Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

JCPOA

  • Hossein Amir-Abdollahian: Marekani haiwezi kurejea kwenye mapatano ya JCPOA bila ya kuondoa vikwazo

    Hossein Amir-Abdollahian: Marekani haiwezi kurejea kwenye mapatano ya JCPOA bila ya kuondoa vikwazo

    Dec 07, 2021 04:30

    Waziri wa Mambo ya Nchi za Nje wa Iran amesema kuwa, hakuna njia yoyote ya kuiwezesha Marekani kurejea katika mapatano ya nyuklia ya JCPOA bila ya kuondoa vikwao vyake vya kidhalimu dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.

  • Amir-Abdollahian: Jamhuri ya Kiislamu inataka kutekelezwa mapatano ya JCPOA

    Amir-Abdollahian: Jamhuri ya Kiislamu inataka kutekelezwa mapatano ya JCPOA

    Dec 06, 2021 23:21

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza katika mkutano na waandishi wa habari na mwenzake wa Syria kwamba, Iran haitaki lolote katika mazungumzo ya Vienna ghairi ya kutekelezwa makubaliano ya nyuklia ya JCPOA.

  • Iran: Hatutalegeza kamba katika kushinikiza kuondolewa vikwazo haramu

    Iran: Hatutalegeza kamba katika kushinikiza kuondolewa vikwazo haramu

    Dec 05, 2021 11:24

    Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran anayeshughulikia masuala ya kisiasa amesema Jamhuri ya Kiislamu katu haitolegeza kamba katika mazungumzo ya Vienna, Austria na itaendelea kushinikiza kuondolewa vikwazo vya kidhalimu na vilivyo kinyume cha sheria vya Marekani dhidi ya taifa hili.

  • Kuunga mkono kundi la 4+1 kuondolewa vikwazo vya Marekani dhidi ya Iran

    Kuunga mkono kundi la 4+1 kuondolewa vikwazo vya Marekani dhidi ya Iran

    Nov 30, 2021 23:10

    Sambamba na kuanza duru ya saba ya mazungumzo ya nyuklia ya Iran na kundi la 4+1 huko Vienna Austria, kumeongezeka himaya na uungaji kwa takwa la haki na la kisheria la Iran la kuondolewa vikwazo vya upande mmoja ilivyowekewa kidhalimu na Marekani.

  • Mazungumzo ya Kamisheni ya Pamoja ya JCPOA yameanza leo Vienna Austria

    Mazungumzo ya Kamisheni ya Pamoja ya JCPOA yameanza leo Vienna Austria

    Nov 29, 2021 12:01

    Duru mpya ya mazungumzo ya Kamisheni ya Pamoja ya makubaliano ya nyuklia JCPOA imeanza leo katika mji mkuu wa Austria Vienna.

  • Mazungumzo ya Vienna, changamoto na matarajio

    Mazungumzo ya Vienna, changamoto na matarajio

    Nov 29, 2021 08:32

    Leo Novemba 29 mji mkuu wa Austria, Vienna ni mwenyeji wa mazungumzo baina ya Iran na nchi za kundi la 4+1 kuhusu kuondolewea vikwazo vya Marekani dhidi ya Iran. Nchi za 4+1 ni China Russia, Ufaransa, Uingereza, Ujerumani pamoja na mwakilishi wa Umoja wa Ulaya

  • Muhammad Islami: Waliojitoa JCPOA hawana haki ya kuzungumzia miradi ya nyuklia ya Iran

    Muhammad Islami: Waliojitoa JCPOA hawana haki ya kuzungumzia miradi ya nyuklia ya Iran

    Nov 27, 2021 04:33

    Mkuu wa Taasisi ya Nishati ya Atomiki ya Iran amesema kuwa, waliojitoa katika makubaliano ya kimataifa ya nyuklia ya JCPOA hawana haki ya kuzungumzia na kueleza mitazamo yao kuhusiana na miradi ya nyuklia ya Tehran.

  • Iran haitaki makubaliano ya muda, yataka vikwazo viondolewe kwa mkupuo

    Iran haitaki makubaliano ya muda, yataka vikwazo viondolewe kwa mkupuo

    Nov 27, 2021 01:10

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza kuwa, vikwazo vyote haramu vya Marekani dhidi ya taifa la Iran vinapaswa kuondolewa kwa mkupuo, na kwamba Tehran katu haitakubali 'makubaliano ya muda' kwenye mazungumzo ya Vienna ya kujadili makubaliano ya nyuklia ya JCPOA, yanayoanza ndani ya siku chache zijazo.

  • Jumatano, Novemba 24, 2021

    Jumatano, Novemba 24, 2021

    Nov 23, 2021 22:57

    Leo ni Jumatano tarehe 18 Mfunguo Saba Rabiuthani 1443 Hijria sawa na Novemba 24 mwaka 2021 Milaadia.

  • Iran: Marekani haina chaguo jingine isipokuwa kukubali uhalisia wa mambo

    Iran: Marekani haina chaguo jingine isipokuwa kukubali uhalisia wa mambo

    Nov 23, 2021 04:03

    Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran ambaye anaongoza timu ya mazungumzo ya Jamhuri ya Kiislamu na kundi la 4+1 yatakayoanza Novemba 29 huko Vienna amesema kuwa, Marekani sharti ikubali hali halisi ya mambo kwa kufungamana na ahadi ilizotoa katika mapatano ya nyuklia ya JCPOA.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS