-
Jeshi la Israel lamuua shahidi Mpalestina huko Ghaza
Aug 11, 2019 03:02Kijana mmoja Mpalestina mapema leo asubuhi amekufa shahidi baada ya kupigwa risasi na askari wa Jeshi la utawala wa Kizayuni wa Israel huko kusini mwa Ukanda wa Ghaza.
-
Polisi wa Iran auawa shahidi akipambana na magenge ya mihadarati
Jul 10, 2019 03:26Afisa mmoja wa Jeshi la Polisi la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameuawa shahidi wakati akipambana na magenge ya madawa ya kulevya katika eneo la Minab, mkoani Hormozgan, kusini mwa Iran.
-
Wazayuni waua watoto 16 wa Kipalestina
Jul 10, 2019 03:14Kituo cha Haki za Binadamu cha Mizan kimetoa ripoti na kusema kuwa, katika nusu ya kwanza ya mwaka huu wa 2019, wanajeshi makatili wa utawala wa Kizayuni wa Israel umeshaua shahidi watoto 16 wa Kipalestina kwa kuwapiga risasi kwa makusudi.
-
Waislamu waomboleza mauaji ya mjukuu wa Mtume, Sadiq Aali Muhammad
Jun 29, 2019 12:25Waislamu wa Iran na baadhi ya maeneo mengine ya dunia leo tarehe 25 Mfunguo Mosi Shawwal wameshiriki katika shughuli ya kukumbuka na kuomboleza mauaji ya mjukuu wa Mtume wetu Muhammad (saw), Ja'far Sadiq (as).
-
Wapalestina 304 wameshauawa shahidi tangu yalipoanza maandamano ya "Haki ya Kurejea"
May 11, 2019 22:06Wizara ya Afya ya Palestina imetangaza kuwa, hadi hivi sasa Wapalestina 304 wameshauawa shahidi kwa kupigwa risasi na wanajeshi makatili wa Israel wakiwemo watoto wadogo 59 na wanawake 10 tangu yalipoanza maandamano ya "Haki ya Kurejea" ya Wapaelstina tarehe 30 Machi mwaka jana 2018.
-
Vijana wawili wa Kipalestina wauawa shahidi kwa kupigwa risasi na Wazayuni
Mar 04, 2019 04:38Vijana wawili wadogo wa Kipalestina wameuawa shahidi kwa kupigwa risasi na wanajeshi wa utawala haramu wa Israel katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan.
-
Mpalestina afa shahidi gerezani Israel baada ya kunyimwa matibabu
Feb 07, 2019 03:51Mfungwa Mpalestina amekufa shahidi akiwa katika gereza la utawala wa Kizayuni wa Israel baada ya kunyimwa matibabu.
-
Waislamu wakumbuka mauaji ya mjukuu wa Mtume (saw), Imam Ridhaa (as)
Nov 08, 2018 01:15Mamilioni ya Waislamu wapenzi wa Watu wa Nyumba ya Mtume wetu Muhammad (saw) tangu usiku wa kuamkia leo tarehe 29 Safar wanaendelea kukusanyika katika misikiti, taasisi za kidini na kumbi za masuala ya kijamii wakikumbuka mauaji ya mjukuu wa Mtume wetu muhammad (saw), Imam Ali bin Mussa al Ridhaa (as).
-
Wapalestina 6 wauliwa shahidi na zaidi ya 190 wajeruhiwa katika Ijumaa ya "Intifadha ya Quds"
Oct 13, 2018 00:09Wapalestina wasiopungua sita wameuliwa shahidi na wengine zaidi ya 190 wamejeruhiwa katika Ijumaa ya 29 ya maandamano ya "Haki ya Kurejea" yaliyofanyika kwa kaulimbiu ya "Intifadha ya Quds" huko Ukanda wa Gaza Palestina inayokaliwa kwa mabavu.
-
Wapalestina wengine wawili wauliwa shahidi na Wazayuni
Sep 16, 2018 10:26Wanajeshi katili wa utawala wa Kizayuni leo Jumapili wamemfyatulia risasi na kumuua shahidi kijana wa Kipalestina karibu na Bayt Lahm.