Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Korea Kusini

  • Korea Kusini yaunda kikosi maalumu kwa ajili ya kumuua kiongozi wa Korea Kaskazini

    Korea Kusini yaunda kikosi maalumu kwa ajili ya kumuua kiongozi wa Korea Kaskazini

    Jan 06, 2017 04:48

    Viongozi wa Korea Kusini wameanzisha kikosi maalumu cha kijeshi chenye wadhifa wa kumuua kiongozi wa Korea Kaskazini Kim Jong-un, endapo kutajiri vita baina ya nchi mbili.

  • Jumanne, Disemba 27, 2016

    Jumanne, Disemba 27, 2016

    Dec 27, 2016 08:20

    Leo ni Jumanne tarehe 27 Mfunguo Sita Rabiul Awwal 1438 Hijria sawa na Disemba 27, 2016 Milaadia.

  • China yaonya kuhusu makubaliano ya kijeshi kati ya Japan na Korea Kusini

    China yaonya kuhusu makubaliano ya kijeshi kati ya Japan na Korea Kusini

    Nov 25, 2016 04:56

    Wizara ya Mambo ya Nje ya China imetoa tahadhari juu ya makubaliano ya kijeshi baina ya Japan na Korea Kusini.

  • Korea Kusini: Korea Kaskazini ikitushambulia tutajibu kwa nguvu zetu zote

    Korea Kusini: Korea Kaskazini ikitushambulia tutajibu kwa nguvu zetu zote

    Nov 23, 2016 04:58

    Waziri wa Ulinzi wa Korea Kusini ametoa indhari kali kwa nchi jirani ya Korea Kaskazini akiitaka isithubutu kufanya hujuma yoyote dhidi yake.

  • Korea Kusini yapasisha pendekezo la kununua ndege za kivita 40 kuikabili K/Kaskazini

    Korea Kusini yapasisha pendekezo la kununua ndege za kivita 40 kuikabili K/Kaskazini

    Nov 18, 2016 14:55

    Wizara ya Ulinzi ya Korea Kusini imetangaza kuwa, imepasisha pendekezo la kununua ndege za kivita 40 aina ya F 35 kutoka Marekani kwa ajili ya kukabiliana na vitisho vya jirani yake Korea Kaskazini.

  • Duru ya pili ya maandamano makubwa ya raia wa Korea Kusini dhidi ya Rais Park Geun-hye

    Duru ya pili ya maandamano makubwa ya raia wa Korea Kusini dhidi ya Rais Park Geun-hye

    Nov 12, 2016 14:22

    Maelfu ya raia wa Korea Kusini wameanzisha duru ya pili ya maandamano makubwa dhidi ya Rais dhidi ya Rais Park Geun-hye wa nchi hiyo.

  • Marekani na Korea Kusini zaanza luteka ya pamoja ya kijeshi Peninsula ya Korea

    Marekani na Korea Kusini zaanza luteka ya pamoja ya kijeshi Peninsula ya Korea

    Nov 08, 2016 15:38

    Marekani na Korea Kusini zimeanza kufanya maneva ya pamoja ya kijeshi kaskazini mwa Korea Kusini.

  • Maelfu ya raia wa Korea Kusini waandamana kumtaka rais wa nchi hiyo ajiuzulu

    Maelfu ya raia wa Korea Kusini waandamana kumtaka rais wa nchi hiyo ajiuzulu

    Nov 06, 2016 02:47

    Makumi ya maelfu ya raia wa Korea Kusini Jumamosi ya jana walifanya maandamano makubwa mjini Seoul, mji mkuu wa nchi hiyo wakimtaka Rais Park Geun-hye wa nchi hiyo kuondoka madarakani mara moja.

  • China: US isitishe mara moja mpango wake wa kuweka ngao ya makombora Korea Kusini

    China: US isitishe mara moja mpango wake wa kuweka ngao ya makombora Korea Kusini

    Nov 05, 2016 13:00

    Kwa mara nyingine serikali ya China imeonyesha upinzani wake kwa hatua ya Marekani ya kutaka kuweka ngao ya kujilinda kwa makombora aina ya Thaad nchini Korea Kusini.

  • Alkhamisi, 27 Oktoba, 2016

    Alkhamisi, 27 Oktoba, 2016

    Oct 27, 2016 05:46

    Leo ni Alkhamisi tarehe 25 Muharram 1438 Hijria sawa na Oktoba 27, 2016.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS