Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

kupambana na ugaidi

  • Obama kutuma askari zaidi nchini Syria eti kupambana na ugaidi

    Obama kutuma askari zaidi nchini Syria eti kupambana na ugaidi

    Apr 26, 2016 03:51

    Rais Barack Obama wa Marekani ametangaza kuwa serikali ya Washington karibuni hivi itatuma askari 250 wa nchi kavu kwenda Syria kwa kisingizio cha kupambana na makundi ya kigaidi.

  • Spika wa Bunge la Syria azitaka nchi za Ulaya kushirikiana na nchi yake katika vita dhidi ya ugaidi

    Spika wa Bunge la Syria azitaka nchi za Ulaya kushirikiana na nchi yake katika vita dhidi ya ugaidi

    Apr 25, 2016 03:36

    Soika wa Bunge la Syria amesisitiza juu ya udharura wa kuweko ushirikiano wa kweli na wa dhati wa nchi za Ulaya na serikali ya nchi hiyo katika vita dhidi ya ugaidi.

  • Rouhani na al Abadi wajadili mapambano dhidi ya ugaidi

    Rouhani na al Abadi wajadili mapambano dhidi ya ugaidi

    Apr 21, 2016 00:53

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Waziri Mkuu wa Iraq wamefanya mazungumzo ya simu wakijadili hali ya sasa ya Mashariki ya Kati husuan mipango ya serikali ya Iraq ya kurejesha amani nchini humo na kupambana na ugaidi.

  • Iran, Kazakhstan zatoa wito wa kupambana na ugaidi

    Iran, Kazakhstan zatoa wito wa kupambana na ugaidi

    Apr 20, 2016 03:31

    Maspika wa Mabunge ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Kazakhstan wametoa wito wa kuwepo juhudi za pamoja na za dhati za kukabiliana na makundi ya kigaidi na haswa kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh katika eneo hili la Mashariki ya Kati.

  • Marais wa Ufaransa na Misri wasisitiza kuimarisha ushirikiano wa kimataifa dhidi ya ugaidi

    Marais wa Ufaransa na Misri wasisitiza kuimarisha ushirikiano wa kimataifa dhidi ya ugaidi

    Apr 18, 2016 02:45

    Marais wa Ufaransa na Misri wamesisitiza kuwa upo udharura wa kuimarisha ushirikiano wa kimataifa dhidi ya ugaidi.

  • Rais Rouhani: Umoja, dawa mjarabu ya kuzima ugaidi

    Rais Rouhani: Umoja, dawa mjarabu ya kuzima ugaidi

    Apr 17, 2016 10:51

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuenea jinai na ugaidi ni katika changamoto kuu zinaolikabili eneola Mashariki ya Kati na dunia nzima kwa ujumla na hivyo kuna haja ya watu wa dini mbali mbali kushirikiana kwa lengo la kukabiliana na matatizo hayo.

  • Nigeria yasisitiza udharura wa kupambana na ugaidi

    Nigeria yasisitiza udharura wa kupambana na ugaidi

    Apr 14, 2016 23:46

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Nigeria imesisitiza udharura wa kuzidishwa ushirikiano unaohitajika kati ya nchi za eneo la magharibi mwa Afrika kwa ajili ya kupambana na kundi la Boko Haram.

  • Waziri Mkuu mpya wa Madagascar akabidhiwa ofisi na kuahidi kupambana na umasikini na ufisadi

    Waziri Mkuu mpya wa Madagascar akabidhiwa ofisi na kuahidi kupambana na umasikini na ufisadi

    Apr 13, 2016 09:58

    Waziri Mkuu mpya wa Madagascar amekabidhiwa ofisi leo na kuanza rasmi kuhudumu katika wadhifa huo huku akiahidi kupambana na umasikini na ufisadi.

  • Kiongozi: Marekani  inatoa misaada kwa magaidi

    Kiongozi: Marekani inatoa misaada kwa magaidi

    Apr 12, 2016 13:39

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema misaada ya silaha na kifedha inayotoa Marekani kwa makundi ya kigidi ni moja ya vizuizi katika utatuzi wa tatizo la ugaidi.

  • Rais Fuad Masum:  Ili Iraq iweze kupambana na ugaidi inahitajia misaada ya kimataifa

    Rais Fuad Masum: Ili Iraq iweze kupambana na ugaidi inahitajia misaada ya kimataifa

    Apr 11, 2016 23:10

    Rais wa Iraq amesema kuwa, ili nchi hiyo iweze kupambana na ugaidi inahitajia uungaji mkono wa kimataifa.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS