Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Korea Kaskazini

  • Rais Moon Jae-in: Marekani inataka sana kufanya mazungumzo na Korea Kaskazini

    Rais Moon Jae-in: Marekani inataka sana kufanya mazungumzo na Korea Kaskazini

    Feb 15, 2018 04:03

    Rais Moon Jae-in wa Korea Kusini amesema kuwa, serikali ya Marekani inataka sana kufanya mazungumzo na Korea Kaskazini kwa ajili ya kuhitimisha mgogoro uliopo.

  • Korea Kaskazini: Trump na viongozi wengine wa Marekani wanaogopa silaha zetu za nyuklia

    Korea Kaskazini: Trump na viongozi wengine wa Marekani wanaogopa silaha zetu za nyuklia

    Feb 13, 2018 08:02

    Serikali ya Korea Kaskazini imekitaja kitendo cha marekani cha kumwalika raia mmoja wa Korea Kaskazini aliyetoroka nchi sambamba na kusafiri naye baba wa mwanafunzi mmoja aliyefariki dunia kumpeleka katika michuano ya Olimpiki ya msimu wa baridi kali huko Korea Kusini kuwa kimetokana na woga wa Washington juu ya uwezo wa silaha za nyuklia wa Pyongyang.

  • Juhudi za Korea mbili za kuwa na mazungumzo ya viongozi wa ngazi ya juu

    Juhudi za Korea mbili za kuwa na mazungumzo ya viongozi wa ngazi ya juu

    Feb 12, 2018 12:10

    Katika hali ambayo mashindano ya Olimpiki ya msimu wa baridi kali mjini Pyeongchang nchini Korea Kusini inayowashirikisha pia wanamichezo wa Korea Kaskazini ikiwa bado inaendelea, maafisa wa Korea mbili wanafanya juhudi kwa ajili ya kuwakutanisha viongozi wa mataifa hayo.

  • Korea Kaskazini: Maafisa wetu walioenda Korea Kusini hawatokutana na viongozi wa US

    Korea Kaskazini: Maafisa wetu walioenda Korea Kusini hawatokutana na viongozi wa US

    Feb 08, 2018 14:30

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Korea Kaskazini imesema kuwa, viongozi wa nchi hiyo waliofanya safari nchini Korea Kusini kwa ajili ya kushiriki katika michuano ya Olimpiki ya msimu wa baridi, kamwe hawatokutana na viongozi wa Marekani.

  • Rais wa Korea Kusini aonyesha matarajio ya kufikiwa amani kati ya Korea mbili

    Rais wa Korea Kusini aonyesha matarajio ya kufikiwa amani kati ya Korea mbili

    Feb 06, 2018 14:14

    Rais Moon Jae-in wa Korea Kusini, amesema kuwa kufanyika michuano ya Olimpiki ya msimu wa baridi kali ndani ya mwezi huu kwa kuishirikisha Korea Kaskazini, ni mwanzo wa ratiba ya kupatikana amani katika eneo la Rasi ya Korea.

  • Raia wanne wauliwa katika shambulio la wanamgambo Mali

    Raia wanne wauliwa katika shambulio la wanamgambo Mali

    Feb 05, 2018 07:45

    Raia wasiopungua wanne wameuawa katika shambulio linaloshukiwa kufanywa na wanamgambo wenye silaha kaskazini mwa Mali mwishoni mwa wiki. Ripoti zinasema kuwa wafanya mashambulizi kadhaa wameuawa pia katika mapigano yaliyojiri huko Talataye kaskazini mwa Mali. Mji wa Talataye unapatikana kaskazini mashariki mwa Mali ukiwa na jamii ya watu elfu 14.

  • Korea Kaskazini: Serikali ya Marekani ni mkiukaji mkubwa wa haki za binaadamu duniani

    Korea Kaskazini: Serikali ya Marekani ni mkiukaji mkubwa wa haki za binaadamu duniani

    Jan 31, 2018 15:15

    Serikali ya Korea Kaskazini sambamba na kulaani vikali siasa za serikali ya Rais Donald Trump wa Marekani, imesema kuwa Washington ni mkiukaji mkubwa wa haki za binaadamu duniani.

  • Ukosoaji wa Korea Kaskazini dhidi ya muungano wa kijeshi wa Korea Kusini na Marekani

    Ukosoaji wa Korea Kaskazini dhidi ya muungano wa kijeshi wa Korea Kusini na Marekani

    Jan 29, 2018 08:08

    Korea Kaskazini imekosoa muungano wa Marekani na Korea Kusini na hatua za kijeshi za nchi mbili hizo kwa lengo la kuisambaratisha Pyongyang na kusisitiza kwamba, suala hilo linaweza kusimamisha mazungumzo yanayoendelea kati ya Korea mbili.

  • Ujumbe wa Korea Kaskazini wazuru Korea Kusini kwa ajili ya maandalizi ya michuano

    Ujumbe wa Korea Kaskazini wazuru Korea Kusini kwa ajili ya maandalizi ya michuano

    Jan 22, 2018 08:13

    Viongozi wa Korea Kaskazini waliwasili jana Jumapili nchini Korea Kusini chini ya ulinzi mkali, kwa ajili ya kuanza maandalizi ya wanamichezo wake kwenye michezo ijayo ya olimpiki.

  • Korea Kusini: Tafadhali Marekani msituharibie mazungumzo na Korea Kaskazini

    Korea Kusini: Tafadhali Marekani msituharibie mazungumzo na Korea Kaskazini

    Jan 17, 2018 08:11

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Korea Kusini ameitaka Marekani kutochafua nga ya mazungumzo yake na Korea Kaskazini na hivyo kuzuia kufanyika kwa namna bora michuano ya Olimpiki ya msimu wa baridi nchini humo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS