Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Jumuiya ya Madaktari Wasio na Mipaka

  • MSF: Kufunga kivuko cha Rafah kutaifanya hali ya Gaza kuwa mbaya zaidi

    MSF: Kufunga kivuko cha Rafah kutaifanya hali ya Gaza kuwa mbaya zaidi

    May 09, 2024 07:21

    Mkuu wa timu ya Madaktari Wasio na Mipaka (MSF) ametahadharisha kuwa mazingira ya kuidhaminia Gaza maji safi, chakula na dawa za matibabu yamefika marhala hatari na kwamba hatua ya kukifunga kivuko cha Rafah kunaifanya hali ya wakazi wa ukanda huo kuwa mbaya zaidi.

  • Kukosolewa propaganda za Marekani kuhusiana na misaada ya kibinadamu

    Kukosolewa propaganda za Marekani kuhusiana na misaada ya kibinadamu

    Mar 10, 2024 11:20

    Akihutubia bunge la Marekani siku ya Alkhamisi, Rais Joe Biden alisema ameliamuru jeshi la nchi hiyo kuweka bandari kwenye pwani ya Gaza katika Bahari ya Mediterania.

  • MSF yaonya kuhusu kukatwa viungo maelfu ya watoto katika mashambulizi ya Israel huko Gaza

    MSF yaonya kuhusu kukatwa viungo maelfu ya watoto katika mashambulizi ya Israel huko Gaza

    Jan 09, 2024 07:51

    Mwanachama wa Shirika la Madaktari Wasio na Mipaka (MSF) ameonya kwamba vita katika Ukanda wa Gaza vimesababisha kukatwa viungo maelfu ya watoto wa Kipalestina na kuwasababishia ulemavu wa kudumu.

  • Kusimamishwa shughuli za Madaktari Wasio na Mipaka huko  Al-Jazīrah, Sudan

    Kusimamishwa shughuli za Madaktari Wasio na Mipaka huko Al-Jazīrah, Sudan

    Dec 31, 2023 07:21

    Shughuli za Madaktari Wasio na Mipaka zimesitishwa katika Jimbo la Al Jazirah nchini Sudan kutokana na kuendelea kuwa mbaya hali ya usalama katika jimbo hilo.

  • MSF: Gaza inasumbuliwa na uhaba wa dawa na huduma za tiba

    MSF: Gaza inasumbuliwa na uhaba wa dawa na huduma za tiba

    May 17, 2021 06:31

    Shirika la Madaktari Wasio na Mipaka (MSF) limetangaza kuwa, eneo la Ukanda wa Gaza linasumbuliwa na uhaba mkubwa wa dawa kutokana na mashambulizi ya jeshi la utawala wa Israel na mzingiro wa utawala huo dhidi ya eneo hilo.

  • Madaktari wasio na mipaka watahadharisha kuhusu kusambaratika mfumo wa afya na tiba Yemen

    Madaktari wasio na mipaka watahadharisha kuhusu kusambaratika mfumo wa afya na tiba Yemen

    Jun 14, 2020 10:32

    Mkuu wa wahudumu wa Jumuiya ya Madaktari Wasio na Mipaka (MSF) huko Yemen amesema kuwa hali ya kiafya na kitiba katika nchi hiyo iliyokumbwa na vita imezidi kuwa ya hatari kutokana na maambukizi ya virusi vya corona.

  • Jumuiya ya Madaktari Wasio na Mipaka (MSF) yataka raia wa Yemen waungwe mkono

    Jumuiya ya Madaktari Wasio na Mipaka (MSF) yataka raia wa Yemen waungwe mkono

    Aug 14, 2019 07:59

    Jumuiya ya Madaktari Wasio na Mipaka (MSF) imetoa wito wa kuchukuliwa hatua za haraka kuwaunga mkono raia wa Yemen mkabala na mashambulio ya anga yanayotekelezwa na muungano wa kijeshi unaoongozwa na Saudi Arabia.

  • Madaktari wasio na mipaka (MSF) wakabiliana na ukosefu wa usalama huko Niger

    Madaktari wasio na mipaka (MSF) wakabiliana na ukosefu wa usalama huko Niger

    Aug 11, 2019 03:52

    Wafanyakazi wa Jumuiya ya Madaktari Wasio na Mipaka (MSF) nchini Niger wamelazimika kuondoka kusini mashariki mwa nchi hiyo kutokana na ukosefu wa usalama.

  • Madaktari Wasio na Mipaka (MSF): Hali ya huduma za afya nchini Yemen ni mbaya

    Madaktari Wasio na Mipaka (MSF): Hali ya huduma za afya nchini Yemen ni mbaya

    Dec 20, 2018 08:03

    Shirika la Madaktari Wasio na Mipaka (MSF) limetahadharisha kwamba, hali ya huduma za afya nchini Yemen ni mbaya sana na kwamba, kiujumla mfumo wa huduma za afya katika nchi hiyo umesambaratika kikamilifu.

  • MSF yalaani makubaliano ya viongozi wa Ulaya kuhusu wahajiri

    MSF yalaani makubaliano ya viongozi wa Ulaya kuhusu wahajiri

    Jun 30, 2018 04:08

    Jumuiya ya Madaktari Wasio na Mipaka (MSF) imelaani makubaliano yaliyofikiwa na viongozi wa Ulaya kuhusu sera za jinsi kuamiliana na wahajiri wanaoelekea barani Ulaya.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS