Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

kombora

  • Kiongozi wa Korea Kaskazini: Majaribio ya makombora ni 'onyo' kwa Marekani na Korea Kusini

    Kiongozi wa Korea Kaskazini: Majaribio ya makombora ni 'onyo' kwa Marekani na Korea Kusini

    Aug 07, 2019 23:29

    Kiongozi wa Korea Kaskazini Kim Jong Un ametangaza kuwa mlolongo wa majaribio ya makombora yaliyofanywa hivi karibuni na Pyongyang yametuma "onyo tosha" kwa mazoezi ya kijeshi ya pamoja yanayofanywa na Korea Kusini na Marekani.

  • Gorbachev: Kujitoa Marekani katika mkataba wa INF kutasababisha hali ya mchafukoge duniani

    Gorbachev: Kujitoa Marekani katika mkataba wa INF kutasababisha hali ya mchafukoge duniani

    Aug 04, 2019 09:11

    Kiongozi wa mwisho wa lililokuwa Shirikisho la Kisovieti la Urusi, Mikhail Gorbachev ameikosoa Marekani kwa kujitoa katika mkataba unaopiga marufuku silaha za nyuklia za masafa ya kati (INF) na kueleza kwamba: Hatua hiyo ya Washington ni mwanzo wa mashindano mapya ya uundaji silaha na kuanza hali ya mchafukoge duniani.

  • Wanamuqawama wa Yemen wavurumisha makombora 4 ya Zilzal-1 kwenye ngome za askari wa Saudia

    Wanamuqawama wa Yemen wavurumisha makombora 4 ya Zilzal-1 kwenye ngome za askari wa Saudia

    Jul 26, 2019 23:42

    Jeshi na kamati za wananchi nchini Yemen limevurumisha makombora manne aina ya Zilzal-1 kwenye ngome za vibaraka wa muungano vamizi wa Saudia katika mikoa ya Aseer na Najran kusini mwa Saudia.

  • Makombora ya Marekani aina ya 'TOW' yadhibitiwa na jeshi la Syria kutoka ngome za magaidi

    Makombora ya Marekani aina ya 'TOW' yadhibitiwa na jeshi la Syria kutoka ngome za magaidi

    Mar 29, 2019 03:43

    Katika mwenendelezo wa operesheni za jeshi la Syria kwenye maeneo ya kusini mwa nchi hiyo, jeshi hilo limefanikiwa kudhibiti zana na silaha zilizosalia kwa magaidi, yakiwemo makombora aina ya TOW ya Marekani.

  • Mapigo ya makombora ya Wapalestina katika kujibu mashambulio ya Israel

    Mapigo ya makombora ya Wapalestina katika kujibu mashambulio ya Israel

    Mar 08, 2019 04:15

    Vyombo vya habari vya Kizayuni vimethibitisha habari ya mashambulio ya makombora mawili ya Wapalestina yaliyovurumishwa kutoka Ukanda wa Gaza kuelelekea vitongoji vya walowezi wa Kizayuni.

  • Mafanikio ya Sayansi Iran baada ya ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu

    Mafanikio ya Sayansi Iran baada ya ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu

    Feb 04, 2019 06:13

    Makala hii tumekutayarishia kwa munasaba wa maadhimisho ya mwaka wa 40 wa ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran. Katika makala ya leo tutaangazia mafanikio ya sayansi na teknolojia nchini Iran.

  • Rais Rouhani: Tunajifakharisha kwa makombora yetu ya kiulinzi na kielimu

    Rais Rouhani: Tunajifakharisha kwa makombora yetu ya kiulinzi na kielimu

    Jan 10, 2019 12:33

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, makombora leo hii ni zana ya kujilinda Iran na taifa letu leo hii linajivunia na linaona fakhari kubwa kuwa na nguvu za kiulinzi za makombora.

  • Uwezo wa makombora wa Iran; suala lililo nje ya irada na matakwa ya Marekani

    Uwezo wa makombora wa Iran; suala lililo nje ya irada na matakwa ya Marekani

    Jan 04, 2019 23:10

    Kwa mara nyingine tena, harakati ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika maendeleo ya kielimu na kisayansi, ikiwemo kutuma maroketi ya kubebea satalaiti katika anga za mbali na vilevile kustawisha uwezo na nguvu za makombora yake, imewalazimisha viongozi wa Marekani kufungua midomo tena na kuanza kupayuka.

  • Nguvu za makombora za Iran, upeo wa juu wa maendeleo ya kiulinzi ya Jamhuri ya Kiislamu

    Nguvu za makombora za Iran, upeo wa juu wa maendeleo ya kiulinzi ya Jamhuri ya Kiislamu

    Jan 03, 2019 08:08

    Waziri wa Ulinzi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, miradi ya kiulinzi hususan umakini na uwezo wa hali ya juu wa makombora, umeifanya Iran kuwa taifa lililopiga hatua nzuri sana za kiulinzi.

  • Miaka 40 baada ya Mapinduzi ya Kiislamu, Wamarekani bado wako kwenye ndoto

    Miaka 40 baada ya Mapinduzi ya Kiislamu, Wamarekani bado wako kwenye ndoto

    Dec 13, 2018 03:51

    Sambamba na kutimia miaka 40 tangu baada ya ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu nchini Iran, uhasama na uadui wa Marekani dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu umefikia kileleni.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS