-
Iran yaitahadharisha Marekani kuhusu makombora
Jan 31, 2017 10:00Waziri wa Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameionya Marekani kuhusu kubadilisha kadhia ya makombora halali ya Iran kuwa mchezo wa kisiasa.
-
Jeshi la Iran lafanya mazoezi ya makombora
Mar 08, 2016 14:58Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu Iran IRGC linafanya awamu ya mwisho ya mazoezo makubwa ya makombora ya kijihami.