Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

JCPOA

  • Mogherini: Tunafanya juhudi za kulinda mshikamano wa pande za JCPOA

    Mogherini: Tunafanya juhudi za kulinda mshikamano wa pande za JCPOA

    Nov 28, 2019 04:08

    Mkuu wa Sera za Kigeni wa Umoja wa Ulaya, amesisitizia haja ya kulindwa umoja na mshikamano baina ya pande zilizobakia katika mapatano ya nyuklia ya JCPOA.

  • Jumapili, tarehe 24 Novemba, 2019

    Jumapili, tarehe 24 Novemba, 2019

    Nov 25, 2019 02:05

    Leo ni Jumapili tarehe 26 Mfunguo Sita Rabiul Awwal 1441 Hijria, mwafaka na tarehe 24 Novemba 2019 Miladia.

  • Araqchi:  Iran imepunguza uwajibikaji wake ili kuyalinda makubaliano ya JCPOA

    Araqchi: Iran imepunguza uwajibikaji wake ili kuyalinda makubaliano ya JCPOA

    Nov 12, 2019 08:34

    Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran katika Masuala ya Kisiasa amesema kuwa lengo la Tehran kupunguza ahadi na uwajibikaji wake katika makubaliano ya nyuklia ya JCPOA ni kwa ajili ya kuyalinda makubaliano hayo.

  • Zarif: EU haijachukua hatua yoyote ya maana ya kulinda JCPOA

    Zarif: EU haijachukua hatua yoyote ya maana ya kulinda JCPOA

    Nov 12, 2019 04:35

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amezikosoa nchi za Ulaya kwa kuakhirisha ahadi zao na kufeli kufungamana na mapatano ya nyuklia ya JCPOA, huku zikiitaka Tehran ifungamane kikamilifu na makubaliano hayo.

  • Araqchi: Iran itachukua hatua zaidi iwapo upande wa pili wa JCPOA hautatekeleza wajibu wake

    Araqchi: Iran itachukua hatua zaidi iwapo upande wa pili wa JCPOA hautatekeleza wajibu wake

    Nov 10, 2019 04:05

    Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran katika masuala ya kisiasa amesema kuwa, Jamhuri ya Kiislamu haitasita kuchukua hatua nyingine zaidi katika kupunguza uwajibikaji wake kwenye makubaliano ya nyuklia ya JCPOA, iwapo pande zilizosalia kwenye mapatano hayo hazitatekeleza wajibu wao kwa maslahi ya Tehran.

  • Hatua ya Nne ya Iran; Kufeli 'Mashinikizo ya Juu Zaidi' ya Marekani

    Hatua ya Nne ya Iran; Kufeli 'Mashinikizo ya Juu Zaidi' ya Marekani

    Nov 08, 2019 23:43

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema: 'Marekani ni kinara wa shari, mwanzilishi na muungaji mkono wa ugaidi duniani."

  • Russia yasisitiza kushindwa vikwazo vya Marekani dhidi ya Iran

    Russia yasisitiza kushindwa vikwazo vya Marekani dhidi ya Iran

    Nov 08, 2019 04:59

    Russia ikiwa mmoja wa wanachama wa kundi la 4+1 daima imekuwa ikisisitiza kulindwa mapatano ya Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezaji (JCPOA) na kukosoa vikali hatua ya Marekani kuiwekea Iran vikwazo vya upande mmoja, baada ya yenyewe kujiondoa katika mapatano hayo ya kimataifa, ikisema kuwa huo ni ukiukaji wa wazi wa Washington wa mapatano hayo.

  • Hatua ya Nne ya Iran; kurutibishwa urani kwa kiwango cha asilimia 5 katika kituo cha Fordow

    Hatua ya Nne ya Iran; kurutibishwa urani kwa kiwango cha asilimia 5 katika kituo cha Fordow

    Nov 07, 2019 07:10

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameliagiza Shirika la Nishati ya Atomiki (IAEO) lianze kuingiza gesi kwenye mashinepewa (centrifuges) katika kituo cha nyuklia cha Fordow, ikiwa ni katika utekelezaji wa hatua ya nne ya kupunguza uwajibikaji wa Tehran katika makubaliano ya nyuklia ya JCPOA.

  • Zarif: Nchi za Ulaya zifungamane na mapatano ya JCPOA

    Zarif: Nchi za Ulaya zifungamane na mapatano ya JCPOA

    Nov 05, 2019 23:39

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri wa Kiislamu ya Iran amezitaka nchi za Ulaya zifungamane na ahadi zao katika mapatano ya nyuklia ya Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezwaji (JCPOA) .

  • Russia yaunga mkono hatua ya nne ya Iran kuhusu JCPOA

    Russia yaunga mkono hatua ya nne ya Iran kuhusu JCPOA

    Nov 05, 2019 11:01

    Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia ametangaza kuwa hatua ya nne iliyochukuliwa na Iran kwa ajili ya kupunguza utekelezaji wa majukumu yake ndani ya makubaliano ya nyuklia ya JCPOA ni jambo la kimantiki.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS