-
Alkhamisi, 27 Oktoba, 2016
Oct 27, 2016 02:16Leo ni Alkhamisi tarehe 25 Muharram 1438 Hijria sawa na Oktoba 27, 2016.
-
Malalamiko ya raia wa Korea Kusini juu ya kuwekwa ngao ya makombora ya Marekani
Oct 03, 2016 08:20Wakazi wa mkoa wa Gimcheon, kaskazini mwa Korea Kusini, wamefanya maandamano katika kulalamikia ngao ya makombora aina ya THAAD ya Marekani karibu na mji huo.
-
Korea Kusini: Korea Kaskazini inajiandaa kufanya jaribio jingine la silaha za nyuklia
Sep 28, 2016 10:31Waziri wa Umoja wa Korea Kusini amesema kuwa, hivi sasa serikali ya Korea Kaskazini inajiandaa kufanya jaribio jingine la silaha za nyuklia.
-
Rais Park Geun-hye: Vitisho vya Korea Kaskazini vinatia wasiwasi
Sep 25, 2016 00:46Rais Park Geun-hye wa Korea Kusini amesema kuwa, vitisho vya nchi jirani ya Korea Kaskazini ni halisi na vinatia wasiwasi mkubwa.
-
Korea Kusini yaitaka China na Russia kupitisha azimio kali dhidi ya hasimu wake Korea Kaskazini
Sep 14, 2016 10:33Waziri wa Mambo ya Nje wa Korea Kusini Yun Byung-se ameitaka Russia na China kuafiki azimio kali katika Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa dhidi ya jirani yake Korea Kaskazini.
-
Uganda kusitisha ushirikiano wa kijeshi na Korea Kaskazini
May 30, 2016 00:04Rais Yoweri Museveni wa Uganda amesema karibuni hivi nchi yake itasitisha ushirikiano wa kijeshi na kiusalama na Korea Kaskazini.
-
Tuhuma mpya za Korea Kaskazini dhidi ya jirani yake Korea Kusini
May 29, 2016 08:19Sanjari na Korea Kaskazini kukariri vitisho vyake vya kushambulia meli na nyambizi za Korea Kusini, imeituhumu nchi hiyo kwa kufanya njama dhidi yake.
-
Iran, Korea Kusini zasaini mikataba 19 ya ushirikiano
May 02, 2016 12:18Iran na Korea Kusini leo zimetiliana saini mikataba 19 ya kuimarisha uhusiano katika nyanja mbali mbali.
-
Rais Rouhani ampokea rasmi Rais wa Korea Kusini katika ikulu ya Sa'dabad
May 02, 2016 03:20Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran asubuhi ya leo amempokea rasmi katika ikulu ya Sa'dabad Bi Park Geun-hye Rais wa Korea Kusini.
-
Washington Post: Marekani inajitayarisha kuishambulia Korea ya Kaskazini
Mar 07, 2016 12:48Gazeti moja linalochapishwa nchini Marekani limeandika kuwa Marekani na Korea ya Kusini zinafanya mazoezi katika maneva yao pamoja kwa ajili ya kuvishambulia vituo vya nyuklia vya Korea ya Kaskazini.