Pars Today
Rais wa Korea ya Kusini amezungumzia uhusiano wa Korea mbili na kusema kuwa nchi mbili hizo ni kitu kimoja na kwamba zina hamu ya kuona amani na uthabiti ukitawala katika Peninsula ya Korea.
Serikali za Korea Kusini na Korea Kaskazini zimekubaliana kufanya kikao cha kwanza cha bunge la pamoja mwaka huu.
Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani Mike Pompeo amesema kuwa, Rais wa nchi hiyo Donald Trump anajiandaa kwa mkutano wa pili na Kim Jong-un, Kiongozi wa Korea Kaskazini.
Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani amesema kuwa, nchi yake imejiandaa kuanza haraka mazungumzo ya kutokomeza silaha za nyuklia za Korea Kaskazini na kwamba mazungumzo hayo yatakamilika ifikapo mwezi Januari 2021.
Mgogoro wa Rasi ya Korea ni moja ya masuala ambayo Rais Donald Trump wa Marekani amekuwa akiyapa umuhimu mkubwa, tangu alipoingia madarakani nchini humo.
Leo ni Jumapili tarehe 28 Mfunguo Tatu, Dhul-Hijjah 1439 Hijiria, sawa na tarehe tisa Septemba mwaka 2018 Miladia.
Katika kuendeleza hatua za uhasama za Marekani dhidi ya Korea Kaskazini, kwa mara nyingine Wizara ya Hazina ya Marekani imeiwekea vikwazo serikali ya Pyongyang.
Kwa mara nyingine Kim Jong-un, Kiongozi wa Korea Kaskazini amesisitiza kuwa nchi yake itaendelea kufungamana na majukumu yake ya kuangamiza silaha zake za nyuklia na kuimarisha usalama katika Rasi ya Korea.
Serikali ya Korea Kaskazini imewaonya viongozi wa Marekani juu ya uwezekano wa kuvunjika mazungumzo kati ya pande mbili, kufuatia hatua ya Washington ya kumzuia Waziri wa Mambo ya Nje wa nchi hiyo Mike Pompeo kutembelea Pyongyang.
Mwanzoni mwa mwezi huu, Korea Kaskazini ilimuachilia huru raia wa Japan aliyekamatwa na nchi hiyo kwa tuhuma za kufanya ujasusi.