Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

kombora

  • Korea Kaskazini yafyatua kombora la balestiki kuelekea Japan

    Korea Kaskazini yafyatua kombora la balestiki kuelekea Japan

    Oct 04, 2022 04:21

    Korea Kaskazini imefyatua kombora lake la balestiki kuelekea upande wa Japan, na kupelekea kusitishwa kwa usafiri wa treni katika baadhi ya maeneo, huku Wajapani katika maeneo ya kaskazini wakitakiwa kujificha.

  • Jenerali Hajizadeh: Leo tunauza nje ya nchi makombora na ndege zisizo na rubani

    Jenerali Hajizadeh: Leo tunauza nje ya nchi makombora na ndege zisizo na rubani

    Aug 23, 2022 03:31

    Kamanda wa Kikosi cha Anga za Mbali cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu IRGC amesema: "huko nyuma, sisi hatukuwa na wowote kati ya uwezo tulionao leo hii, na hivi sasa tunauza nje ya nchi makombora na ndege zisizo na rubani.

  • Wazayuni: Jihad al Islami imeweka tayari zaidi ya makombora 3000 yakisubiri kufyatuliwa tu

    Wazayuni: Jihad al Islami imeweka tayari zaidi ya makombora 3000 yakisubiri kufyatuliwa tu

    Aug 05, 2022 23:22

    Duru za Kizayuni zimedai kuwa, Harakati ya Jihad al Islami ya Palestina imeweka tayari kwa ajili ya kufyatuliwa makombora zaidi 3000 baada ya kiongozi wake mmoja kukamatwa katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan.

  • Wanamuqawama wa Palestina Gaza wafanyia majaribio makombora yao

    Wanamuqawama wa Palestina Gaza wafanyia majaribio makombora yao

    Jun 12, 2022 03:23

    Duru za kiusalama huko Palestina zimedokeza kuwa, vikosi vya muqawama vya nchi hiyo vimefanyia majaribio makombora yao katika fukwe za Ukanda wa Gaza.

  • Iran yazindua kituo cha chini ya ardhi cha ndege za kivita zisizo na rubani

    Iran yazindua kituo cha chini ya ardhi cha ndege za kivita zisizo na rubani

    May 28, 2022 23:25

    Jeshi la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran limezindua kituo kipya cha siri kilicho chini ya ardhi chenye idadi kubwa ya ndege za kisasa za kivita zisizo na rubani.

  • Walinzi wa Mapinduzi: Kituo cha kimkakati cha njama za Wazayuni kimepigwa kwa makombora ya IRGC

    Walinzi wa Mapinduzi: Kituo cha kimkakati cha njama za Wazayuni kimepigwa kwa makombora ya IRGC

    Mar 13, 2022 08:59

    Taarifa ilitotolewa na Idara ya Uhusiano wa Umma ya Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu nchini Iran (IRGC) imetoa habari ya kulengwa kwa makombora kituo cha kistratijia cha njama na uovu cha Wazayuni na kusisitizia kuwa: Kurudiwa kwa uovu wa aina yoyote kutakabiliwa na jibu kali, la pande zotei na haribifu.

  • Sisitizo la viongozi wa Korea Kaskazini kuhusu kuimarisha uwezo wa kijeshi

    Sisitizo la viongozi wa Korea Kaskazini kuhusu kuimarisha uwezo wa kijeshi

    Jan 13, 2022 05:43

    Kiongozi wa Korea Kaskazini ametaka uwezo wa kijeshi wa nchi hiyo uzidi kuimarishwa. Vyombo vya habari vya Pyongyang vimetangaza kuwa, Kim Jong-un Kiongozi wa Korea Kaskazini kwa mara ya kwanza baada ya miaka miwili ameshiriki na kusimamia mazoezi ya makombora ambayo yamefanyika kwa mafanikio.

  • Marekani yaingiwa na kiwewe baada ya Pyongyang kuvurumisha kombora la balestiki

    Marekani yaingiwa na kiwewe baada ya Pyongyang kuvurumisha kombora la balestiki

    Jan 05, 2022 23:19

    Marekani imeingiwa na kiwewe baada ya jeshi la Korea Kaskazini kuvurumisha baharini kombora jingine la balestiki.

  • Muqawama wa Palestina Gaza wafanyia majaribio kwa mafanikio kombora la Qassem-10

    Muqawama wa Palestina Gaza wafanyia majaribio kwa mafanikio kombora la Qassem-10

    Dec 27, 2021 23:17

    Kundi la Kataaibul-Muqaawamatil-Wat'aniyyah la Palestina limetangaza kuwa limelifanyia majaribio kwa mafanikio kombora lililotengenezwa na wanamuqawama la "Qassem-10" huko Ukanda wa Gaza.

  • Israel: Hizbullah ina uwezo wa kutupiga kwa maelfu ya makombora kila siku

    Israel: Hizbullah ina uwezo wa kutupiga kwa maelfu ya makombora kila siku

    Nov 04, 2021 08:32

    Kamanda wa Operesheni za Kambi ya Ndani ya utawala wa Kizayuni wa Israel amekiri kuwa, harakati ya Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon ina uwezo mkubwa wa makombora ambao unaiwezesha kuushambulia utawala wa Kizayuni kwa maelfu ya makombora kila siku kama vita baina ya pande hizo mbili vitatokea.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS