Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Ivory Coast

  • Ivory Coast imewahukumu watu 11 kifungo cha maisha jela kwa kuhusika katika shambulio la kigaidi mwaka 2016

    Ivory Coast imewahukumu watu 11 kifungo cha maisha jela kwa kuhusika katika shambulio la kigaidi mwaka 2016

    Dec 29, 2022 02:51

    Mahakama nchini Ivory Coast imewahukumu watu 11 kifungo cha maisha jela baada ya kupatikana na hatia ya kuhusika katika shambulio la kigaidi katika mji wa pwani wa Grand Bassam nchini humo mwezi Machi 2016.

  • Ivory Coast yataka kufanyika mkutano wa ECOWAS kujadili mzozo wa kidiplomasia na Mali

    Ivory Coast yataka kufanyika mkutano wa ECOWAS kujadili mzozo wa kidiplomasia na Mali

    Sep 15, 2022 08:13

    Ivory Coast imeituhumu Mali kwa kuidai fidia na kuamiliana na wanajeshi wake 46 kama wahalifu baada ya kutiwa nguvuni na serikali ya Bamako. Serikali ya Ivory Coast imewaomba viongozi wa jumuiya ya Ecowas kujadili hali hiyo ya mgogoro kati yake na Bamako haraka iwezekanavyo.

  • Kiongozi wa Mali ataka 'fidia' ili kuwaachia askari wa Ivory Coast

    Kiongozi wa Mali ataka 'fidia' ili kuwaachia askari wa Ivory Coast

    Sep 11, 2022 12:00

    Rais wa mpito wa Mali amesema anataka suluhu yenye maslahi ya pande mbili ili kuhitimisha mkwaruzano wa kidiplomasia baina ya nchi hiyo na Ivory Coast.

  • Mali yawaachia askari watatu wa Ivory Coast, 46 wangali wako kizuizini

    Mali yawaachia askari watatu wa Ivory Coast, 46 wangali wako kizuizini

    Sep 04, 2022 10:37

    Mali imewaachia huru askari watatu wanawake kati ya askari 49 wa Ivory Cooast waliokamatwa na kuwekwa kizuizini nchini humo.

  • Mali: Wanajeshi wa Ivory Coast waliotuhumiwa kuwa 'mamluki' wameshtakiwa na kufungwa

    Mali: Wanajeshi wa Ivory Coast waliotuhumiwa kuwa 'mamluki' wameshtakiwa na kufungwa

    Aug 16, 2022 02:43

    Duru za mahakama nchini Mali zimeripoti kuwa, wanajeshi 49 wa Ivory Coast waliozuiliwa kwa zaidi ya mwezi mmoja katika mji mkuu Bamako, wakishutumiwa na jeshi lililoko madarakani nchini Mali kwa kuwa "mamluki", madai ambayo serikali ya Abidjan inakanusha, wameshtakiwa kwa "kujaribu kuhatarisha usalama wa taifa" na kuhukumiwa kifungo jela.

  • Rais wa Ivory Coast atoa msamaha kwa mtangulizi wake, Laurent Gbagbo

    Rais wa Ivory Coast atoa msamaha kwa mtangulizi wake, Laurent Gbagbo

    Aug 07, 2022 12:36

    Rais Alassane Ouattara wa Ivory Coast ametoa msamaha kwa mtangulizi wake, mshindani wake mkuu na hasimu wake wa muda mrefu Laurent Gbagbo, ikiwa ni sehemu ya kuleta maridhiano nchini kuelekea uchaguzi mkuu unaotazamiwa kufanyika 2025.

  • Jumapili, Agosti 7, 2022

    Jumapili, Agosti 7, 2022

    Aug 07, 2022 02:23

    Leo ni Tarehe 9 Mfunguo Nne Muharram 1444 Hijria inayosadifiana na tarehe 7 Agosti mwaka 2022 Milaadia.

  • Mali yamtimua msemaji wa kikosi cha UN nchini humo, MINUSMA

    Mali yamtimua msemaji wa kikosi cha UN nchini humo, MINUSMA

    Jul 21, 2022 11:01

    Mali imemfukuza msemaji wa kikosi cha kulinda amani cha Umoja wa Mataifa nchini humo (MINUSMA), huku uhusiano baina ya Bamako na UN ukizidi kuharibika.

  • Ivory Coast yaitaka Mali kuwaachilia huru wanajeshi 49 waliokamatwa Bamako

    Ivory Coast yaitaka Mali kuwaachilia huru wanajeshi 49 waliokamatwa Bamako

    Jul 14, 2022 03:17

    Ivory Coast imetaka kuachiliwa huru wanajeshi wake 49 waliokamatwa nchini Mali, tukio ambalo huenda likazidisha mvutano kati ya watawala wa kijeshi wa Mali na mataifa mengine ya Magharibi mwa Afrika huku kukiwa na juhudi za kuzima harakati za makundi yenye silaha yenye uhusiano na al-Qaida na Daesh (ISIS) na kurejesha utawala wa kidemokrasia nchini humo.

  • Kodivaa; mwenyeji wa mkutano wa COP15 wa kuzuia kuenea majangwa duniani

    Kodivaa; mwenyeji wa mkutano wa COP15 wa kuzuia kuenea majangwa duniani

    May 10, 2022 04:26

    Mkutano wa 15 wa kuzuia kuenea majangwa umeanza shughuli zake huko Abdijan mji mku uwa Kodivaa kwa kuhudhuriwa na viongozi wa nchi mbalimbali za Kiafrika na wa nchi nyingine duniani.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS