Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Korea Kaskazini

  • Jumatano tarehe 27 Disemba, 2017

    Jumatano tarehe 27 Disemba, 2017

    Dec 27, 2017 02:40

    Leo ni Jumatano tarehe 8 Rabiuthani, 1439 Hijria sawa na 27 Disemba, 2017

  • Gavana wa Ohio: Matamshi ya ovyo ya Trump dhidi ya Korea Kaskazini yanachafua amani

    Gavana wa Ohio: Matamshi ya ovyo ya Trump dhidi ya Korea Kaskazini yanachafua amani

    Dec 26, 2017 14:48

    Gavana wa jimbo la Ohio nchini Marekani, John Kasich amekosoa vikali matamshi ya Rais Donald Trump na viongozi wengine wa nchi hiyo dhidi ya Korea Kaskazini.

  • Korea Kaskazini yasema vikwazo vipya dhidi yake ni tangazo la vita

    Korea Kaskazini yasema vikwazo vipya dhidi yake ni tangazo la vita

    Dec 24, 2017 08:15

    Korea Kaskazini imekosoa vikali hatua ya kuwekewa vikwazo vipya nchi hiyo na kusisitiza kuwa kitendo hicho ni sawa na tangazo la vita dhidi yake.

  • Marekani yatoa vitisho tena vya kuishambulia kijeshi Korea Kaskazini

    Marekani yatoa vitisho tena vya kuishambulia kijeshi Korea Kaskazini

    Dec 16, 2017 07:58

    Katika kile kinachoonekana kama jaribio la kuilazimisha Korea Kaskazini iachane na mipango yake ya makombora na ya kinyuklia, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani Rex Tillerson ametoa vitisho tena kwa lugha isiyo ya wazi vya kuishambulia kijeshi nchi hiyo.

  • Tillerson: Niko tayari kufanya mazungumzo na Korea ya Kaskazini

    Tillerson: Niko tayari kufanya mazungumzo na Korea ya Kaskazini

    Dec 13, 2017 07:54

    Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Marekani ametangaza kuwa Washington ina hamu ya kufanya mazungumzo na Pyong Yang bila ya sharti lolote kuhusu kuipokonya silaha Korea ya Kaskazini.

  • Russia yaionya Marekani kuhusu kuchochea mgogoro wa Korea

    Russia yaionya Marekani kuhusu kuchochea mgogoro wa Korea

    Dec 12, 2017 02:36

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia ameionya Marekani kwa siasa zake za kuchochea na kushadidisha mgogoro wa Rasi ya Korea.

  • Korea Kaskazini: Trump ni 'jini mbaya wa nyuklia' na 'mvurugaji amani ya dunia'

    Korea Kaskazini: Trump ni 'jini mbaya wa nyuklia' na 'mvurugaji amani ya dunia'

    Dec 03, 2017 07:12

    Korea Kaskazini imesema Rais Donald Trump wa Marekani na serikali yake "wanabembeleza vitokee vita vya nyuklia" huku Washington na muitifaki wake katika Peninsula ya Korea, yaani Korea Kusini zikijiandaa kufanya manuva makubwa ya kijeshi ya angani.

  • Jumamosi, Disemba 2, 2017

    Jumamosi, Disemba 2, 2017

    Dec 02, 2017 04:11

    Leo ni Jumamosi tarehe 13 Mfunguo Sita Rabiul Awwal 1439 Hijria mwafaka na tarehe Pili Disemba 2017 Miladia.

  • Kombora la Korea Kaskazini lamhamakisha Trump, sasa amwita kiongozi wa nchi hiyo 'kijibwa kigonjwa'

    Kombora la Korea Kaskazini lamhamakisha Trump, sasa amwita kiongozi wa nchi hiyo 'kijibwa kigonjwa'

    Nov 30, 2017 08:06

    Rais Donald Trump wa Marekani amekurupuka tena na kutumia lugha ya matusi kwa kumwita kiongozi wa Korea Kaskazini Kim Jong Un 'kijibwa kigonjwa' kufuatia jaribio la kombora la balestiki la masafa marefu zaidi lililofanywa na nchi hiyo ambalo lina uwezo wa kulenga sehemu yoyote ya ardhi ya Marekani.

  • Korea Kaskazini yavurumisha kombora la balestiki kuelekea Japan

    Korea Kaskazini yavurumisha kombora la balestiki kuelekea Japan

    Nov 29, 2017 08:15

    Korea Kaskazini imefyatua kombora jengine la balestiki lililopaa juu ya kisiwa cha Japan na linaloweza kulenga sehemu yoyote ya ardhi ya Marekani, huku ikisisitiza kuwa sasa ina uwezo kamili wa kinyuklia.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS