni ukiukaji wa wazi wa sheria za kimataifa.

  • Tokea wizi wa maji hadi propaganda dhidi ya Iran; je, Israel inafichaje matatizo yake ya maji?

    Tokea wizi wa maji hadi propaganda dhidi ya Iran; je, Israel inafichaje matatizo yake ya maji?

    Aug 17, 2025 08:45

    Felice Friedson, Mkuu na Mkurugenzi Mtendaji wa The Media Line, mnamo Agosti 15, mwaka huu aliandika makala, yenye kichwa cha habari kisemacho "Tehran, Amka: Teknolojia ya Maji ya Israel, Sio Mabomu ya Nyuklia, Bali ni Daraja la Amani."

  • Qalibaf: Muda wa kumdhibiti mbwa kichaa wa Kizayuni unayoyoma

    Qalibaf: Muda wa kumdhibiti mbwa kichaa wa Kizayuni unayoyoma

    Aug 15, 2025 23:27

    Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) amesema kuwa, Gaza ndiyo "ngome ya mwisho" ya Waislamu, na kusisitiza haja ya kuungwa mkono Palestina haraka iwezekanavyo, kabla ya ardhi nyingine katika eneo kushambuliwa na kuporwa na utawala ghasibu wa Israel.

  • Je, nchi za Amerika ya Kusini zimepokea vipi mpango wa Israel wa kukalia kwa mabavu Gaza?

    Je, nchi za Amerika ya Kusini zimepokea vipi mpango wa Israel wa kukalia kwa mabavu Gaza?

    Aug 15, 2025 22:47

    Nchi nyingi za Amerika ya Kusini zimekuwa na misimamo ya kukosoa waziwazi mpango wa utawala wa Kizayuni wa kuikalia kijeshi Gaza. Bila shaka, baadhi ya nchi, kama vile Argentina, zimechukua msimamo tofauti wa kuiunga mkono Tel Aviv.

  • Uhamiaji wa kulazimishwa dhidi ya Wapalestina wa Gaza; kwa nini Israel inaitazama Afrika?

    Uhamiaji wa kulazimishwa dhidi ya Wapalestina wa Gaza; kwa nini Israel inaitazama Afrika?

    Aug 14, 2025 01:03

    Katika hali ambayo vita vya Gaza vinaendelea na hali mbaya ya kibinadamu katika ukanda huo imefikia kiasi kwamba makumi ya wakazi wa Gaza wanakufa kila siku, si tu kwa kupigwa risasi na askari wa Israel bali pia kutokana na njaa na kiu kali, Israel inafanya mazungumzo na nchi kadhaa za Kiafrika ili kuwahamishia huko kwa nguvu wakazi wa Gaza.

  • Takwa jipya la Ripota Maalumu wa Umoja wa Mataifa kwa Jamii ya Kimataifa kuhusu utawala wa Kizayuni

    Takwa jipya la Ripota Maalumu wa Umoja wa Mataifa kwa Jamii ya Kimataifa kuhusu utawala wa Kizayuni

    Aug 12, 2025 02:35

    Francesca Albanese, Ripota Maalumu wa Umoja wa Mataifa ametoa wito wa kufukuzwa timu za michezo za utawala wa Kizayuni katika mashindano ya kimataifa.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS