-
TV ya Japan yaomba radhi kwa kuwatisha raia kuwa Pyongyang ingeshambulia jana usiku
Jan 17, 2018 08:05Televisheni ya taifa nchini Japan NHK imewaomba radhi wananchi baada ya kutoa habari potovu kwamba Korea Kaskazini ingeshambulia nchi hiyo usiku wa jana.
-
Kim Jong-un: Vikwazo vya kimataifa dhidi ya Korea Kaskazini havina taathira yoyote
Jan 13, 2018 13:49Kiongozi wa Korea Kaskazini amesema kuwa, hata kama vikwazo vya kimataifa dhidi ya Pyongyang vitaendelea kwa karne nzima, nchi yake haitokabiliwa na matatizo makubwa na badala yake itasimama kukabiliana na vikwazo hivyo.
-
Korea Kaskazini yatabiri kwamba Trump ataporomoka kisiasa mapema sana
Jan 12, 2018 07:56Serikali ya Korea Kaskazini kupitia gazeti la chama tawala nchini humo limemtabiria Rais Donald Trump wa Marekani kuporomoka kisiasa baada ya kuchapishwa kitabu cha 'Moto na Ghadhabu Ndani ya White House ya Trump' kilichoandikwa na Michael Wolff.
-
Rais Putin: Kiongozi wa Korea Kaskazini ni mtu mwenye uwezo mkubwa wa akili
Jan 12, 2018 04:37Rais Vladmir Putin wa Russia amesema kuwa, Kim Jong-un Kiongozi wa Korea Kaskazini, ni mtu mwenye uwezo mkubwa wa akili na aliyepikika.
-
Kuanza mazungumzo kati ya Korea mbili na kufikiwa makubaliano
Jan 10, 2018 12:38Baada ya kuwasili wawakilishi wa nchi mbili za Korea Kusini na Korea Kaskazini katika kijiji cha Panmunjom maarufu kwa jina la 'kijiji cha usitishaji vita' na kilichopo katika mpaka wa mataifa hayo mawili, hatimaye mazungumzo rasmi kati ya pande mbili hizo yalianza asubuhi ya jana Jumanne.
-
Hatimaye mazungumzo kati ya Korea mbili yaanza, Pyongyang yakubali kutuma wanamichezo wake Olimpiki
Jan 09, 2018 07:54Baada ya kuwasili wawakilishi wa nchi mbili za Korea Kusini na Korea Kaskazini katika kijiji cha Panmunjom maarufu kwa jina la 'kijiji cha usitishaji vita' na kilichopo katika mpaka wa mataifa hayo, hatimaye mazungumzo rasmi kati ya pande mbili hizo yameanza leo asubuhi, huku habari za hivi punde zikisema kuwa, Pyongyang imekubali kutuma timu yake ya wanamichezo katika nchi hiyo jirani.
-
Korea Kusini: Korea Kaskazini imeafiki kufanyika mazungumzo ya jumbe za ngazi za juu
Jan 05, 2018 08:01Serikali ya Korea Kusini imetangaza kuwa Korea Kaskazini imeafiki kufanyika mazungumzo baina ya jumbe za ngazi za juu za nchi hizo mbili wiki ijayo na hivyo kuongeza matumaini ya kuhitimishwa kwa amani mzozo wa kijeshi unaoendelea kwa muda mrefu sasa, ambao unaijumuisha pia Marekani.
-
Trump amjibu kiongozi wa Korea Kaskazini: Mimi pia ninacho kitufe cha nyuklia, lakini ni kikubwa zaidi na kina nguvu zaidi
Jan 04, 2018 02:34Rais Donald Trump wa Marekani ametoa kitisho tena cha kuishambulia kijeshi Korea Kaskazini.
-
Kiongozi wa Korea Kaskazini: Kitufe cha silaha za nyuklia kiko mezani pangu; zinaifikia ardhi yote ya Marekani
Jan 01, 2018 07:59Kiongozi wa Korea Kaskazini Kim Jong-un amesema, nchi yake imefikia kiwango cha uwezo wa kupiga eneo zima la ardhi ya Marekani kwa silaha zake za nyuklia na kwamba "kitufe cha silaha za nyuklia" kiko juu ya meza yake.
-
Korea Kaskazini yaapa kuimarisha zana zake za nyuklia mwaka 2018
Dec 31, 2017 08:10Korea Kaskazini imeapa kufanyia majaribio zaidi ya zana zake za nyuklia mwaka 2018 huku ikisisitiza kuwa uwezo wake hauwezi kuangamizwa au kuvurugwa.