• Guterres asisitiza kuwa vikwazo vya Marekani dhidi ya Iran vinakiuka azimio 2231

    Guterres asisitiza kuwa vikwazo vya Marekani dhidi ya Iran vinakiuka azimio 2231

    Dec 13, 2019 05:33

    Rais Donald Trump wa Marekani ni mpinazni mkali wa mapatano ya nyuklia ya Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezaji (JCPOA) akiyataja kuwa ni mapatano mabaya zaidi kuwahi kufikiwa katika historia ya Marekani.

  • Safari ya Lavrov nchini Marekani, kuendelea tofauti kati ya Moscow na Washington

    Safari ya Lavrov nchini Marekani, kuendelea tofauti kati ya Moscow na Washington

    Dec 11, 2019 22:46

    Uhusiano wa Marekani na Russia hususan baada ya kuibuka mgogoro wa Ukraine mwaka 2014, unashuhudia mivutano mingi ambapo Washington mbali na kukabiliana na Moscow katika uga wa masuala ya kiusalama, kijeshi na kisiasa pia imeiwekea mashinikizo makali Russia katika nyuga tofauti za kisiasa, kidiplomasia, kibiashara, kiuchumi, kijeshi, mauzo ya silaha na nishati.

  • Zarif: Nchi za Ulaya zitekeleze majukumu yao katika mapatano ya nyuklia

    Zarif: Nchi za Ulaya zitekeleze majukumu yao katika mapatano ya nyuklia

    Dec 09, 2019 04:23

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema Jamhuri ya Kiislamu ya Iran haijaridhishwa na kiwango ambacho nchi za Umoja wa Ulaya zinatekeleza mapatano ya nyuklia ya JCPOA."

  • Kamisheni ya JCPOA yasisitiza juu ya kulindwa makubaliano hayo

    Kamisheni ya JCPOA yasisitiza juu ya kulindwa makubaliano hayo

    Dec 07, 2019 03:54

    Kikao cha 14 cha Kamisheni ya Pamoja ya Makubaliano ya Nyuklia ya JCPOA kimesisitizia tena kuhusu umuhimu wa kulindwa mapatano hayo ya kimataifa na kwamba Iran imefungamana na makubaliano hayo.

  • Tahadhari ya Russia kuhusu uwezekano wa kusambaratika makubaliano ya nyuklia ya JCPOA

    Tahadhari ya Russia kuhusu uwezekano wa kusambaratika makubaliano ya nyuklia ya JCPOA

    Dec 06, 2019 07:00

    Baada ya Marekani kujiondoa katika makubaliano ya nyuklia ya JCPOA mwezi Mei mwaka 2018 wanachama wengine wa makubaliano hayo wamekuwa wakitilia mkazo udharura wa kulindwa mapatano hayo ya kimataifa kutokana na umuhimu wake katika kulinda amani na usalama wa kimataifa.

  • Mkurugenzi Mkuu mpya wa wakala wa IAEA na mustakabali wa JCPOA

    Mkurugenzi Mkuu mpya wa wakala wa IAEA na mustakabali wa JCPOA

    Dec 03, 2019 08:38

    Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki (IAEA) ukiwa asasi ya usimamizi ya Umoja wa Mataifa kwa taasisi na shughuli za nyuklia za nchi wanachama, una nafasi muhimu mno katika kudhamini shughuli za nyuklia za wanachama wake na vilevile kueneza matumizi ya nishati ya nyuklia kwa malengo ya amani.

  • Russia yapinga kuwa Iran pekee ndio itekeleze ahadi za JCPOA

    Russia yapinga kuwa Iran pekee ndio itekeleze ahadi za JCPOA

    Dec 01, 2019 08:36

    Kwa kuzingatia juhudi zinazofanywa na wanachama wa nchi za Magharibi katika mapatano ya nyuklia ya JCPOA za kutaka kutekeleza matakwa haramu ya Marekani ya kuitaka Iran kuwa ndio pekee iwe daima inafungamana na mapatano hayo ya nyuklia, serikali ya Russia imepinga wazi takwa hilo na kulitaja kuwa jambo lisilowezekana.

  • Iran na China zafanya mazungumzo kuhusu JCPOA

    Iran na China zafanya mazungumzo kuhusu JCPOA

    Dec 01, 2019 03:51

    Iran na China zimekutana katika kikao cha mashauriano kuhusu namna ya kulinda vipengee vya mapatano ya nyuklia ya JCPOA.

  • Araqchi: Kubakia hai JCPOA kutategemea jitihada za EU

    Araqchi: Kubakia hai JCPOA kutategemea jitihada za EU

    Nov 30, 2019 00:59

    Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran anayehusika na masuala ya kisiasa amesema kuyanusuru na kuyabakisha hai makubaliano ya nyuklia ya JCPOA kutategemea na jitihada za Umoja wa Ulaya na kutekeleza kwao majukumu yao kwa mujibu wa mapatano hayo.

  • Sisitizo la Russia kuhusu haki ya Iran ya kupunguza uwajibikaji wake katika JCPOA

    Sisitizo la Russia kuhusu haki ya Iran ya kupunguza uwajibikaji wake katika JCPOA

    Nov 29, 2019 03:27

    Hatua ya Iran kupunguza utekelezaji wa ahadi zake katika mapatano ya nyuklia ya Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezwaji (JCPOA) imekabiliwa na ukosoaji mkali wa nchi za Ulaya katika kundi la 4+1 ambalo linazileta pamoja China, Russia, Ufaransa, Uingereza na Ujerumani. Ifahamike kuwa, Iran imechukua hatua hiyo baada ya Marekani kujiondoa katika mapatano ya JCPOA na nchi za Ulaya kushindwa kuchukua hatua za kivitendo za kufidia Marekani kujiondoa katika mapatano hayo ya kimataifa ya nyuklia.