Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

kombora

  • Ansarullah: Makombora yetu ni jinamizi kwa wavamizi wa Yemen

    Ansarullah: Makombora yetu ni jinamizi kwa wavamizi wa Yemen

    Mar 10, 2021 07:15

    Mjumbe mmoja wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Ansarullah ya Yemen amesema kuwa, makombora ya balestiki ya nchi hiyo ni jinamizi kwa maadui.

  • Iran yazindua kombora jipya la balestiki lifikalo umbali wa kilomita 700 baharini

    Iran yazindua kombora jipya la balestiki lifikalo umbali wa kilomita 700 baharini

    Sep 27, 2020 13:06

    Kombora jipya la balestiki la baharini lililoundwa na Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu IRGC liitwalo Zulfiqar Basir limezinduliwa leo katika maonyesho ya uwezo wa kistratejia ya vikosi vya anga za mbali vya jeshi hilo.

  • Setilaiti ya Nour; mdhamini wa maslahi ya amani ya Iran katika anga za mbali

    Setilaiti ya Nour; mdhamini wa maslahi ya amani ya Iran katika anga za mbali

    Apr 25, 2020 04:03

    Kurushwa kwa mafanikio katika anga za mbali setilaiti ya Nour-1 kupitia kombora la kurushia setilaiti la Qased, na setilaiti hiyo kuanza kufanya kazi zake huko, ni suala ambalo limekabiliwa na radiamali ya kisiasa na madai ya kukaririwa na yasiyo na msingi ya Marekani na baadhi ya nchi za Ulaya.

  • Iran yazindua kombora jipya la 'Raad 500'

    Iran yazindua kombora jipya la 'Raad 500'

    Feb 09, 2020 12:10

    Iran imezindua kombora jipya linalojulikana kama 'Raad 500' ambalo linatumia injini aina ya kompositi inayojulikana kama 'Zahir' sambamba na kuzindua kizazi kipya cha makombora ya kijeshi na makombora ya kubeba satalaiti. Uzinduzi huo umehudhuriwa na Kamanda Mkuu wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) Meja Jenerali Hussein Salami.

  • Maveterani wa kivita Marekani wamtaka Trump aombe radhi kwa kudharau hasara kubwa iliyosababishwa na kipigo cha Iran

    Maveterani wa kivita Marekani wamtaka Trump aombe radhi kwa kudharau hasara kubwa iliyosababishwa na kipigo cha Iran

    Jan 26, 2020 03:20

    Kundi moja la maveterani wa vita vya nje ya Marekani wamemtaka rais wa nchi hiyo Donald Trump aombe radhi kwa kudharau madhara waliyopata wanajeshi wa Marekani baada ya kambi yao ya Ain al Assad ya nchini Iraq kushambuliwa kwa makumi ya makombora ya Iran.

  • Alkhamisi, tarehe 3 Oktoba, 2019

    Alkhamisi, tarehe 3 Oktoba, 2019

    Oct 03, 2019 04:12

    Leo ni Alkhamisi tarehe 4 Safar 1441 Hijria sawa na Oktoba 3 mwaka 2019.

  • Hizbullah: Kombora letu jipya linaweza kusambaratisha manowari yoyote

    Hizbullah: Kombora letu jipya linaweza kusambaratisha manowari yoyote

    Sep 17, 2019 02:32

    Harakati ya muqawama wa Kiislamu ya Lebanon (Hizbullah) imesema kombora lake jipya lenye uwezo wa kulenga shabaha kwa umakini mkubwa linaweza kuharibu aina yoyote ya manowari na meli za kijeshi.

  • Ansarullah yashambulia maeneo muhimu ya kijeshi mjini Riyadh

    Ansarullah yashambulia maeneo muhimu ya kijeshi mjini Riyadh

    Aug 26, 2019 13:20

    Msemaji wa harakati ya Ansarullah ya Yemen ametangaza kuwa, wapiganaji wa harakati hiyo wamefanya mashambulizi ya ndege zisizo na rubani dhidi ya kituo muhimu sana cha kijeshi katika mji mkuu wa Saudi Arabia, Riyadh.

  • Russia yasema itajibu mapigo kwa hatua yoyote ya Marekani ya kuweka makombora Asia na Ulaya

    Russia yasema itajibu mapigo kwa hatua yoyote ya Marekani ya kuweka makombora Asia na Ulaya

    Aug 18, 2019 13:17

    Waziri wa Ulinzi wa Russiia ametahadharisha kwamba, Moscow itajibu hatua yoyote ya Marekani ya kuweka makombora katika nchi za Asia na Ulaya.

  • Kiongozi wa Korea Kaskazini: Majaribio ya makombora ni 'onyo' kwa Marekani na Korea Kusini

    Kiongozi wa Korea Kaskazini: Majaribio ya makombora ni 'onyo' kwa Marekani na Korea Kusini

    Aug 08, 2019 03:59

    Kiongozi wa Korea Kaskazini Kim Jong Un ametangaza kuwa mlolongo wa majaribio ya makombora yaliyofanywa hivi karibuni na Pyongyang yametuma "onyo tosha" kwa mazoezi ya kijeshi ya pamoja yanayofanywa na Korea Kusini na Marekani.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS