Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Korea Kusini

  • Korea Kusini yakanusha kusitisha uwekaji ngao ya makombora THAD

    Korea Kusini yakanusha kusitisha uwekaji ngao ya makombora THAD

    Mar 31, 2017 04:12

    Msemaji wa Wizara ya Ulinzi nchini Korea Kusini amesema kuwa, ripoti za baadhi ya vyombo vya habari juu ya kusitishwa mpango wa uwekaji ngao ya Marekani ya makombora katika ardhi ya nchi hiyo hadi baada ya uchaguzi, hayana ukweli wowote.

  • Korea mbili zatunishiana misuli, kila moja yaitishia nyingine kwa jibu kali dhidi yake

    Korea mbili zatunishiana misuli, kila moja yaitishia nyingine kwa jibu kali dhidi yake

    Mar 28, 2017 03:55

    Korea Kaskazini imetangaza kwamba, imejiandaa kufanya operesheni za kujihami dhidi ya mipango ya kijeshi ya askari wa Marekani na Korea Kusini katika eneo la Peninsula ya Korea.

  • Waendesha mashtaka Korea Kusini washinikiza kukamatwa rais aliyeuzuliwa

    Waendesha mashtaka Korea Kusini washinikiza kukamatwa rais aliyeuzuliwa

    Mar 27, 2017 07:50

    Waendesha mashtaka nchini Korea Kusini wametoa wito wa kutolewa waranti wa kukamatwa rais aliyeondolewa madarakani hivi karibuni wa nchi hiyo, Park Geun-hye.

  • Raia wa Korea Kusini waanzisha harakati ya kupinga ngao ya makombora ya THAD nchini kwao

    Raia wa Korea Kusini waanzisha harakati ya kupinga ngao ya makombora ya THAD nchini kwao

    Mar 25, 2017 16:23

    Wanaharakati wa kundi linaloitwa, 'Walinzi wa Korea Kusini' wameanzisha harakati ya kupinga zoezi la kuweka ngao ya makombora ya Marekani ya THAD nchini kwao.

  • Korea Kusini yaishtaki China Shirika la Biashara Duniani

    Korea Kusini yaishtaki China Shirika la Biashara Duniani

    Mar 21, 2017 06:53

    Waziri wa Biashara wa Korea Kusini Joo Hyung-hwan ametangaza kuwa nchi yake imewasilisha mashtaka dhidi ya China katika Shirika la Biashara Duniani (WTO) kutokana na vizuizi ilivyowekewa na Beijing katika sekta za biashara na utalii kulalamikia uwekaji mfumo wa makombora wa Marekani THAAD katika ardhi ya Korea Kusini.

  • Pingamizi la Waziri Mkuu wa Korea Kusini la kujiuzulu washauri wote wa aliyekuwa rais wa nchi hiyo

    Pingamizi la Waziri Mkuu wa Korea Kusini la kujiuzulu washauri wote wa aliyekuwa rais wa nchi hiyo

    Mar 16, 2017 08:18

    Hwang Kyo-ahn, Waziri Mkuu wa Korea Kusini anayekaimu nafasi ya rais alieondolewa madarakani Park Geun-hye, amekataa ombi la kutaka kujiuzulu kwa pamoja washauri wote wa rais huyo wa zamani.

  • Jeshi la Korea Kusini: Tumejiweka tayari na hujuma yoyote baada ya kuondolewa madarakani Rais Park Geun-hye

    Jeshi la Korea Kusini: Tumejiweka tayari na hujuma yoyote baada ya kuondolewa madarakani Rais Park Geun-hye

    Mar 10, 2017 13:20

    Jeshi la Korea Kusini limetangaza utayarifu wake kutokana na hujuma yoyote tarajiwa ya Korea Kaskazini, baada ya kuondolewa madarakani Rais Park Geun-hye wa nchi hiyo.

  • Mahakama yamuondoa madarakani rais wa Korea Kusini

    Mahakama yamuondoa madarakani rais wa Korea Kusini

    Mar 10, 2017 07:51

    Mahakama ya Katiba ya Korea Kusini imeafiki uamuzi wa bunge wa kumuondoa madarakani rais wa taifa hilo Park Geun-hye.

  • Marekani, Korea 2 na Japan ziko katika ncha ya kupigana

    Marekani, Korea 2 na Japan ziko katika ncha ya kupigana

    Mar 07, 2017 07:17

    Washington imeanza kutuma nchini Korea Kusini mfumo wa ulinzi wa makombora wa THAAD, baada ya Korea Kaskazini kusema kuwa, jaribio lake la hivi punde la makombora ni maandalizi kwa ajili ya kuzishambulia kambi za kijeshi za Marekani nchini Japan.

  • Mfumo wa makombora wa THAD, sababu ya mgawanyiko kisiasa nchini Korea Kusini

    Mfumo wa makombora wa THAD, sababu ya mgawanyiko kisiasa nchini Korea Kusini

    Jan 06, 2017 04:49

    Safari ya ujumbe wa chama cha Demokrasia, ambacho ni chama kikuu cha upinzani nchini Korea Kusini huko Uchina, imebainisha kwamba, kadhia ya mfumo wa makombora wa THAD katika siasa za ndani na nje za Korea Kusini, inaweza kuwa na taathira muhimu katika mwenendo wa mabadiliko yajayo ndani ya taifa hilo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS