-
Kushtadi jinai za Wazayuni dhidi ya watoto wa Kipalestina
Jan 29, 2018 04:36Wanajeshi wa utawala haramu wa Kizayuni wamewauwa shahidi watoto watatu wa Kipalestina tangu mwanzoni mwa mwaka huu wa 2018 hadi sasa.
-
Mwaka 2017; Israel iliwauwa shahidi watoto 15 wa Kipalestina
Jan 10, 2018 07:43Harakati ya Kimataifa ya Kuwatetea Watoto tawi la Palestina imetangaza kuwa wanajeshi wa utawala wa Kizayuni mwaka uliopita wa 2017 uliwauwa shahidi watoto 15 wa Kipalestina katika eneo la Ukanda wa Ghaza, Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan na Quds.
-
Kumbukumbu ya mwaka wa pili tangu kuuawa shahidi na Aal Saud, Ayatullah Nimr Baqir al-Nimr
Jan 04, 2018 12:43Siku hizi zinasadifiana na mwaka wa pili tangu mwanazuoni mahiri wa Saudi Arabia Ayatullah Nimr Baqir al-Nimr alipouawa shahidi na utawala wa Aal Saud.
-
Wapalestina wawili wauawa shahidi katika maandamano ya tatu ya "Ijumaa ya Ghadhabu" ya kupinga uamuzi wa Trump
Dec 23, 2017 02:43Wapalestina wawili wameuliwa shahidi na makumi ya wengine wamejeruhiwa huko Ukanda wa Gaza katika maandamano ya tatu ya "Ijumaa ya Ghadhabu" ya kupinga na kulaani uamuzi wa rais wa Marekani wa kuitangaza Quds kuwa mji mkuu wa Israel.
-
Harakati ya Mapambano ya Imam Hussein, Makutano ya Akili na Kuashiki
Nov 07, 2017 11:55Harakati ya mapambano ya Imam Hussein bin Ali bin Abi Twalib (as) hapo mwaka 61 Hijria dhidi ya dhulma na ufisadi wa Bani Umayya ilijaa hamasa, kujitolea na kusabilia kila kitu kwa ajili ya Mwenyezi Mungu, haki na uadilifu, na kwa sababu hiyo imegusa sana nyoyo za Waislamu na hata wapenda haki na kweli wasio Waislamu na kuzusha vuguvugu na hamasa ya aina yake ndani ya nafsi za wapenzi wa mtukufu huyo.
-
Askari wa Nigeria wawaua shahidi Waislamu wawili katika maombolezo ya Imam Hussein AS
Nov 06, 2017 09:24Askari wa Nigeria wameuhujumu msafara wa waumini waliokuwa wakishiriki katika maombolezo ya Arubaini ya Imam Hussein AS katika jimbo la Kano na kuwaua shahidi Waislamu wawili wa madehehbu ya Shia.
-
Iran yalaani mashambulizi ya anga ya utawala wa Kizayuni katika Ukanda wa Ghaza
Oct 31, 2017 06:56Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amelaani shambulio la jana la ndege za kivita za utawala wa Kizayuni wa Israel katika Ukanda wa Ghaza lililouwa shahidi wanamapambano kadhaa wa Palestina.
-
Kulia Katika Maombolezo ya Imam Hussein (AS): Unyenyekevu wa Moyo na Mapenzi ya Nafsi
Oct 02, 2017 02:30Assalamu alaykum wapenzi wasikilizaji, warahmatullahi wabarakatuh. Kwa kuwadia mwezi wa Muharram, kwa mara nyengine nyoyo za waliokomboka kifikra duniani zinajielekeza kwa Imam Hussein (as) huku macho yao yakibubujikwa na machozi kwa kulikumbuka tukio la Karbala. Ni miaka 1372 imepita tangu lilipojiri tukio hilo, lakini unapowadia mwezi wa Muharram kila mwaka, Waislamu huendelea kujumuika pamoja na kushiriki kwenye majlisi za kumuomboleza Hussein Ibn Ali (as) na wafuasi wake.
-
Muharram, Mwezi wa Kujisabilia na Kuuliwa Shahidi
Sep 20, 2017 07:48Tunaingia katika siku ya kwanza ya mwezi wa Muharram mwaka 1439 Hijria Qamariya.
-
Wanajeshi wa Israel wazuia sala ya Ijumaa katika Msikiti wa Al Aqsa
Jul 21, 2017 13:36Utawala wa Kizayuni wa Israel umeweka vizingiti chungu nzima kuwazuia Wapalestina kusali sala ya Ijumaa katika msikiti wa al-Aqsa katika mji wa Quds unaokaliwa kwa mabavu huku kijana wa Kiplaestina akifyatuliwa risasi na kuuawa na wanajeshi wa Israel.