-
Rais aliyeuzuliwa Korea Kusini akamatwa na kuzuiliwa na polisi
Mar 31, 2017 10:12Rais aliyeondolewa madarakani hivi karibuni wa Korea Kusini, Park Geun-hye amekamatwa na polisi ya nchi hiyo kwa tuhuma za ufisadi na utumiaji mbaya wa madaraka.
-
Korea Kusini yakanusha kusitisha uwekaji ngao ya makombora THAD
Mar 30, 2017 23:42Msemaji wa Wizara ya Ulinzi nchini Korea Kusini amesema kuwa, ripoti za baadhi ya vyombo vya habari juu ya kusitishwa mpango wa uwekaji ngao ya Marekani ya makombora katika ardhi ya nchi hiyo hadi baada ya uchaguzi, hayana ukweli wowote.
-
Korea mbili zatunishiana misuli, kila moja yaitishia nyingine kwa jibu kali dhidi yake
Mar 27, 2017 23:25Korea Kaskazini imetangaza kwamba, imejiandaa kufanya operesheni za kujihami dhidi ya mipango ya kijeshi ya askari wa Marekani na Korea Kusini katika eneo la Peninsula ya Korea.
-
Waendesha mashtaka Korea Kusini washinikiza kukamatwa rais aliyeuzuliwa
Mar 27, 2017 03:20Waendesha mashtaka nchini Korea Kusini wametoa wito wa kutolewa waranti wa kukamatwa rais aliyeondolewa madarakani hivi karibuni wa nchi hiyo, Park Geun-hye.
-
Raia wa Korea Kusini waanzisha harakati ya kupinga ngao ya makombora ya THAD nchini kwao
Mar 25, 2017 11:53Wanaharakati wa kundi linaloitwa, 'Walinzi wa Korea Kusini' wameanzisha harakati ya kupinga zoezi la kuweka ngao ya makombora ya Marekani ya THAD nchini kwao.
-
Korea Kusini yaishtaki China Shirika la Biashara Duniani
Mar 21, 2017 03:23Waziri wa Biashara wa Korea Kusini Joo Hyung-hwan ametangaza kuwa nchi yake imewasilisha mashtaka dhidi ya China katika Shirika la Biashara Duniani (WTO) kutokana na vizuizi ilivyowekewa na Beijing katika sekta za biashara na utalii kulalamikia uwekaji mfumo wa makombora wa Marekani THAAD katika ardhi ya Korea Kusini.
-
Pingamizi la Waziri Mkuu wa Korea Kusini la kujiuzulu washauri wote wa aliyekuwa rais wa nchi hiyo
Mar 16, 2017 04:48Hwang Kyo-ahn, Waziri Mkuu wa Korea Kusini anayekaimu nafasi ya rais alieondolewa madarakani Park Geun-hye, amekataa ombi la kutaka kujiuzulu kwa pamoja washauri wote wa rais huyo wa zamani.
-
Jeshi la Korea Kusini: Tumejiweka tayari na hujuma yoyote baada ya kuondolewa madarakani Rais Park Geun-hye
Mar 10, 2017 09:50Jeshi la Korea Kusini limetangaza utayarifu wake kutokana na hujuma yoyote tarajiwa ya Korea Kaskazini, baada ya kuondolewa madarakani Rais Park Geun-hye wa nchi hiyo.
-
Mahakama yamuondoa madarakani rais wa Korea Kusini
Mar 10, 2017 04:21Mahakama ya Katiba ya Korea Kusini imeafiki uamuzi wa bunge wa kumuondoa madarakani rais wa taifa hilo Park Geun-hye.
-
Marekani, Korea 2 na Japan ziko katika ncha ya kupigana
Mar 07, 2017 03:47Washington imeanza kutuma nchini Korea Kusini mfumo wa ulinzi wa makombora wa THAAD, baada ya Korea Kaskazini kusema kuwa, jaribio lake la hivi punde la makombora ni maandalizi kwa ajili ya kuzishambulia kambi za kijeshi za Marekani nchini Japan.