-
Kamanda wa Marekani: Korea Kaskazini ina silaha za kushambulia eneo lolote Marekani
Oct 30, 2017 04:53Shirika moja la siri nchini Marekani linalojishughulisha na kufuatilia uzito wa makombora ya Korea Kaskazini limemnukuu kamanda mmoja wa jeshi la nchi hiyo kwa mara ya kwanza akisema kuwa ni suala gumu kwa Marekani kuweza kuishambulia Korea Kaskazini.
-
Korea Kaskazini: Marekani ndio iliyoanzisha mchezo wa nyuklia, tutakabiliana nayo
Oct 21, 2017 16:27Afisa wa ngazi ya juu wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Korea Kaskazini amesema kuwa, Pyongyang itaendelea kujiimarisha zaidi kwa silaha za nyuklia kwa ajili ya kukabiliana na vitisho vya Marekani.
-
Korea Kaskazini: Vita ya nyuklia vinaweza kutokea wakati wowote ule
Oct 19, 2017 04:03Mwakilishi wa kamisheni kuu ya Korea Kaskazini katika Umoja wa Mataifa amesema kuwa, ni suala linalowezekana sana kutokea kwa vita vya nyuklia katika Rasi ya Korea, kutokana na kuendelea maneva ya kijeshi ya Marekani na Korea Kusini katika eneo hilo.
-
Umoja wa Ulaya: Tutaiwekea vikwazo na mashinikizo zaidi Korea Kaskazini
Oct 17, 2017 08:16Federica Mogherini, Mkuu wa Sera za Kigeni wa Umoja wa Ulaya ametangaza azma ya umoja huo ya kuzidisha vikwazo na mashinikizo zaidi ya kiuchumi dhidi ya Korea Kaskazini.
-
Korea Kaskazini: Trump ni mfanyabiashara wa vita na mnyongaji wa amani duaniani
Oct 15, 2017 17:13Serikali ya Korea Kaskazini imejibu matamshi ya uhasama ya Rais Donald Trump wa Marekani kupitia mtandao wa kijamii wa Twitter na kusema kuwa, Trump ni mfanyabiashara wa vita na mnyongaji wa amani duaniani.
-
Korea Kaskazini yaionya Australia dhidi ya kushirikiana na Marekani
Oct 15, 2017 07:57Korea Kaskazini imeionya Australia kuwa inajitafutia balaa kwa kushirikiana na Marekani na Korea Kusini kuishinikiza Pyongyang iachane na mipango yake ya nyuklia na makombora ya balestiki.
-
Pendekezo la China kwa Marekani na Korea Kaskazini kuhitimisha vitisho vyao
Oct 14, 2017 07:57Katika hali ambayo mgogoro na vitisho kuhusiana na Peninsula ya Korea bado vinaendelea kati ya Marekani na Korea Kaskazini, Wizara ya Mambo ya Nje ya China imeitaka Washington na Pyongyang kuachana na vitisho hivyo na kukomesha mwenendo wa kuharibu hali ya eneo hilo.
-
US yaanzisha tena chokochoko katika Peninsula ya Korea
Oct 11, 2017 08:19Kwa mara nyingine tena Marekani imefanya maneva ya kijeshi kwa kushirikiana na Korea Kusini na Japan katika Peninsula Korea.
-
Uingereza yajipanga kupigana na Korea ya Kaskazini
Oct 10, 2017 03:07Gazeti moja linalochapishwa nchini Uingereza limeashiria kupamba moto mivutano ya maneno kati ya Marekani na Korea ya Kaskazini na kuandika kuwa Uingereza yenyewe inajiandaa kuhusu uwezekano wa kujiri vita kati yake na Pyongyang.
-
Kim Jong-un: Vikwazo vya UNSC havitaizuia Korea Kaskazini kuendelea kuunda silaha zake
Oct 09, 2017 15:00Kiongozi wa Korea Kaskazini, Kim Jong-un amesema kuwa nchi yake itaendelea kujiimarisha kwa silaha za nyuklia na makombora ya balestiki ya kuvuka mabara.