Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

JCPOA

  • Madai ya Umoja wa Ulaya kwamba eti umefungamana na mapatano ya JCPOA

    Madai ya Umoja wa Ulaya kwamba eti umefungamana na mapatano ya JCPOA

    Jan 12, 2020 08:21

    Umoja wa Ulaya, ambao Mkuu wake wa Siasa zake za Nje wakati yalipofikiwa makubaliano ya nyuklia ya JCPOA alikuwa ni Federica Mogherini, aliyeongoza timu ya umoja huo katika mazungumzo na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran hadi kufikiwa mwafaka kati ya Tehran na kundi la 5+1, unajulikana kama moja ya waungaji mkono wa JCPOA.

  • Vikwazo vipya vya Marekani dhidi ya Iran; muendelezo wa sera za mashinikizo ya juu kabisa

    Vikwazo vipya vya Marekani dhidi ya Iran; muendelezo wa sera za mashinikizo ya juu kabisa

    Jan 11, 2020 04:43

    Katika zama za utawala wa Rais Donald Trump, serikali ya Marekani imekuwa ikifuatilia sera za mashinikizo ya juu kabisa dhidi ya Iran na katika fremu hiyo mnamo Mei 8 2018, Washington ilitangaza kujiondoa katika mapatano ya nyuklia ya JCPOA na baada ya hapo ikaweka vikwazo shadidi zaidi dhidi ya Iran. Pamoja na kuwa vikwazo hivyo havijafikia malengo yaliyokusudiwa, Marekani inasisitiza kuendeleza sera yake ya kushadidisha vikwazo.

  • UK: Umoja wa Ulaya utaendelea kuheshimu mapatano ya nyuklia ya JCPOA

    UK: Umoja wa Ulaya utaendelea kuheshimu mapatano ya nyuklia ya JCPOA

    Jan 11, 2020 04:32

    Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Uingereza alisema jana Ijumaa baada ya kikao cha dharura cha Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Umoja wa Ulaya mjini Brussels Ubelgiji kwamba, nchi yake pamoja na Umoja wa Ulaya wataendelea kuheshimu mapatano ya nyuklia ya JCPOA.

  • Ulaya yapinga ombi la Trump la kujiondoa JCPOA

    Ulaya yapinga ombi la Trump la kujiondoa JCPOA

    Jan 11, 2020 01:21

    Umoja wa Ulaya sambamba na nchi tatu za Ulaya za Ufaransa, Ujerumani na Uingereza zinazojulikana kama Troika ya Ulaya, ni waungaji mkono wa mapatano ya kimataifa ya nyuklia maarufu kama Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezaji JCPOA.

  • Uingereza yakataa ombi la Trump la kujiondoa katika makubaliano ya nyuklia ya JCPOA

    Uingereza yakataa ombi la Trump la kujiondoa katika makubaliano ya nyuklia ya JCPOA

    Jan 09, 2020 04:32

    Serikali ya Uingereza imekataa ombi la Rais Donald Trump wa Marekani la kujiondoa katika makubaliano ya nyuklia ya JCPOA na kusema makubaliano hayo yana umuhimu kwa London katika upande wa masuala ya kiusalama.

  • Sisitizo la Russia la kupata funzo Korea Kaskazini kupitia ukiukaji ahadi wa Marekani katika makubaliano ya JCPOA

    Sisitizo la Russia la kupata funzo Korea Kaskazini kupitia ukiukaji ahadi wa Marekani katika makubaliano ya JCPOA

    Jan 03, 2020 02:33

    Katika kipindi cha utawala wa Rais Donald Trump, Marekani imetanguliza mbele siasa za vitisho sambamba na mazungumzo mkabala na Korea Kaskazini.

  • Madai ya kipuuzi ya Marekani kuhusu kushadidisha vikwazo dhidi ya Iran

    Madai ya kipuuzi ya Marekani kuhusu kushadidisha vikwazo dhidi ya Iran

    Dec 31, 2019 23:20

    Katika kipindi cha utawala wa Rais Donald Trump, Marekani imeiwekea Iran vikwazo vikali ikiwa ni katika kutekeleza siasa zake za mashinikizo ya kiwango cha juuu kabisa.

  • Iran na China zajadili njia za kuinusuru JCPOA

    Iran na China zajadili njia za kuinusuru JCPOA

    Dec 31, 2019 04:02

    Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Iran na China wamekutana mjini Beijing na kujadiliana juu ya njia na mikakati ya kuyanusuru makubaliano ya nyuklia ya JCPOA.

  • Sayyid Abbas Araqchi: Mashauriano baina ya Iran na Japan yataendelea

    Sayyid Abbas Araqchi: Mashauriano baina ya Iran na Japan yataendelea

    Dec 21, 2019 10:07

    Naibu Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Iran anayehusika na masuala ya kisiasa amesema kuwa, mashauriano ya kisiasa kati ya Iran na Japan yataendelea.

  • Sisistizo la  Mkuu wa Sera za Kigeni wa EU kuhusu kulindwa JCPOA, akiri Iran imefungamana na mapatano hayo

    Sisistizo la Mkuu wa Sera za Kigeni wa EU kuhusu kulindwa JCPOA, akiri Iran imefungamana na mapatano hayo

    Dec 17, 2019 04:38

    Umoja wa Ulaya, na nchi tatu muhimu za umoja huo yaani Uingereza, Ufaransa na Ujerumani maarufu kama Troika ya Ulaya, zilikuwa na nafasi muhimu katika kufikiwa mpatano ya nyuklia ya Iran maarufu kama Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezaji (JCPOA) ambayo yalifikiwa mwaka 2015.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS