-
Ukosoaji wa Korea Kaskazini dhdi ya uingiliaji wa Marekani katika uhusiano wa Korea mbili
Nov 11, 2018 12:46Vyombo vya habari vilivyo karibu na serikali ya Korea Kaskazini, vimekosoa mpango wa Marekani wa kuanzisha jopokazi maalumu la kusimamia uhusiano wa Korea mbili na pia kufanya maneva za kijeshi za pamoja baharini.
-
Facebook: Iran na Korea Kaskazini hazijahusika kuiba taarifa za watumiaji wa mtandao wetu
Oct 19, 2018 15:05Shirika la Mtandao wa Kijamii la Facebook limekadhibisha tuhuma kwamba Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Korea Kaskazini zimehusika kudukua taarifa za watumiaji wa mtandao huo.
-
Korea Kaskazini: Japan inakusudia kurejesha mfumo wa kijeshi katika eneo
Oct 18, 2018 08:04Serikali ya Korea Kaskazini imekosoa azma ya Japan ya kuelekea kwenye mfumo wa kijeshi kwamba, kuifanyia marekebisho katiba ya nchi hiyo ni kurejesha kipindi kilichopita cha umwagaji damu.
-
Wamarekani: Korea Kaskazini haijasimamisha miradi yake ya nyuklia!
Oct 07, 2018 02:26Watafiti kadhaa ya Marekani wamedai kwamba, uchunguzi wao umebaini kuwa Korea Kaskazini inaendelea na shughuli zake za nyuklia huku ikiilaumu Washington kuwa inapuuza kutekeleza makubaliano yaliyofikiwa katika mkutano wa viongozi wa nchi hizo mbili mwezi Juni mwaka huu.
-
Korea Kaskazini na China zatoa onyo kwa Marekani na Japan kwa kufanya pamoja maneva ya majeshi ya anga na baharini
Sep 30, 2018 01:26Huku maneva ya kijeshi ya pamoja kati ya Japan na nchi za Magharibi yanayoyashirikisha majeshi ya anga na baharini yakiendelea, serikali za Korea Kaskazini na China zimetoa onyo kali na kuItaja Luteka hiyo kuwa ni hatari kubwa kwa ajili ya usalama na amani ya maeneo ya mashariki na kusini mwa Asia.
-
Matamshi ya Rais wa Korea Kusini kuhusu kuwa kitu kimoja mataifa mataifa mawili ya Korea Kaskazini na Kusini
Sep 30, 2018 01:23Rais wa Korea ya Kusini amezungumzia uhusiano wa Korea mbili na kusema kuwa nchi mbili hizo ni kitu kimoja na kwamba zina hamu ya kuona amani na uthabiti ukitawala katika Peninsula ya Korea.
-
Korea mbili zakubaliana kufanya kikao cha kwanza cha bunge la pamoja
Sep 28, 2018 04:16Serikali za Korea Kusini na Korea Kaskazini zimekubaliana kufanya kikao cha kwanza cha bunge la pamoja mwaka huu.
-
Trump anajiandaa kukutana na Kim Jong-un, huku Russia ikiikosoa Marekani
Sep 23, 2018 02:41Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani Mike Pompeo amesema kuwa, Rais wa nchi hiyo Donald Trump anajiandaa kwa mkutano wa pili na Kim Jong-un, Kiongozi wa Korea Kaskazini.
-
Marekani: Tupo tayari kuanza upya mazungumza na Korea Kaskazini
Sep 20, 2018 15:08Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani amesema kuwa, nchi yake imejiandaa kuanza haraka mazungumzo ya kutokomeza silaha za nyuklia za Korea Kaskazini na kwamba mazungumzo hayo yatakamilika ifikapo mwezi Januari 2021.
-
Sisitizo la Rais Vladmir Putin wa Russia juu ya ulazima wa kudhaminiwa usalama wa kimataifa wa Korea Kaskazini
Sep 14, 2018 02:26Mgogoro wa Rasi ya Korea ni moja ya masuala ambayo Rais Donald Trump wa Marekani amekuwa akiyapa umuhimu mkubwa, tangu alipoingia madarakani nchini humo.