-
Cuba yalaani chuki za Marekani dhidi ya Korea Kaskazini
Nov 23, 2017 07:08Waziri wa Mambo ya Nje wa Cuba amelaani vitisho na misimamo ya chuki na ya kuzusha fujo vinavyofanywa na Marekani dhidi ya Korea Kaskazini.
-
Korea Kaskazini: Tutafanya mazungumzo kuhusu nyuklia ikiwa Marekani itakomesha chokochoko zake dhidi yetu
Nov 19, 2017 04:28Serikali ya Korea Kaskazini imetoa sharti la kufanya mazungumzo kuhusiana na suala la nyuklia ambalo ni Marekani kuacha chokochoko zake dhidi ya nchi hiyo.
-
Korea Kusini yamuonya Trump juu ya kuishambulia Korea Kaskazini bila ya ridhaa yake
Nov 16, 2017 08:20Mkuu wa chama tawala nchini Korea Kusini, amesema kuwa haiwezekani Rais Donald Trump wa Marekani kutumia chaguo la kijeshi dhidi ya Korea Kaskazini bila ridhaa ya nchi yake.
-
Korea Kaskazini: Haitowezekana kuachana na silaha za nyuklia tulizozipata kwa tabu
Nov 15, 2017 04:43Serikali ya Korea Kaskazini imetangaza kwamba, ni suala lisilowezekana kuachana na uwezo wa silaha zake za nyuklia uliopatikana kwa tabu, kwa sababu tu ya mashinikizo na vikwazo dhidi yake.
-
Korea Kaskazini: Safari ya Trump mashariki mwa Asia haina faida yoyote
Nov 09, 2017 14:52Serikali ya Korea Kaskazini imetoa radiamali kufuatia vitisho vipya vya Rais Donald Trump wa Marekani katika safari yake ya kutembelea eneo la mashariki mwa Asia.
-
Baraza la Senate la Marekani laweka vikwazo vikali vya benki dhidi ya Korea Kaskazini
Nov 08, 2017 07:50Kamati ya masuala ya benki ya baraza la Senate la Marekani, usiku wa kuamkia leo Jumatano imepasisha muswada wa kuiwekea Korea Kaskazini vikwazo vikali zaidi vya benki.
-
Korea Kaskazini: Trump mzee kichaa, lini ataanzisha vita vya nyuklia?
Nov 07, 2017 14:40Gazeti la chama tawala nchini Korea Kaskazini la Roodong Simon limemtaja Rais Donald Trump wa Marekani kuwa ni 'mzee kichaa'.
-
Maelfu ya wananchi wa Korea Kusini waandamana dhidi ya Trump
Nov 05, 2017 14:47Maelfu ya wananchi wa Korea Kusini wamefanya maandamano ya kukashifu kile wanachotaja kama chokochoko za Rais Donald Trump wa Marekani ambaye ameanza safari ya kuzitembelea nchi kadhaa za Asia, dhidi ya Korea Kaskazini.
-
Wizara ya Nje ya Marekani yataka kuzungumza na Korea Kaskazini licha ya vitisho vya Trump
Nov 02, 2017 04:12Afisa mmoja wa ngazi ya juu katika Wizara ya Mambo ya Nje ya Marekani amesema kuwa, nchi hiyo inafanya juhudi kubwa kwa ajili ya kufanya mazungumzo na Korea Kaskazini.
-
Katibu Mkuu wa Nato atahadharisha kuhusu vita na Korea ya Kaskazini
Oct 31, 2017 07:14Katibu Mkuu wa Muungano wa Kijeshi wa Nchi za Magharibi (NATO) amezitahadharisha nchi zote husika kuhusu kupigana vita na Korea ya Kaskazini.