Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Korea Kaskazini

  • Maelfu ya wananchi wa Korea Kusini waandamana dhidi ya Trump

    Maelfu ya wananchi wa Korea Kusini waandamana dhidi ya Trump

    Nov 05, 2017 11:17

    Maelfu ya wananchi wa Korea Kusini wamefanya maandamano ya kukashifu kile wanachotaja kama chokochoko za Rais Donald Trump wa Marekani ambaye ameanza safari ya kuzitembelea nchi kadhaa za Asia, dhidi ya Korea Kaskazini.

  • Wizara ya Nje ya Marekani yataka kuzungumza na Korea Kaskazini licha ya vitisho vya Trump

    Wizara ya Nje ya Marekani yataka kuzungumza na Korea Kaskazini licha ya vitisho vya Trump

    Nov 02, 2017 00:42

    Afisa mmoja wa ngazi ya juu katika Wizara ya Mambo ya Nje ya Marekani amesema kuwa, nchi hiyo inafanya juhudi kubwa kwa ajili ya kufanya mazungumzo na Korea Kaskazini.

  • Katibu Mkuu wa Nato atahadharisha kuhusu vita na Korea ya Kaskazini

    Katibu Mkuu wa Nato atahadharisha kuhusu vita na Korea ya Kaskazini

    Oct 31, 2017 03:44

    Katibu Mkuu wa Muungano wa Kijeshi wa Nchi za Magharibi (NATO) amezitahadharisha nchi zote husika kuhusu kupigana vita na Korea ya Kaskazini.

  • Kamanda wa Marekani: Korea Kaskazini ina silaha za kushambulia eneo lolote Marekani

    Kamanda wa Marekani: Korea Kaskazini ina silaha za kushambulia eneo lolote Marekani

    Oct 30, 2017 01:23

    Shirika moja la siri nchini Marekani linalojishughulisha na kufuatilia uzito wa makombora ya Korea Kaskazini limemnukuu kamanda mmoja wa jeshi la nchi hiyo kwa mara ya kwanza akisema kuwa ni suala gumu kwa Marekani kuweza kuishambulia Korea Kaskazini.

  • Korea Kaskazini: Marekani ndio iliyoanzisha mchezo wa nyuklia, tutakabiliana nayo

    Korea Kaskazini: Marekani ndio iliyoanzisha mchezo wa nyuklia, tutakabiliana nayo

    Oct 21, 2017 12:57

    Afisa wa ngazi ya juu wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Korea Kaskazini amesema kuwa, Pyongyang itaendelea kujiimarisha zaidi kwa silaha za nyuklia kwa ajili ya kukabiliana na vitisho vya Marekani.

  • Korea Kaskazini: Vita ya nyuklia vinaweza kutokea wakati wowote ule

    Korea Kaskazini: Vita ya nyuklia vinaweza kutokea wakati wowote ule

    Oct 19, 2017 00:33

    Mwakilishi wa kamisheni kuu ya Korea Kaskazini katika Umoja wa Mataifa amesema kuwa, ni suala linalowezekana sana kutokea kwa vita vya nyuklia katika Rasi ya Korea, kutokana na kuendelea maneva ya kijeshi ya Marekani na Korea Kusini katika eneo hilo.

  • Umoja wa Ulaya: Tutaiwekea vikwazo na mashinikizo zaidi Korea Kaskazini

    Umoja wa Ulaya: Tutaiwekea vikwazo na mashinikizo zaidi Korea Kaskazini

    Oct 17, 2017 04:46

    Federica Mogherini, Mkuu wa Sera za Kigeni wa Umoja wa Ulaya ametangaza azma ya umoja huo ya kuzidisha vikwazo na mashinikizo zaidi ya kiuchumi dhidi ya Korea Kaskazini.

  • Korea Kaskazini: Trump ni mfanyabiashara wa vita na mnyongaji wa amani duaniani

    Korea Kaskazini: Trump ni mfanyabiashara wa vita na mnyongaji wa amani duaniani

    Oct 15, 2017 13:43

    Serikali ya Korea Kaskazini imejibu matamshi ya uhasama ya Rais Donald Trump wa Marekani kupitia mtandao wa kijamii wa Twitter na kusema kuwa, Trump ni mfanyabiashara wa vita na mnyongaji wa amani duaniani.

  • Korea Kaskazini yaionya Australia dhidi ya kushirikiana na Marekani

    Korea Kaskazini yaionya Australia dhidi ya kushirikiana na Marekani

    Oct 15, 2017 04:27

    Korea Kaskazini imeionya Australia kuwa inajitafutia balaa kwa kushirikiana na Marekani na Korea Kusini kuishinikiza Pyongyang iachane na mipango yake ya nyuklia na makombora ya balestiki.

  • Pendekezo la China kwa Marekani na Korea Kaskazini kuhitimisha vitisho vyao

    Pendekezo la China kwa Marekani na Korea Kaskazini kuhitimisha vitisho vyao

    Oct 14, 2017 04:27

    Katika hali ambayo mgogoro na vitisho kuhusiana na Peninsula ya Korea bado vinaendelea kati ya Marekani na Korea Kaskazini, Wizara ya Mambo ya Nje ya China imeitaka Washington na Pyongyang kuachana na vitisho hivyo na kukomesha mwenendo wa kuharibu hali ya eneo hilo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS