Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

JCPOA

  • Hillary Clinton: Marekani inapasa kurejea katika makubaliano ya JCPOA

    Hillary Clinton: Marekani inapasa kurejea katika makubaliano ya JCPOA

    Aug 18, 2020 02:26

    Waziri wa zamani wa Mashauri ya Kigeni wa Marekani amesisitiza kuwa serikali ijayo ya nchi hiyo inapasa kurejea katika mapatano ya JCPOA; kwa sababu hatua hiyo ni kwa maslahi ya Washington.

  • Onyo la Rouhani kuhusu JCPOA; Ulaya isitumbukie kwenye mtego wa Marekani

    Onyo la Rouhani kuhusu JCPOA; Ulaya isitumbukie kwenye mtego wa Marekani

    Aug 13, 2020 04:54

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa azimio lilopendekezwa na Marekani katika Barazala Usalama la Umoja wa Mataifa linakiuka moja kwa moja azimio nambari 2231 la baraza hilo na hivyo kuzitaka nchi zote na hasa zilizotia saini mapatano ya kimataifa ya nyuklia ya JCPOA, zilipinge.

  • Araqchi: Iran haitaacha haki yake isiyo na shaka kwa sababu tu ya ubabe wa Marekani

    Araqchi: Iran haitaacha haki yake isiyo na shaka kwa sababu tu ya ubabe wa Marekani

    Jul 26, 2020 23:11

    Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran anayehusika na masuala ya kisiasa amesema, kutumia nishati ya nyuklia kwa malengo ya amani ni haki ya wazi na isiyo na shaka ya wananchi wa Iran na akasisitiza kuwa: Licha ya kuitolea gharama kubwa kutokana na vikwazo, Jamhuri ya Kiislamu haitaiacha haki yake hiyo ya wazi kabisa kwa sababu tu ya ubabe wa Marekani.

  • Sisistizo la Borrell kuhusu kulindwa JCPOA; nara isiyotekelezeka kivitendo

    Sisistizo la Borrell kuhusu kulindwa JCPOA; nara isiyotekelezeka kivitendo

    Jul 20, 2020 02:17

    Umoja wa Ulaya (EU) na Troika ya Ulaya inayoundwa na Ujerumani, Ufaransa na Ujerumani ni pande zilizokuwa na nafasi muhimu katika kufikiwa mapatano ya nyuklia ya Iran maarufu kama Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezaji (JCPOA).

  • Borrell: Mapatano ya Trump hayawezekani, JCPOA ilindwe

    Borrell: Mapatano ya Trump hayawezekani, JCPOA ilindwe

    Jul 19, 2020 08:08

    Mkuu wa Siasa za Nje wa Umoja wa Ulaya kwa mara nyingine tena amesisitizia udharura wa kulindwa na kuheshimiwa makubaliano ya nyuklia ya Iran yanayofahamika kwa kifupi kama JCPOA, na kueleza bayana kuwa ni jambo lisiloyumkinika kufikiwa kile kinachoitwa "Mapatano ya Tump."

  • Russia na Ujerumani: Vikwazo vya Marekani dhidi ya Iran havina maana

    Russia na Ujerumani: Vikwazo vya Marekani dhidi ya Iran havina maana

    Jul 16, 2020 03:24

    Rais wa Russia na Kansela wa Ujerumani wamesisitiza kuwa, vikwazo vya Marekani dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran havina umuhimu wowote.

  • Rais Rouhani: Iran katu haitasalimu amri kwa mashinikizo ya madola makubwa hasa Marekani

    Rais Rouhani: Iran katu haitasalimu amri kwa mashinikizo ya madola makubwa hasa Marekani

    Jul 15, 2020 08:28

    Rais Hassan Rouhani amesisitiza kuwa, Jamhuri ya Kiislamu katu haitasalimu amri kwa mashinikizo ya madola makubwa na hasa Marekani na akaongeza kwamba: Marekani ijue kwamba, kamwe haitafikia malengo yake licha ya hatua zake haribifu inazochukua dhidi ya maslahi ya taifa la Iran.

  • Zarif: Marekani inadhalilisha sheria na diplomasia na kuhatarisha usalama wa dunia

    Zarif: Marekani inadhalilisha sheria na diplomasia na kuhatarisha usalama wa dunia

    Jul 14, 2020 22:09

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran ametuma ujumbe kwa mnasaba wa mwaka wa tano wa kufikiwa mapatano ya nyuklia yanayojulikana kama Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezwaji (JCPOA) na kusema: "Kitendo cha Marekani cha kudhalilisha sheria na udiplomasia ni jambo linalohatarisha usalama wa nchi hiyo na dunia kwa ujumla mbali na kuchafua jina la Washington katika uga wa kimataifa."

  • Mousavi: Vikwazo vya silaha dhidi yake vikirefushwa, Iran itatoa jibu kali

    Mousavi: Vikwazo vya silaha dhidi yake vikirefushwa, Iran itatoa jibu kali

    Jul 10, 2020 20:13

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema iwapo vikwazo vya silaha dhidi ya Iran vitarefushwa kufuatia mashinikizo ya Marekani basi Jamhuri ya Kiislamu itatoa jibu kali na muafaka.

  • Zarif: EU inapaswa kufungamana na wajibu wake katika mapatano ya JCPOA

    Zarif: EU inapaswa kufungamana na wajibu wake katika mapatano ya JCPOA

    Jul 06, 2020 22:33

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema nchi za Umoja wa Ulaya zinapaswa kufungamana na wajibu wake katika mapatano ya kimataifa ya nyuklia ya JCPOA.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS