Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Korea Kaskazini

  • Meli za kivita za China, Russia zaanza mazoezi karibu na Korea Kaskazini

    Meli za kivita za China, Russia zaanza mazoezi karibu na Korea Kaskazini

    Sep 18, 2017 14:16

    Meli za kivita za China na Russia zimeanza mazoezi ya pamoja ya kijeshi karibu na Korea Kaskazini huku kukiwa na wasiwasi kuwa mvutano baina ya Marekani na Korea Kaskazini unaweza kugeuka na kuwa makabiliano ya ana kwa ana ya kijeshi.

  • Gallup: Wamarekani wengi wanataka Korea Kaskazini ishambuliwe kijeshi

    Gallup: Wamarekani wengi wanataka Korea Kaskazini ishambuliwe kijeshi

    Sep 16, 2017 02:36

    Matokeo ya uchunguzi wa maoni uliofanywa hivi karibuni na taasisi ya Gallup yanaonyesha kuwa, nusu ya wananchi wa Marekani wanaunga mkono suala la kushambulia kijeshi Korea Kaskazini.

  • Korea Kaskazini yafyatua kombora jengine saa chache baada ya kutishia

    Korea Kaskazini yafyatua kombora jengine saa chache baada ya kutishia "kuizamisha" Japan

    Sep 15, 2017 07:59

    Vyombo vya habari vya Japan na Korea Kusini vimetangaza kuwa Korea Kaskazini imefyatua kombora jengine lililopaa juu ya kisiwa cha Japan cha Hokkaido alfajiri ya kuamkia leo saa chache baada ya kutishia kwamba itaizamisha ardhi ya Japan.

  • Baraza la Usalama UN lapasisha vikwazo dhidi ya Korea Kaskazini

    Baraza la Usalama UN lapasisha vikwazo dhidi ya Korea Kaskazini

    Sep 12, 2017 03:51

    Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limepasisha kwa kauli moja vikwazo dhidi ya Korea Kaskazini baada ya nchi hiyo kufanya jaribio lake la sita la bomu la nyuklia wiki iliyopita.

  • Madai ya uhusiano wa nyuklia wa Iran na Korea Kaskazini; kelele mpya kuhusu shughuli za nyuklia za Iran

    Madai ya uhusiano wa nyuklia wa Iran na Korea Kaskazini; kelele mpya kuhusu shughuli za nyuklia za Iran

    Sep 11, 2017 11:26

    Afisa mmoja wa serikali ya Uingereza amedia kuwa Iran imeisaidia Korea Kaskazini kuimarisha uwezo wake wa silaha za nyuklia.

  • Korea Kaskazini: Tutaizidishia mateso na machungu Marekani, ikiendelea kutufuatilia

    Korea Kaskazini: Tutaizidishia mateso na machungu Marekani, ikiendelea kutufuatilia

    Sep 11, 2017 08:20

    Serikali ya Korea Kaskazini imetangaza kuwa, ikiwa Marekani itaendeleza njama zake ili kuongeza vikwazo dhidi yake katika Umoja wa Mataifa, basi Pyongyang itaizidishia Washington machungu na taabu.

  • Merkel: JCPOA itumiwe kama mfano wa kutatua mgogoro wa Korea Kaskazini

    Merkel: JCPOA itumiwe kama mfano wa kutatua mgogoro wa Korea Kaskazini

    Sep 10, 2017 07:37

    Kansela wa Ujerumani amesema yuko tayari kujihusisha na jitihada za kuupatia ufumbuzi mgogoro katika Peninsula ya Korea kwa njia ya kidiplomasia na kutoa mwito wa kutumiwa makubaliano ya nyuklia ya Iran kama kigezo cha kuupatia ufumbuzi mgogoro huo.

  • New York Times: Marekani ndio itapata pigo kubwa ikiwa itajiondoa katika JCPOA

    New York Times: Marekani ndio itapata pigo kubwa ikiwa itajiondoa katika JCPOA

    Sep 09, 2017 16:30

    Gazeti la New York Times sambamba na kuvitaja kuwa vichekesho visingizio vinavyotolewa na Marekani ili kutaka kujiondoa katika mkataba wa makubaliano ya nyuklia yaliyofikiwa baina ya Iran na kundi la 5+1 yanayofahamika kama JCPOA, limeionya Washington kuwa itapata hasara kubwa endapo itachukua hatua hiyo.

  • Jumamosi, Septemba 9, 2017

    Jumamosi, Septemba 9, 2017

    Sep 09, 2017 02:34

    Leo ni Jumamosi tarehe 18 Mfunguo Tatu Dhulhaji 1438 Hijria ambayo inasadifiana na tarehe 9 Septemba 2017 Miladia.

  • Onyo la Putin kuhusu hatari ya kugeuka mgogoro wa Korea kuwa janga la kimataifa

    Onyo la Putin kuhusu hatari ya kugeuka mgogoro wa Korea kuwa janga la kimataifa

    Sep 08, 2017 06:27

    Rais Vladimir Putin wa Russia ameonya kuwa, kuendelea mgogoro wa hivi sasa uliojitokeza baada ya majaribio ya makombora na bomu la nyuklia ya Korea Kaskazini kunaweza kuleta maafa makubwa kwa dunia nzima.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS