-
Uhamiaji wa kulazimishwa dhidi ya Wapalestina wa Gaza; kwa nini Israel inaitazama Afrika?
Aug 14, 2025 01:03Katika hali ambayo vita vya Gaza vinaendelea na hali mbaya ya kibinadamu katika ukanda huo imefikia kiasi kwamba makumi ya wakazi wa Gaza wanakufa kila siku, si tu kwa kupigwa risasi na askari wa Israel bali pia kutokana na njaa na kiu kali, Israel inafanya mazungumzo na nchi kadhaa za Kiafrika ili kuwahamishia huko kwa nguvu wakazi wa Gaza.
-
Takwa jipya la Ripota Maalumu wa Umoja wa Mataifa kwa Jamii ya Kimataifa kuhusu utawala wa Kizayuni
Aug 12, 2025 02:35Francesca Albanese, Ripota Maalumu wa Umoja wa Mataifa ametoa wito wa kufukuzwa timu za michezo za utawala wa Kizayuni katika mashindano ya kimataifa.
-
Kwa nini India inashirikiana na utawala wa kizayuni wa Israel?
Aug 08, 2025 22:59Katika miaka ya hivi karibuni India na utawala wa Kizayuni zimeanzisha uhusiano mkubwa katika sekta nyingi za kiuchumi, kijeshi na kisiasa.
-
Kwa nini wabunge wa Bunge la Ulaya wametaka kusitishwa ushirikiano na Israel?
Aug 08, 2025 09:12Katika barua rasmi kwa viongozi wa Umoja wa Ulaya, wawakilishi 41 wa Bunge la Ulaya wametaka kusitishwa uhusiano wa kibiashara na kusimamishwa utekelezwaji wa makubaliano ya ushirikiano na utawala ghasibu wa Israel.
-
Tsunami ya chuki; Imekuaje Israel imeondokea kuwa utawala unaochukiwa duniani?
Aug 06, 2025 00:27Katika wiki za hivi karibuni, maafisa na takwimu za Israel zimeelezea mara kwa mara wasiwasi wao juu ya kuongezeka kwa chuki ya kimataifa dhidi ya utawala huo ghasibu.
-
Vipi gharama za kijeshi zimeusukuma uchumi wa Israel katika ukingo wa shimo?
Aug 04, 2025 22:58Viashiria vya ukuaji wa uchumi wa utawala wa kizayuni wa Israel vinapungua, na inatarajiwa kwamba athari mbaya za vita vinavyoendelea vya Gaza na vita vya siku 12 dhidi ya Iran vitazidi kuwa na taathira hasi kwa mwenendo wa kiuchumi wa Israel katika nusu ya pili ya mwaka huu.
-
Albanese: Magharibi haiwi na uwezo wowote wa kutekeleza sheria za kimataifa inapohusu Israel
Aug 03, 2025 02:11Ripota Maalumu wa Umoja wa Mataifa wa hali ya haki za binadamu katika maeneo ya Palestina yanayokaliwa kwa mabavu amesema, nchi za Magharibi haziwi na uwezo wowote wa kutekeleza sheria za kimataifa inapohusu utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
Nchi za Magharibi zinaonyesha sura hasi kuhusu Iran ili kushughulisha maoni ya umma kutokana na mizozo ya ndani
Aug 02, 2025 10:34Televisheni ya Al Jazeera ya Qatar iliripoti mnamo Julai 31, 2025 kwamba Uingereza na nchi zingine 13 ziliituhumu Iran kuwa inapanga kufanya mauaji na utekaji nyara katika nchi za Magharibi, madai ambayo yamekanushwa vikali na Tehran.
-
Je, matakwa ya wabunge wa Ulaya ya kuwawekea vikwazo maafisa wa Israel yatatekelezwa?
Aug 01, 2025 23:11Wabunge 40 wa Ulaya wametoa wito wa kuwekewa vikwazo maafisa wa serikali ya Israel.
-
Ujumbe wa Kongamano la Kimataifa la Palestina kwenye Makao Makuu ya Umoja wa Mataifa
Aug 01, 2025 11:33Mkutano wa Kimataifa wa Palestina umeafiki kuchukua hatua za pamoja za kumaliza vita vya Israel dhidi ya watuu wa Gaza, na kuunga mkono kile kilichoitwa kuwa suluhisho la "nchi mbili" na kuanzishwa kwa taifa la Palestina.