-
Korea Kusini yaunda kikosi maalumu kwa ajili ya kumuua kiongozi wa Korea Kaskazini
Jan 06, 2017 04:48Viongozi wa Korea Kusini wameanzisha kikosi maalumu cha kijeshi chenye wadhifa wa kumuua kiongozi wa Korea Kaskazini Kim Jong-un, endapo kutajiri vita baina ya nchi mbili.
-
Jumanne, Disemba 27, 2016
Dec 27, 2016 08:20Leo ni Jumanne tarehe 27 Mfunguo Sita Rabiul Awwal 1438 Hijria sawa na Disemba 27, 2016 Milaadia.
-
China yaonya kuhusu makubaliano ya kijeshi kati ya Japan na Korea Kusini
Nov 25, 2016 04:56Wizara ya Mambo ya Nje ya China imetoa tahadhari juu ya makubaliano ya kijeshi baina ya Japan na Korea Kusini.
-
Korea Kusini: Korea Kaskazini ikitushambulia tutajibu kwa nguvu zetu zote
Nov 23, 2016 04:58Waziri wa Ulinzi wa Korea Kusini ametoa indhari kali kwa nchi jirani ya Korea Kaskazini akiitaka isithubutu kufanya hujuma yoyote dhidi yake.
-
Korea Kusini yapasisha pendekezo la kununua ndege za kivita 40 kuikabili K/Kaskazini
Nov 18, 2016 14:55Wizara ya Ulinzi ya Korea Kusini imetangaza kuwa, imepasisha pendekezo la kununua ndege za kivita 40 aina ya F 35 kutoka Marekani kwa ajili ya kukabiliana na vitisho vya jirani yake Korea Kaskazini.
-
Duru ya pili ya maandamano makubwa ya raia wa Korea Kusini dhidi ya Rais Park Geun-hye
Nov 12, 2016 14:22Maelfu ya raia wa Korea Kusini wameanzisha duru ya pili ya maandamano makubwa dhidi ya Rais dhidi ya Rais Park Geun-hye wa nchi hiyo.
-
Marekani na Korea Kusini zaanza luteka ya pamoja ya kijeshi Peninsula ya Korea
Nov 08, 2016 15:38Marekani na Korea Kusini zimeanza kufanya maneva ya pamoja ya kijeshi kaskazini mwa Korea Kusini.
-
Maelfu ya raia wa Korea Kusini waandamana kumtaka rais wa nchi hiyo ajiuzulu
Nov 06, 2016 02:47Makumi ya maelfu ya raia wa Korea Kusini Jumamosi ya jana walifanya maandamano makubwa mjini Seoul, mji mkuu wa nchi hiyo wakimtaka Rais Park Geun-hye wa nchi hiyo kuondoka madarakani mara moja.
-
China: US isitishe mara moja mpango wake wa kuweka ngao ya makombora Korea Kusini
Nov 05, 2016 13:00Kwa mara nyingine serikali ya China imeonyesha upinzani wake kwa hatua ya Marekani ya kutaka kuweka ngao ya kujilinda kwa makombora aina ya Thaad nchini Korea Kusini.
-
Alkhamisi, 27 Oktoba, 2016
Oct 27, 2016 05:46Leo ni Alkhamisi tarehe 25 Muharram 1438 Hijria sawa na Oktoba 27, 2016.