-
Waislamu wakumbuka mauaji ya mjukuu wa Mtume, Imam Sadiq (as)
Jul 20, 2017 04:51Waislamu kote duniani hususan wafuasi na wapenzi wa Watu wa Nyumba Tukufu ya Mtume Muhammad (saw) leo tarehe 25 Mfunguo Mosi Shawwali wanakumbuka na kuombeleza tukio chungu la kuuawa shahidi mjukuu wa Mtume huyo wa Mwenyezi Mungu, Imam Ja'far Sadiq (as).
-
Wanajeshi wa Israel wawaua shahidi vijana wanne Wapalestina
Jun 17, 2017 07:16Wanajeshi wa utawala wa Kizayuni wa Israel wamewapiga risasi na kuwaua vijana wanne Wapalestina.
-
Waislamu kote dunia wanaomboleza siku ya kufa shahidi binti wa Mtume Muhammad (saw), Fatima (as)
Mar 02, 2017 04:51Waislamu duniani hususan wafuasi wa wapenzi wa Watu wa Nyumba tukufu ya Mtume wetu Muhammad (saw) leo wanaomboleza siku ya kufa shahidi binti kipenzi wa Mtume Muhammad (saw) Bibi Fatima Zahra (as) aliyeaga dunia katika siku kama hii ya leo tarehe 3 Jamadithani mwaka wa 11 Hijria.
-
Mashambulio ya Saudia yaua wanafunzi wanane katika mji mkuu wa Yemen
Jan 10, 2017 16:28Wanafunzi wanane wameuliwa shahidi katika mashambulio mapya ya anga yaliyofanywa na ndege za kivita za Saudi Arabia katika mji mkuu wa Yemen Sanaá.
-
Wanajeshi wa Israel wamuua shahidi kijana Mpalestina huko Ramallah
Dec 18, 2016 07:36Kijana mmoja Mpalestina ameuawa shahidi katika hujuma ya wanajeshi wa utawala wa Kizayuni wa Israel huko Ramallah katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan.
-
Arubaini Katika Maneno ya Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu (5)
Nov 17, 2016 10:13Assalamu Alaykum Warahmatullahi Wabarakatuh. Karibuni wapenzi wasikilizaji katika kipindi hiki maalumu kinachokujieni kwa mnasaba wa Arubaini ya Imam Hussein (AS) ambapo leo tutazungumzia kauli na maneno ya Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran Ayatullah Sayyid Ali Khamenei kuhusu tukio hilo adhimu. Endeleeni kuwa nami hadi mwisho wa kipindi kusikiliza niliyokuandalieni.
-
Mafundisho ya Imam Hussein AS (6)
Oct 09, 2016 09:07Assalamu alaykum warahmatullahi wabarakatuh. Karibuni wapenzi wasikilizaji kuwa nasi tena katika mfululizo mwengine wa kipindi hiki maalumu cha Mafundisho ya Imam Hussein (as) kinachozungumzia falsafa na malengo ya harakati na mapambano ya mtukufu huyo katika Siku ya Ashura katika ardhi ya Karbala. Ni matumaini yangu kuwa mtaendelea kuwa nami hadi mwisho wa kipindi kusikiliza niliyokuandalieni katika mfululizo huu.
-
Wazayuni wamuua shahidi kijana Mpalestina Quds Tukufu
Sep 05, 2016 07:26Wanajeshi wa utawala wa Kizayuni wa Israel wameshambulia kambi ya wakimbizi wa Kipalestina katika Quds Tukufu (Jerusalem) inayokaliwa kwa mabavu na kumuua shahidi kijana Mpalestina.
-
Wapalestina wengine watatu wauliwa shahidi Al-Khalil
Mar 14, 2016 16:19Askari wa utawala wa Kizayuni wa Israel wamewaua shahidi kwa kuwapiga risasi vijana watatu wa Kipalestina karibu na mji wa Al-Khalil katika Ufukwe wa Magharibi wa Mto Jordan.
-
Tangu Oktoba, askari wa Israel wameshawaua shahidi Wapalestina 200
Mar 10, 2016 16:39Asksari wa utawala wa Kizayuni wa Israel wamewaua shahidi Wapalestina 200 tangu ilipoanza Intifadha ya Quds mwezi Oktoba mwaka jana hadi hivi sasa.