Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Israel

  • Je, ni hatua gani ya hivi majuzi ya rais wa Colombia dhidi ya Israel?

    Je, ni hatua gani ya hivi majuzi ya rais wa Colombia dhidi ya Israel?

    Jul 29, 2025 23:11

    Rais wa Colombia Gustavo Petro hivi karibuni alitoa amri ya kuzuia mauzo ya makaa ya mawe ya nchi hiyo kwa utawala wa Israel.

  • Nini uchambuzi wa Waziri wa Mambo ya Nje wa Uturuki kuhusu lengo la utawala wa Kizayuni huko Gaza?

    Nini uchambuzi wa Waziri wa Mambo ya Nje wa Uturuki kuhusu lengo la utawala wa Kizayuni huko Gaza?

    Jul 27, 2025 06:47

    Hakan Fidan Waziri wa Mambo ya Nje wa Uturuki ametahadharisha kuhusu nia ya utawala wa Kizayuni ya kuwaondoa wakaazi wa Gaza kutoka katika ukanda huo.

  • Swali la Leo: Je, kauli ya Kaja Kallas Kwamba “Machaguo Yote Yako Mezani Dhidi ya Israel” ina mashiko yoyote?

    Swali la Leo: Je, kauli ya Kaja Kallas Kwamba “Machaguo Yote Yako Mezani Dhidi ya Israel” ina mashiko yoyote?

    Jul 24, 2025 07:20

    Kaja Kallas, Mkuu wa Sera za Kigeni wa Umoja wa Ulaya, amedai kuwa “mauaji ya raia wasio na hatia wa Kipalestina lazima yakome,” la sivyo, “Machaguo Yote Yatazingatiwa dhidi ya Israel.”

  • Kwa nini Marekani imejiondoa rasmi UNESCO?

    Kwa nini Marekani imejiondoa rasmi UNESCO?

    Jul 23, 2025 05:28

    Marekani ilitangaza Jumanne, Julai 22, kwamba imejiondoa rasmi katika Shirika la Umoja wa Mataifa la Elimu, Sayansi na Utamaduni UNESCO.

  • Wanajeshi 5 wa Kizayuni wajiua ndani ya wiki 2 kutokana na msongo wa mawazo

    Wanajeshi 5 wa Kizayuni wajiua ndani ya wiki 2 kutokana na msongo wa mawazo

    Jul 21, 2025 03:51

    Kwa akali wanajeshi watano wa Israel wamejiua katika muda wa wiki mbili zilizopita, wakiwemo askari wa akiba walioadikishwa jeshini hivi majuzi, baada ya kuongezwa muda wa operesheni za Gaza na maeneo mengine yenye mizozo.

  • UNRWA: Israel inawatesa raia kwa njaa Ghaza, wakiwemo watoto milioni moja

    UNRWA: Israel inawatesa raia kwa njaa Ghaza, wakiwemo watoto milioni moja

    Jul 20, 2025 09:45

    Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi wa Kipalestina (UNRWA) kwa mara nyingine tena limeushutumu utawala wa kizayuni wa Israel kwa kutumia njaa kama silaha ya vita dhidi ya raia Wapalestina katika Ukanda wa Ghaza.

  • Marekebisho ya Taylor Greene ya kuacha kuusaidia utawala wa Kizayuni yapingwa katika Kongresi ya Marekani

    Marekebisho ya Taylor Greene ya kuacha kuusaidia utawala wa Kizayuni yapingwa katika Kongresi ya Marekani

    Jul 20, 2025 00:07

    Baraza la Wawakilishi la Marekani limepinga marekebisho ya Marjorie Taylor Greene, mbunge katika baraza hilo, kwa ajili ya kupunguza msaada wa kijeshi wa dola milioni 500 kwa Israel.

  • Sababu za Kundi la The Hague kusimamisha biashara ya kijeshi na utawala wa kizayuni

    Sababu za Kundi la The Hague kusimamisha biashara ya kijeshi na utawala wa kizayuni

    Jul 18, 2025 11:20

    Nchi zinazounda Kundi la Hague, yaani The Hague Group zimetangaza kuwa zimesitisha biashara ya kijeshi na utawala wa kizayuni wa Israel.

  • Kamanda wa IRGC: Tupo tayari kuendeleza vita pale vilipoishia

    Kamanda wa IRGC: Tupo tayari kuendeleza vita pale vilipoishia

    Jul 17, 2025 11:04

    Meja Jenerali Mohammad Pakpour, Kamanda wa Vikosi vya Ardhini vya Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu la Iran (IRGC) ametangaza kwamba majeshi ya Iran yamejipanga kikamilifu kushambulia tena, akiwaonya maadui kwamba uchokozi wowote ujao utakabiliwa na jibu la haraka, na kuendeleza vita hivyo pale vilipoishia.

  • Ansarullah yapiga kwa kombora, droni maeneo hasasi ya Israel

    Ansarullah yapiga kwa kombora, droni maeneo hasasi ya Israel

    Jul 17, 2025 01:09

    Vikosi vya Wanajeshi vya Yemen vimeshambulia maeneo matatu nyeti ya Israel kwa kombora la balestiki na ndege nne zisizo na rubani, baada ya kuulazimisha utawala huo ghasibu kutangaza kufungwa kwa moja ya bandari zake muhimu.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS