-
Jumatano tarehe 27 Disemba, 2017
Dec 27, 2017 02:40Leo ni Jumatano tarehe 8 Rabiuthani, 1439 Hijria sawa na 27 Disemba, 2017
-
Gavana wa Ohio: Matamshi ya ovyo ya Trump dhidi ya Korea Kaskazini yanachafua amani
Dec 26, 2017 14:48Gavana wa jimbo la Ohio nchini Marekani, John Kasich amekosoa vikali matamshi ya Rais Donald Trump na viongozi wengine wa nchi hiyo dhidi ya Korea Kaskazini.
-
Korea Kaskazini yasema vikwazo vipya dhidi yake ni tangazo la vita
Dec 24, 2017 08:15Korea Kaskazini imekosoa vikali hatua ya kuwekewa vikwazo vipya nchi hiyo na kusisitiza kuwa kitendo hicho ni sawa na tangazo la vita dhidi yake.
-
Marekani yatoa vitisho tena vya kuishambulia kijeshi Korea Kaskazini
Dec 16, 2017 07:58Katika kile kinachoonekana kama jaribio la kuilazimisha Korea Kaskazini iachane na mipango yake ya makombora na ya kinyuklia, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani Rex Tillerson ametoa vitisho tena kwa lugha isiyo ya wazi vya kuishambulia kijeshi nchi hiyo.
-
Tillerson: Niko tayari kufanya mazungumzo na Korea ya Kaskazini
Dec 13, 2017 07:54Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Marekani ametangaza kuwa Washington ina hamu ya kufanya mazungumzo na Pyong Yang bila ya sharti lolote kuhusu kuipokonya silaha Korea ya Kaskazini.
-
Russia yaionya Marekani kuhusu kuchochea mgogoro wa Korea
Dec 12, 2017 02:36Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia ameionya Marekani kwa siasa zake za kuchochea na kushadidisha mgogoro wa Rasi ya Korea.
-
Korea Kaskazini: Trump ni 'jini mbaya wa nyuklia' na 'mvurugaji amani ya dunia'
Dec 03, 2017 07:12Korea Kaskazini imesema Rais Donald Trump wa Marekani na serikali yake "wanabembeleza vitokee vita vya nyuklia" huku Washington na muitifaki wake katika Peninsula ya Korea, yaani Korea Kusini zikijiandaa kufanya manuva makubwa ya kijeshi ya angani.
-
Jumamosi, Disemba 2, 2017
Dec 02, 2017 04:11Leo ni Jumamosi tarehe 13 Mfunguo Sita Rabiul Awwal 1439 Hijria mwafaka na tarehe Pili Disemba 2017 Miladia.
-
Kombora la Korea Kaskazini lamhamakisha Trump, sasa amwita kiongozi wa nchi hiyo 'kijibwa kigonjwa'
Nov 30, 2017 08:06Rais Donald Trump wa Marekani amekurupuka tena na kutumia lugha ya matusi kwa kumwita kiongozi wa Korea Kaskazini Kim Jong Un 'kijibwa kigonjwa' kufuatia jaribio la kombora la balestiki la masafa marefu zaidi lililofanywa na nchi hiyo ambalo lina uwezo wa kulenga sehemu yoyote ya ardhi ya Marekani.
-
Korea Kaskazini yavurumisha kombora la balestiki kuelekea Japan
Nov 29, 2017 08:15Korea Kaskazini imefyatua kombora jengine la balestiki lililopaa juu ya kisiwa cha Japan na linaloweza kulenga sehemu yoyote ya ardhi ya Marekani, huku ikisisitiza kuwa sasa ina uwezo kamili wa kinyuklia.