Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Korea Kusini

  • Korea Kusini: Pyongyang imejiandaa kulifanyia majaribio kombora jipya la nyuklia

    Korea Kusini: Pyongyang imejiandaa kulifanyia majaribio kombora jipya la nyuklia

    May 17, 2017 04:03

    Waziri wa Ulinzi nchini Korea Kusini ametangaza kuwa, hivi sasa Korea Kaskazini inajiandaa kwa ajili ya kufanya majaribio mapya ya kombora la nyuklia.

  • Rais wa Korea Kusini yupo tayari kuitembelea nchi jirani ya Korea Kaskazini

    Rais wa Korea Kusini yupo tayari kuitembelea nchi jirani ya Korea Kaskazini

    May 11, 2017 03:31

    Rais mpya wa Korea Kusini Moon Jae-in amefungua urais wake kwa kutangaza kuwa yuko tayari kuitembelea Korea Kaskazini iwapo mazingira yataruhu ikiwa ni katika kutekeleza ahadi za uchaguzi za kufanya mazungumzo na nchi hiyo hasimu.

  • Wakorea Kusini wafanya mabadiliko kwa kumchagua Moon Jae-in won Mleberali kuwa rais wao

    Wakorea Kusini wafanya mabadiliko kwa kumchagua Moon Jae-in won Mleberali kuwa rais wao

    May 09, 2017 14:13

    Habari za hivi punde zinaeleza kuwa, mgombea wa chama cha kileberali Moon Jae-in won, ameshinda katika uchaguzi wa rais nchini Korea Kusini uliofanyika leo. Moon mwenye umri wa miaka 64 ameshinda kwa kupata asilimia 41.4 .

  • China yawapiga marufuku raia wake kwenda Korea Kusini, Pyongyang nayo yainyoshea kidole Marekani

    China yawapiga marufuku raia wake kwenda Korea Kusini, Pyongyang nayo yainyoshea kidole Marekani

    May 06, 2017 15:36

    Hatua ya Korea Kusini ya kukubali kuweka ngao ya kisasa ya makombora aina ya THAAD ya Marekani ndani ya ardhi ya nchi hiyo, imewafanya viongozi wa serikali ya China kuwapiga marufuku raia wake kufanya safari ndani ya taifa hilo jirani.

  • Korea Kaskazini: CIA inapanga kumuua kiongozi wetu kwa silaha za kemikali

    Korea Kaskazini: CIA inapanga kumuua kiongozi wetu kwa silaha za kemikali

    May 06, 2017 04:15

    Pyongyang imesema Shirika la Ujasusi la Marekani (CIA) linapanga njama ya kumuua kiongozi wa Korea Kaskazini Kim Jong-un kwa kushirikiana na Idara ya Intelijensia ya Korea Kusini.

  • Wakorea Kusini: Hatutaki Marekani iweke ngao yake ya makombora nchini kwetu

    Wakorea Kusini: Hatutaki Marekani iweke ngao yake ya makombora nchini kwetu

    Apr 27, 2017 16:00

    Raia wa Korea Kusini wamefanya maandamano kulalamikia uamuzi wa serikali wa kukubali kuweka ngao ya makombora ya THAAD katika ardhi ya nchi hiyo.

  • Korea Kusini: Tupo tayari kuzungumza na Korea Kaskazini kutatua tofauti

    Korea Kusini: Tupo tayari kuzungumza na Korea Kaskazini kutatua tofauti

    Apr 27, 2017 15:57

    Serikali ya Korea Kusini imetangaza azma yake ya kufanya mazungumzo na Korea Kaskazini kwa ajili ya kutatua tofauti zilizopo baina yao.

  • Waziri Mkuu wa Korea Kusini, atoa amri kulitaka jeshi la nchi hiyo lijiweke tayari kukabiliana na Pyongyang

    Waziri Mkuu wa Korea Kusini, atoa amri kulitaka jeshi la nchi hiyo lijiweke tayari kukabiliana na Pyongyang

    Apr 20, 2017 18:10

    Waziri Mkuu wa Korea Kusini anayekaimu nafasi ya rais, amelitaka jeshi na vikosi vya nchi hiyo kujiweka tayari kutokana na kile alichokisema kuwa ni kushadidi kwa harakati za kijeshi za Pyongyang.

  • Korea Kusini nayo yafanyia majaribio kombora jipya la balestiki la Hyunmoo ili kuilenga Pyongyang

    Korea Kusini nayo yafanyia majaribio kombora jipya la balestiki la Hyunmoo ili kuilenga Pyongyang

    Apr 06, 2017 08:15

    Wizara ya Ulinzi ya Korea Kusini imetangaza leo kwamba imelifanyia majaribio kombora jipya la balestiki la kilometa 800 kwa mafanikio makubwa.

  • Rais aliyeuzuliwa Korea Kusini akamatwa na kuzuiliwa na polisi

    Rais aliyeuzuliwa Korea Kusini akamatwa na kuzuiliwa na polisi

    Mar 31, 2017 14:42

    Rais aliyeondolewa madarakani hivi karibuni wa Korea Kusini, Park Geun-hye amekamatwa na polisi ya nchi hiyo kwa tuhuma za ufisadi na utumiaji mbaya wa madaraka.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS