Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Korea Kaskazini

  • Kim Jong-un ataka kupanuliwa mahusiano na Korea Kusini haraka

    Kim Jong-un ataka kupanuliwa mahusiano na Korea Kusini haraka

    Mar 06, 2018 17:10

    Kim Jong-un, Kiongozi wa Korea Kaskazini sambamba na kufurahishwa na hatua ya Rais Moon Jae-in wa Korea Kusini ya kumtuma mjumbe wake maalumu mjini Pyongyang, ametaka kuboreshwa haraka mahusiano ya nchi mbili.

  • Mjumbe wa Rais wa Korea Kusini mjini Pyongyang aanza safari kuimarisha mahusiano zaidi

    Mjumbe wa Rais wa Korea Kusini mjini Pyongyang aanza safari kuimarisha mahusiano zaidi

    Mar 05, 2018 08:23

    Mjumbe maalumu wa Rais Moon Jae-in wa Korea Kusini amefanya safari nchini Korea Kaskazini ambapo pia amesema kuwa akiwa Pyongyang atajadiliana na viongozi wa nchi hiyo kuhusiana na masuala ya silaha za nyuklia.

  • Pentagon yaonya: Askari 10,000 wa Marekani 'watakufa' vita vikianza tu dhidi ya Korea Kaskazini

    Pentagon yaonya: Askari 10,000 wa Marekani 'watakufa' vita vikianza tu dhidi ya Korea Kaskazini

    Mar 03, 2018 07:56

    Makamanda wakuu wa jeshi la Marekani wameonya kuwa vita dhidi ya Korea Kaskazini vinaweza kusababisha kuuawa au kujeruhiwa askari wapatao 10,000 wa Marekani katika siku za mwanzoni tu baada ya kuanzishwa vita hivyo, idadi ambayo ni kubwa zaidi kuliko jumla ya askari 7,000 wa nchi hiyo waliouawa vitani katika nchi za Iraq na Afghanistan.

  • Korea Kaskazini yashangazwa na madai ya Marekani kwamba ilituma silaha za kemikali Syria

    Korea Kaskazini yashangazwa na madai ya Marekani kwamba ilituma silaha za kemikali Syria

    Mar 02, 2018 13:54

    Serikali ya Korea Kaskazini imekadhibisha madai ya viongozi wa Marekani na kadhalika kundi la uchunguzi la Umoja wa Mataifa kwamba ilituma silaha zake za kemikali nchini Syria.

  • Korea Kaskazini: Vikwazo vipya vya Marekani dhidi yetu ni sawa na kututangazia vita

    Korea Kaskazini: Vikwazo vipya vya Marekani dhidi yetu ni sawa na kututangazia vita

    Feb 26, 2018 08:51

    Korea Kaskazini imesema kuwa, vikwazo vipya vya Rais Donald Trump wa Marekani dhidi ya nchi hiyo ni sawa na tangazo la vita dhidi ya Pyongyang.

  • Korea Kusini yakiri kushindwa stratijia za pamoja kati yake na Marekani dhidi ya Korea Kaskazini

    Korea Kusini yakiri kushindwa stratijia za pamoja kati yake na Marekani dhidi ya Korea Kaskazini

    Feb 24, 2018 08:04

    Rais Moon Jae-in wa Korea Kusini amekiri kufeli stratijia za Washington na Seoul kwa ajili ya kuivua silaha za nyuklia Korea Kaskazini kwa kipindi cha miakka 25 iliyopita.

  • Korea Kaskazini yalaani majaribio ya makombora ya Marekani na Japan

    Korea Kaskazini yalaani majaribio ya makombora ya Marekani na Japan

    Feb 24, 2018 00:49

    Serikali ya Korea Kaskazini imetoa taarifa ya kulaani vikali majaribio ya makombora yaliyofanywa na Marekani na Japan.

  • Korea Kusini: Baada ya michuano ya Olimpiki, tutajikita na mazungumzo na Pyongyang

    Korea Kusini: Baada ya michuano ya Olimpiki, tutajikita na mazungumzo na Pyongyang

    Feb 22, 2018 04:42

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Korea Kusini amesema kuwa, baada ya kumalizika michuano ya sasa ya msimu wa baridi kali inayoendelea huko Pyeongchang, Korea Kusini, Seoul itajikita katika kufanya mazungumzo na Korea Kaskazini kwa ajili ya kutatua maudhui ya silaha za nyuklia za nchi hiyo.

  • Korea Kaskazini ilikataa kukutana kwa siri na viongozi wa Marekani

    Korea Kaskazini ilikataa kukutana kwa siri na viongozi wa Marekani

    Feb 21, 2018 07:50

    Imebainika kuwa, viongozi wa Korea Kaskazini walifuta ghafla mkutano wa faragha uliotatarajiwa kufanyika kati yao na Makamu wa Rais wa Marekani, Mike Pence huko nchini Korea Kusini.

  • Korea Kaskazini: Tuhuma bandia za Marekani dhidi yetu zitaigharimu Washington

    Korea Kaskazini: Tuhuma bandia za Marekani dhidi yetu zitaigharimu Washington

    Feb 16, 2018 07:34

    Serikali ya Korea Kaskazini imetangaza kwamba, kitendo cha Marekani kuendeleza mashinikizo dhidi yake, kitaigharimu Washington.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS