Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

kufa shahidi - kuuawa shahidi

  • Wanajeshi wa Israel wamewaua shahidi Wapalestina 180 katika maandamano

    Wanajeshi wa Israel wamewaua shahidi Wapalestina 180 katika maandamano

    Aug 25, 2018 02:34

    Wizara ya Afya ya Palestina imetangaza kuwa tokea yaanze 'Maandamano ya Haki ya Kurejea' Machi 30 mwaka huu wa 2018, Wapalestina 180 wameuawa shahidi kwa kupigwa risasi na askari wa utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Wapalestina zaidi ya 54 wameuawa shahidi baada ya kufyatuliwa risasi na jeshi la Israel katika maandamano ya leo

    Wapalestina zaidi ya 54 wameuawa shahidi baada ya kufyatuliwa risasi na jeshi la Israel katika maandamano ya leo

    May 14, 2018 08:50

    Wapalestina wasiopungua 54 wameuawa shahidi baada ya kufyatuliwa risasi na wanajeshi wa utawala wa Kizayuni wa Israel katika Ukanda wa Ghaza

  • Wapalestina 35 wameuawa shahidi tangu Trump aitangaze Beitul-Muqaddas kuwa mji mkuu wa Israel

    Wapalestina 35 wameuawa shahidi tangu Trump aitangaze Beitul-Muqaddas kuwa mji mkuu wa Israel

    Mar 01, 2018 04:07

    Wapalestina 35 wameuawa shahidi na wanajeshi wa utawala dhalimu wa Israel tangu Rais Donald Trump wa Marekani aitangaze Beitul-Muqaddas kuwa mji mkuu wa utawala haramu wa Israel Disemba mwaka jana.

  • Kushtadi jinai za Wazayuni dhidi ya watoto wa Kipalestina

    Kushtadi jinai za Wazayuni dhidi ya watoto wa Kipalestina

    Jan 29, 2018 01:06

    Wanajeshi wa utawala haramu wa Kizayuni wamewauwa shahidi watoto watatu wa Kipalestina tangu mwanzoni mwa mwaka huu wa 2018 hadi sasa.

  • Mwaka 2017; Israel iliwauwa shahidi watoto 15 wa Kipalestina

    Mwaka 2017; Israel iliwauwa shahidi watoto 15 wa Kipalestina

    Jan 10, 2018 04:13

    Harakati ya Kimataifa ya Kuwatetea Watoto tawi la Palestina imetangaza kuwa wanajeshi wa utawala wa Kizayuni mwaka uliopita wa 2017 uliwauwa shahidi watoto 15 wa Kipalestina katika eneo la Ukanda wa Ghaza, Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan na Quds.

  • Kumbukumbu ya mwaka wa pili tangu kuuawa shahidi na Aal Saud, Ayatullah Nimr Baqir al-Nimr

    Kumbukumbu ya mwaka wa pili tangu kuuawa shahidi na Aal Saud, Ayatullah Nimr Baqir al-Nimr

    Jan 04, 2018 09:13

    Siku hizi zinasadifiana na mwaka wa pili tangu mwanazuoni mahiri wa Saudi Arabia Ayatullah Nimr Baqir al-Nimr alipouawa shahidi na utawala wa Aal Saud.

  • Wapalestina wawili wauawa shahidi katika maandamano ya tatu ya

    Wapalestina wawili wauawa shahidi katika maandamano ya tatu ya "Ijumaa ya Ghadhabu" ya kupinga uamuzi wa Trump

    Dec 22, 2017 23:13

    Wapalestina wawili wameuliwa shahidi na makumi ya wengine wamejeruhiwa huko Ukanda wa Gaza katika maandamano ya tatu ya "Ijumaa ya Ghadhabu" ya kupinga na kulaani uamuzi wa rais wa Marekani wa kuitangaza Quds kuwa mji mkuu wa Israel.

  • Harakati ya Mapambano ya Imam Hussein, Makutano ya Akili na Kuashiki

    Harakati ya Mapambano ya Imam Hussein, Makutano ya Akili na Kuashiki

    Nov 07, 2017 08:25

    Harakati ya mapambano ya Imam Hussein bin Ali bin Abi Twalib (as) hapo mwaka 61 Hijria dhidi ya dhulma na ufisadi wa Bani Umayya ilijaa hamasa, kujitolea na kusabilia kila kitu kwa ajili ya Mwenyezi Mungu, haki na uadilifu, na kwa sababu hiyo imegusa sana nyoyo za Waislamu na hata wapenda haki na kweli wasio Waislamu na kuzusha vuguvugu na hamasa ya aina yake ndani ya nafsi za wapenzi wa mtukufu huyo.

  • Askari wa Nigeria wawaua shahidi Waislamu wawili katika maombolezo ya Imam Hussein AS

    Askari wa Nigeria wawaua shahidi Waislamu wawili katika maombolezo ya Imam Hussein AS

    Nov 06, 2017 05:54

    Askari wa Nigeria wameuhujumu msafara wa waumini waliokuwa wakishiriki katika maombolezo ya Arubaini ya Imam Hussein AS katika jimbo la Kano na kuwaua shahidi Waislamu wawili wa madehehbu ya Shia.

  • Iran yalaani mashambulizi ya anga ya utawala wa Kizayuni katika Ukanda wa Ghaza

    Iran yalaani mashambulizi ya anga ya utawala wa Kizayuni katika Ukanda wa Ghaza

    Oct 31, 2017 03:26

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amelaani shambulio la jana la ndege za kivita za utawala wa Kizayuni wa Israel katika Ukanda wa Ghaza lililouwa shahidi wanamapambano kadhaa wa Palestina.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS