Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

kuharibu nyumba za Wapalestina

  • Wasiwasi kuhusu harakati mpya za Israel za kukivunja kijiji kingine cha kiistratijia cha Wapalestina

    Wasiwasi kuhusu harakati mpya za Israel za kukivunja kijiji kingine cha kiistratijia cha Wapalestina

    Sep 14, 2018 06:39

    Hatua ya jeshi la utawala katili wa Israel ya kuzidi kukizingira kijiji cha kiistratijia cha Khan al Ahmar cha mashariki mwa mji mtakatifu wa Quds unaokaliwa kwa mabavu na Wazayuni, imezusha wasiwasi kuwa Israel imekusudia kukishambulia na kukikalia kwa mabavu kijiji hicho na kuwafanya wakimbizi wakazi wake.

  • Wapalestina waandamana kulaani ujenzi wa vitongoji wa Israel

    Wapalestina waandamana kulaani ujenzi wa vitongoji wa Israel

    Jan 14, 2017 03:57

    Wananchi wa Palestina walifanya maandamano Ijumaa ya jana kulalamikia siasa za utawala wa Kizayuni za kubomoa nyumba zao katika ardhi zilizoporwa na utawala huo mwaka 1948.

  • Kuzidi kuwa

    Kuzidi kuwa "ngangari" Wapalestina mbele ya jinai za Israel

    Jan 13, 2017 02:31

    Wakazi Waarabu katika mji wa Qalansuwa wa kaskazini mwa ardhi za Palestina zilizopachikwa jina la Israel wameanzisha mgomo wa wote kwa ajili ya kulalamikia hatua ya utawala wa Kizayuni ya kuvunja nyumba zao 11.

  • Kubomolewa zaidi ya nyumba 800 za Wapalestina na askari wa Israel

    Kubomolewa zaidi ya nyumba 800 za Wapalestina na askari wa Israel

    Dec 16, 2016 02:39

    Wakuu wa jumbe za Umoja wa Ulaya walioko Batul Muqaddas na Ramallah huko Palestina inayokaliwa kwa mabavu wameripoti kuwa tangu ulipoanza mwaka huu wa 2016 hadi sasa askari wa utawala wa Kizayuni wa Israel wamebomoa zaidi ya nyumba 800 za Wapalestina.

  • Israel imebomoa nyumba 780 za Wapalestina Ukingo wa Magharibi mwaka huu wa 2016

    Israel imebomoa nyumba 780 za Wapalestina Ukingo wa Magharibi mwaka huu wa 2016

    Oct 29, 2016 02:39

    Utawala haramu wa Israel umeharibu nyumba 780 za Wapalestina katika eneo unalolikalia kwa mabavu la Ukingo wa Magharibi wa mto Jordan tokea mwanzoni mwa mwaka huu wa 2016.

Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS