-
Maelfu ya wananchi wa Korea Kusini waandamana dhidi ya Trump
Nov 05, 2017 11:17Maelfu ya wananchi wa Korea Kusini wamefanya maandamano ya kukashifu kile wanachotaja kama chokochoko za Rais Donald Trump wa Marekani ambaye ameanza safari ya kuzitembelea nchi kadhaa za Asia, dhidi ya Korea Kaskazini.
-
Wizara ya Nje ya Marekani yataka kuzungumza na Korea Kaskazini licha ya vitisho vya Trump
Nov 02, 2017 00:42Afisa mmoja wa ngazi ya juu katika Wizara ya Mambo ya Nje ya Marekani amesema kuwa, nchi hiyo inafanya juhudi kubwa kwa ajili ya kufanya mazungumzo na Korea Kaskazini.
-
Katibu Mkuu wa Nato atahadharisha kuhusu vita na Korea ya Kaskazini
Oct 31, 2017 03:44Katibu Mkuu wa Muungano wa Kijeshi wa Nchi za Magharibi (NATO) amezitahadharisha nchi zote husika kuhusu kupigana vita na Korea ya Kaskazini.
-
Kamanda wa Marekani: Korea Kaskazini ina silaha za kushambulia eneo lolote Marekani
Oct 30, 2017 01:23Shirika moja la siri nchini Marekani linalojishughulisha na kufuatilia uzito wa makombora ya Korea Kaskazini limemnukuu kamanda mmoja wa jeshi la nchi hiyo kwa mara ya kwanza akisema kuwa ni suala gumu kwa Marekani kuweza kuishambulia Korea Kaskazini.
-
Korea Kaskazini: Marekani ndio iliyoanzisha mchezo wa nyuklia, tutakabiliana nayo
Oct 21, 2017 12:57Afisa wa ngazi ya juu wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Korea Kaskazini amesema kuwa, Pyongyang itaendelea kujiimarisha zaidi kwa silaha za nyuklia kwa ajili ya kukabiliana na vitisho vya Marekani.
-
Korea Kaskazini: Vita ya nyuklia vinaweza kutokea wakati wowote ule
Oct 19, 2017 00:33Mwakilishi wa kamisheni kuu ya Korea Kaskazini katika Umoja wa Mataifa amesema kuwa, ni suala linalowezekana sana kutokea kwa vita vya nyuklia katika Rasi ya Korea, kutokana na kuendelea maneva ya kijeshi ya Marekani na Korea Kusini katika eneo hilo.
-
Umoja wa Ulaya: Tutaiwekea vikwazo na mashinikizo zaidi Korea Kaskazini
Oct 17, 2017 04:46Federica Mogherini, Mkuu wa Sera za Kigeni wa Umoja wa Ulaya ametangaza azma ya umoja huo ya kuzidisha vikwazo na mashinikizo zaidi ya kiuchumi dhidi ya Korea Kaskazini.
-
Korea Kaskazini: Trump ni mfanyabiashara wa vita na mnyongaji wa amani duaniani
Oct 15, 2017 13:43Serikali ya Korea Kaskazini imejibu matamshi ya uhasama ya Rais Donald Trump wa Marekani kupitia mtandao wa kijamii wa Twitter na kusema kuwa, Trump ni mfanyabiashara wa vita na mnyongaji wa amani duaniani.
-
Korea Kaskazini yaionya Australia dhidi ya kushirikiana na Marekani
Oct 15, 2017 04:27Korea Kaskazini imeionya Australia kuwa inajitafutia balaa kwa kushirikiana na Marekani na Korea Kusini kuishinikiza Pyongyang iachane na mipango yake ya nyuklia na makombora ya balestiki.
-
Pendekezo la China kwa Marekani na Korea Kaskazini kuhitimisha vitisho vyao
Oct 14, 2017 04:27Katika hali ambayo mgogoro na vitisho kuhusiana na Peninsula ya Korea bado vinaendelea kati ya Marekani na Korea Kaskazini, Wizara ya Mambo ya Nje ya China imeitaka Washington na Pyongyang kuachana na vitisho hivyo na kukomesha mwenendo wa kuharibu hali ya eneo hilo.