-
Jumamosi, Disemba 2, 2017
Dec 02, 2017 00:41Leo ni Jumamosi tarehe 13 Mfunguo Sita Rabiul Awwal 1439 Hijria mwafaka na tarehe Pili Disemba 2017 Miladia.
-
Kombora la Korea Kaskazini lamhamakisha Trump, sasa amwita kiongozi wa nchi hiyo 'kijibwa kigonjwa'
Nov 30, 2017 04:36Rais Donald Trump wa Marekani amekurupuka tena na kutumia lugha ya matusi kwa kumwita kiongozi wa Korea Kaskazini Kim Jong Un 'kijibwa kigonjwa' kufuatia jaribio la kombora la balestiki la masafa marefu zaidi lililofanywa na nchi hiyo ambalo lina uwezo wa kulenga sehemu yoyote ya ardhi ya Marekani.
-
Korea Kaskazini yavurumisha kombora la balestiki kuelekea Japan
Nov 29, 2017 04:45Korea Kaskazini imefyatua kombora jengine la balestiki lililopaa juu ya kisiwa cha Japan na linaloweza kulenga sehemu yoyote ya ardhi ya Marekani, huku ikisisitiza kuwa sasa ina uwezo kamili wa kinyuklia.
-
Cuba yalaani chuki za Marekani dhidi ya Korea Kaskazini
Nov 23, 2017 03:38Waziri wa Mambo ya Nje wa Cuba amelaani vitisho na misimamo ya chuki na ya kuzusha fujo vinavyofanywa na Marekani dhidi ya Korea Kaskazini.
-
Korea Kaskazini: Tutafanya mazungumzo kuhusu nyuklia ikiwa Marekani itakomesha chokochoko zake dhidi yetu
Nov 19, 2017 00:58Serikali ya Korea Kaskazini imetoa sharti la kufanya mazungumzo kuhusiana na suala la nyuklia ambalo ni Marekani kuacha chokochoko zake dhidi ya nchi hiyo.
-
Korea Kusini yamuonya Trump juu ya kuishambulia Korea Kaskazini bila ya ridhaa yake
Nov 16, 2017 04:50Mkuu wa chama tawala nchini Korea Kusini, amesema kuwa haiwezekani Rais Donald Trump wa Marekani kutumia chaguo la kijeshi dhidi ya Korea Kaskazini bila ridhaa ya nchi yake.
-
Korea Kaskazini: Haitowezekana kuachana na silaha za nyuklia tulizozipata kwa tabu
Nov 15, 2017 01:13Serikali ya Korea Kaskazini imetangaza kwamba, ni suala lisilowezekana kuachana na uwezo wa silaha zake za nyuklia uliopatikana kwa tabu, kwa sababu tu ya mashinikizo na vikwazo dhidi yake.
-
Korea Kaskazini: Safari ya Trump mashariki mwa Asia haina faida yoyote
Nov 09, 2017 11:22Serikali ya Korea Kaskazini imetoa radiamali kufuatia vitisho vipya vya Rais Donald Trump wa Marekani katika safari yake ya kutembelea eneo la mashariki mwa Asia.
-
Baraza la Senate la Marekani laweka vikwazo vikali vya benki dhidi ya Korea Kaskazini
Nov 08, 2017 04:20Kamati ya masuala ya benki ya baraza la Senate la Marekani, usiku wa kuamkia leo Jumatano imepasisha muswada wa kuiwekea Korea Kaskazini vikwazo vikali zaidi vya benki.
-
Korea Kaskazini: Trump mzee kichaa, lini ataanzisha vita vya nyuklia?
Nov 07, 2017 11:10Gazeti la chama tawala nchini Korea Kaskazini la Roodong Simon limemtaja Rais Donald Trump wa Marekani kuwa ni 'mzee kichaa'.