Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Kiongozi Muadhamu

  • Imam Khomeini, Kiongozi Kipenzi

    Imam Khomeini, Kiongozi Kipenzi

    Feb 01, 2021 02:18

    Assalaamu Alaykum wasikilizaji wapenzi popote pale mlipo. Karibuni katika mfululizo huu wa vipindi maalumu vinavyokujieni kwa mnasaba wa kumbukumbu ya Alfajiri Kumi kuelekea kilele cha maadhimisho ya ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya nchini Iran.

  • Kiongozi Muadhamu: Basij ni utajiri mkubwa na hazina liliyotunukiwa na Mungu taifa la Iran

    Kiongozi Muadhamu: Basij ni utajiri mkubwa na hazina liliyotunukiwa na Mungu taifa la Iran

    Nov 25, 2020 04:11

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema, jeshi la kujitolea la Basij ni utajiri mkubwa na hazina liliyotunukiwa na Mwenyezi Mungu taifa la Iran.

  • Kiongozi Muadhamu Kuhutubu kwa mnasaba wa Maulid ya Mtume Muhammad SAW

    Kiongozi Muadhamu Kuhutubu kwa mnasaba wa Maulid ya Mtume Muhammad SAW

    Nov 01, 2020 08:12

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Sayyid Ali Khamenei atahutubu kwa njia ya televisheni kwa mnasaba wa maadhimisho ya kukumbuka siku ya kuzaliwa (Maulid) Mtume Muhammad SAW na pia uzawa wa mjukuu wake, Imam Jaafar Swadiq AS.

  • Kiongozi Muadhamu aushangaa undumakuwili wa Rais Macron wa Ufaransa

    Kiongozi Muadhamu aushangaa undumakuwili wa Rais Macron wa Ufaransa

    Oct 29, 2020 03:57

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ameeleza kushangazwa kwake na undumakuwili wa Rais Emmanuel Macron wa Ufaransa kwa kulikingia kifua jarida la Charlie Hebdo la nchini hiyo ya Ulaya kwa kuchapisha tena vibonzo vya kumvunjia heshima Mtume Muhammad SAW, kwa kisingizio cha uhuru wa kujieleza.

  • Kiongozi Muadhamu alaani njama za Marekani na Wazayuni za kumvunjia heshima Mtume (saw)

    Kiongozi Muadhamu alaani njama za Marekani na Wazayuni za kumvunjia heshima Mtume (saw)

    Sep 08, 2020 03:31

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amelaani vikali hatua ya jarida la Ufaransa la Charlie Hebdo ya kuchapisha tena vibonzo vinavyomvunjia heshima Mtume Muhammad (SAW) na kusisitiza kuwa: Njama hizo za Marekani na utawala wa Kizayuni ni dhambi isiyosameheka.

  • Ayatullah Khamenei: Taskhiri ametoa huduma kubwa kwa Ulimwengu wa Kiislamu

    Ayatullah Khamenei: Taskhiri ametoa huduma kubwa kwa Ulimwengu wa Kiislamu

    Aug 18, 2020 09:59

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Ali Khamenei ametuma salamu za rambirambi kwa mnasaba wa kuaga dunia mwanazuoni, mujahid na mtetezi wa Uislamu, Hujjatul Islam Walmuslimin Muhammad Ali Taskhiri aliyekuwa kiongozi wa Baraza Kuu la Jumuiya ya Kimataifa ya Kukurubisha Pamoja Madhehebu ya Kiislamu na Mshauri wa Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu katika Masuala ya Ulimwengu wa Kiislamu.

  • Mtazamo wa Kiongozi Muadhamu kuhusu jinai ya Marekani katika kudondosha bomu la atomiki Hiroshima

    Mtazamo wa Kiongozi Muadhamu kuhusu jinai ya Marekani katika kudondosha bomu la atomiki Hiroshima

    Aug 09, 2020 02:44

    Mwezi Agosti mwaka 1945 Marekani ilishambulia mji wa Hiroshima kwa bomu la nyuklia na kuua watu zaidi ya laki moja; hii ndio hulka ya kibeberu ya jeshi la Marekani, kutokuwa na dini, kutomwamini Mwenyezi Mungu na utovu wa maadili wa Marekani.

  • Ujumbe wa Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu kufuatia tukio chungu la mlipuko wa Beirut Lebanon

    Ujumbe wa Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu kufuatia tukio chungu la mlipuko wa Beirut Lebanon

    Aug 06, 2020 00:17

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ametoa ujumbe kufuatia tukio la mlipuko katika bandari ya Beirut nchini Lebanon na kutangaza kuwa pamoja na serikali na wananchi wa nchi hiyo katika kipindi hiki kigumu.

  • Udharura wa mabadiliko katika Idara ya Mahakama kwa mtazamo wa  Kiongozi Muadhamu

    Udharura wa mabadiliko katika Idara ya Mahakama kwa mtazamo wa Kiongozi Muadhamu

    Jun 28, 2020 05:19

    Ayatullah Khamenei, Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Jumamosi alizungumza moja kwa moja kwa njia ya video na mkuu na maafisa wa ngazi za juu wa Idara ya Mahakama ya Iran ambapo alimuenzi shahidi madhulumu Ayatullah Baheshti, Shahidi Qodossi, Shahidi Ladjevardi na mashahidi wengine wa Idara ya Mahakama ya Iran.

  • Kiongozi Muadhamu atoa mkono wa pole kufuatia kifo cha mwanamuqawama wa Palestina

    Kiongozi Muadhamu atoa mkono wa pole kufuatia kifo cha mwanamuqawama wa Palestina

    Jun 08, 2020 07:44

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ametoa mkono wa pole kufuatia kuaga dunia Katibu Mkuu wa zamani wa Harakati ya Jihadu Islami ya Palestina, Ramadhan Abdullah Shalah.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS