-
US yaanzisha tena chokochoko katika Peninsula ya Korea
Oct 11, 2017 04:49Kwa mara nyingine tena Marekani imefanya maneva ya kijeshi kwa kushirikiana na Korea Kusini na Japan katika Peninsula Korea.
-
Uingereza yajipanga kupigana na Korea ya Kaskazini
Oct 09, 2017 23:37Gazeti moja linalochapishwa nchini Uingereza limeashiria kupamba moto mivutano ya maneno kati ya Marekani na Korea ya Kaskazini na kuandika kuwa Uingereza yenyewe inajiandaa kuhusu uwezekano wa kujiri vita kati yake na Pyongyang.
-
Kim Jong-un: Vikwazo vya UNSC havitaizuia Korea Kaskazini kuendelea kuunda silaha zake
Oct 09, 2017 11:30Kiongozi wa Korea Kaskazini, Kim Jong-un amesema kuwa nchi yake itaendelea kujiimarisha kwa silaha za nyuklia na makombora ya balestiki ya kuvuka mabara.
-
Obama: Diplomasia ni njia bora zaidi ya kuupatia ufumbuzi mgogoro wa Peninsula ya Korea
Oct 06, 2017 04:31Rais msataafu wa Marekani, Barack Obama amesema kuwa udiplomasia ndiyo njia bora zaidi ya kuupatia ufumbuzi mgogoro wa Peninsula ya Korea na si nguvu ya kijeshi.
-
Russia yatahadharisha kuhusu kuongezeka mivutano kati ya Magharibi na Korea ya Kaskazini
Oct 05, 2017 00:46Rais Vladimir Putin wa Russia ametahadharisha kuhusu kuongezeka mivutano kati ya Magharibi na Korea Kaskazini.
-
Korea Kaskazini: Mkataba wa kijeshi wa Marekani na Korea Kusini, ni njama dhidi ya Pyongyang
Oct 03, 2017 01:32Serikali ya Korea Kaskazini imeutaja mkataba wa kijeshi kati ya Marekani na Korea Kusini kuwa ni njama ya kutaka kuishambulia nchi hiyo.
-
Trump: Tillerson 'anapoteza muda wake' kujaribu kuzungumza na Korea Kaskazini, tutafanya kinachopasa kufanywa!
Oct 02, 2017 00:56Rais Donald Trump wa Marekani amesema mazungumzo ya moja kwa moja na Korea Kaskazini hayatoupatia utatuzi mkwamo wa kadhia ya nyuklia ya Pyongyang na kusisitiza kwamba waziri wake wa Mambo ya Nje Rex Tillerson "anapoteza muda wake" kutaka kufanya mazungumzo na kiongozi wa Korea Kaskazini Kim Jong-un.
-
Korea Kaskazini: Yataka kutumiwa njia za amani badala ya za kijeshi kudumisha usalama katika eneo
Sep 30, 2017 01:22Serikali ya Korea Kaskazini imesema ili kuhitimisha mgogoro wa eneo la Peninsula ya Korea, kuna haja ya kuwekwa kando mipango ya kijeshi na kushikamana na mfumo wa amani.
-
Russia kufanya mazungumzo na Korea Kaskazini
Sep 27, 2017 06:28Afisa mmoja wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Russia amesema kuwa, Moscow imepanga kuanza mazungumzo ya kisiasa na Korea Kaskazini kwa ajili ya kupunguza mivutano na hofu katika rasi ya Korea.
-
Wananchi wa Marekani wanapinga kushambuliwa kijeshi Korea ya Kaskazini
Sep 25, 2017 23:19Uchunguzi wa maoni uliofanywa hivi karibuni nchini Marekani unaonyesha kuwa aghalabu ya wananchi wanapinga kushambuliwa kijeshi Korea ya Kaskazini.